Sivan
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 923
- 1,228
M Consult PA wangu atakuelekeza Boss.Tangu wafukue uzi wako sikuamini tena
Kwani Cammision ndio kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
M Consult PA wangu atakuelekeza Boss.Tangu wafukue uzi wako sikuamini tena
Kwani Cammision ndio kitu gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]M Consult PA wangu atakuelekeza Boss.
*****,ahahaha,hii komeshaKuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.
Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.
Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiiiiiiiiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.
Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale obey waniambie Wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
We Umom.i una matatizo sanaKuwa PA wangu Madam nakulipa vizuri tu.
Dah mkuu umenichekesaha Sana eti kakinywa supu kanaona ni anasaWatu wa hovyo hovyo wanaodeposit hela zao kabisa kabisa wako Makete
Wakinga balaa bwana, kuna kazee ukikakuta dukani kwake kanakula viazi vya kuchoma, hata supu kanaona anasa
Kakipeleka pesa benki kanabeba kwenye rambo lakini kwa mtazamo wa nje huwezi kukadhania
Wakinga/wabena wengi hawafanani na pesa yao
AhahahaMimi kuna siku tena ni zaidi ya mara moja inanitokea, mara ya kwanza ilikuwa pale nje ya wizara ya ardhi niliegesha gari pembeni nikanunue gazeti narudi nakuta wale majamaa wamelifunga.
Nikaanza zozana nao wao jibu wanalonipa kamwite mwenye gari. Yani kila nalowambia wananiambia mwenye gari atalipa we unahangaika nini kamwite mwenye gari, dah ila mwisho nikampa 20,000 akalifungua nikasepa.
Mara nyingine nilikuwa pitiliza mataa wakati taa zimezuia, kumbe mbele kuna traffic, akandaka. Akaanza kunisngekuwa na boss wako usingefanya hivi na maneno mengi. Baadae, akaniomba leseni na kadi ya gari nikampatia akakuta kadi ya gari ina jina sawa na leseni. Akasema kumbe gari lako nikamjibu ndiyo, akaishia kucheka akasema yani watoto wa kishua bwana mnakula maisha kwa pesa ya baba zenu. Mimi nikacheka tu akaniandikia faini nikasepa huku nikiwaza ungejua mimi mpambanaji tu.
Mara nyingine niliacha gari lilikuwa na matatizo na mimi nina haraka nikalipaki pembeni ya barabara nikachukue boda boda, kumbe huku nyuma askari wakapita lipo, wakapita tena lipo ikabidi watanaze times ambaye katelekeza gari akalichukue mimi sikuwa na habari. Narudi baadae kulichukua nikiwa na fundi, gari silioni, namuuliza muuza matunda ndiye akaniambia wamelibeba wamelipeleka kituo cha polisi cha kawe. Kesho yake naenda kawe mkuu wa kituo akawa ananizngua kuwa nikamtafute mwenye gari, mpaka nilipofungua nikamwonyesha kitambulisho na kadi ya gari majina yana match. Aliniambia tu niwalipe waliolivuta nisepe tu.
Yani mimi nina mwili mdogo kama wa Mrehemu Ruge Mtahaba, nakutana ma mazarau sana maana hata nikivaa suti haikai ni kama imetundikwa tu.
Dah mkuu umenichekesaha Sana eti kakinywa supu kanaona ni anasa
Acha mishe za Umomi bana hapa tunafurahishana tu Miss uzikaze kichwa.We Umom.i una matatizo sana
Kwanza ulifufuka lini? Si ulikufa wewe[emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji1787]
Dogo unapenda kiki sana daah!
AhahahaMbona huu mwandiko sio wa mtu aliyewahi kusoma PhD labda tu awe anabobea katika fani ya kubeti.
Wee nakujua jamaniiWakati mwingine sisi tunaotumia majina yetu halisi tunashindwa kuchangia mada kama hizo. Ngoja nitunge account feki niwe najilipua nayo
AhahahaJamani Mimi Nina mwili mdogo halafu ni mfupi dharau ninazopitia duniani hapa huwa naishia kucheka.siku moja naenda kazini niko kituoni daladala inakuja ile naanza kuingia konda akanisukuma akasema kwa sauti sipakii mwanafunzi.nikambembeleza akanipakia nikatoa 200 na miaka yangu 30
Mkuu nipe namba yake ili niile mie hiyo mbunyeMimi kuna 'Wajeda' Wawili hivi nakumbuka Siku moja nilikumbana nao 'Kichochoroni' wakiwa 'wamemkwida' Dada Mmoja hivi wa 'Kitaani' huku wakiwa 'Wanampiga' na Yule Dada akiwa 'anawatukana' Matusi makubwa makubwa tu. Na huyu Dada nakumbuka amekuwa 'akinipuuza' mno tu pengine kutokana na 'Ukapuku / Umasikini' wangu ( kama tuwajuavyo Dada zetu wa Dot Com Generation walivyo )
Baada ya Yule Dada kuanza 'Kuwatukana' wale 'Wajeda' nao sasa wakaamua kuanza kumpa 'Mateso' yao makali ya 'Kijeda' nikaanza Kumsikia Yule akianza 'Kujamba' bila utaratibu 'Maalum' na 'Kutapika' ndipo nami kwa 'Ujasiri' wangu mkubwa 'niliobarikiwa' nao na Mwenyezi Mungu 'Kiustaarabu' kabisa nikawaomba wale 'Wajeda' wasiendelee 'Kumuadhibu' ambapo kwa 'Kuhiheshimu' kweli wakaacha na nikaanza Kuwasomesha.
Sijui nina 'Hirizi' gani ya Asili ambayo hata kama nikikutana na Watu wenye 'Hasira' Kali nikianza 'Kuwaimbisha' tu upesi wanaanza 'Kulegea' kisha tunakuwa 'Marafiki' na Maisha yanasonga mbele. Nilipomaliza tu Kuwaimbisha wale 'Wajeda' nikasikia wanamuambia Yule Dada kuwa ana bahati Mimi nimewaonyesha 'Uungwana' japo ni Raia Mwema tu ila walichokuwa wamepanga Kumfanyia aliyekuwa akijua ni Shetani Lucifa tu pekee.
Cha 'Kushangaza' sasa baada ya Kumalizana tu pale na wale 'Wajeda' na Yule Dada ambaye mara nyingi alikuwa 'akinipuuza' alianza Zoezi la Kutafuta ninapoishi mpaka namba yangu ya Simu na alipofanikiwa akaniambia kwa aina ya 'Ujasiri' ule na 'Kumuokoa' Kwangu kule Siku yoyote ile nikiihitaji 'Mbunye' yake niseme ila nikamwambia ya kwamba huwa simsaidii Mtu kwa Malipo bali ni Utu wangu tu na kama ni 'Umasikini' nimeshauzoea.
Tuacheni 'Kupuuziana' na 'Kudharauliana' tafadhali kwani huwezi jua ni nani 'atakusaidia' au 'kukuokoa' hapa duniani na wengine wameshabarikiwa.
BuhahahahahaIt was a suprise kwangu.
Jirani yangu aliokuwa wanajifanya ni Boss wa Ikulu mtaani muda wote kanuna na miwani yake mieusi alikuja kunihudumia Chai Ofisini kwa Mama Salma Kikwete wakati wa WAMA, kumbe Alikuwa Office attendant pale tena wale wa oya oya na mie na wenzangu tulienda kupeleka project paper ya ki NGO chetu ambacho ni Hayati kwa sasa kuanzia 2015.
Nimecheka kama mazuriMimi kuna siku tena ni zaidi ya mara moja inanitokea, mara ya kwanza ilikuwa pale nje ya wizara ya ardhi niliegesha gari pembeni nikanunue gazeti narudi nakuta wale majamaa wamelifunga.
Nikaanza zozana nao wao jibu wanalonipa kamwite mwenye gari. Yani kila nalowambia wananiambia mwenye gari atalipa we unahangaika nini kamwite mwenye gari, dah ila mwisho nikampa 20,000 akalifungua nikasepa.
Mara nyingine nilikuwa pitiliza mataa wakati taa zimezuia, kumbe mbele kuna traffic, akandaka. Akaanza kunisngekuwa na boss wako usingefanya hivi na maneno mengi. Baadae, akaniomba leseni na kadi ya gari nikampatia akakuta kadi ya gari ina jina sawa na leseni. Akasema kumbe gari lako nikamjibu ndiyo, akaishia kucheka akasema yani watoto wa kishua bwana mnakula maisha kwa pesa ya baba zenu. Mimi nikacheka tu akaniandikia faini nikasepa huku nikiwaza ungejua mimi mpambanaji tu.
Mara nyingine niliacha gari lilikuwa na matatizo na mimi nina haraka nikalipaki pembeni ya barabara nikachukue boda boda, kumbe huku nyuma askari wakapita lipo, wakapita tena lipo ikabidi watanaze times ambaye katelekeza gari akalichukue mimi sikuwa na habari. Narudi baadae kulichukua nikiwa na fundi, gari silioni, namuuliza muuza matunda ndiye akaniambia wamelibeba wamelipeleka kituo cha polisi cha kawe. Kesho yake naenda kawe mkuu wa kituo akawa ananizngua kuwa nikamtafute mwenye gari, mpaka nilipofungua nikamwonyesha kitambulisho na kadi ya gari majina yana match. Aliniambia tu niwalipe waliolivuta nisepe tu.
Yani mimi nina mwili mdogo kama wa Mrehemu Ruge Mtahaba, nakutana ma mazarau sana maana hata nikivaa suti haikai ni kama imetundikwa tu.
Kisa suti kama imetundikwa?Nimecheka kama mazuri
ndio maana huwa nawakubali wahudumu bank, wana experience na hayo mambo sana huwezi kuta wanamdharau mtu, wengine rough ni cover.Kuna siku tulienda Be Foward...na anko wangu mmoja toka dodoma...Sasa Anko mwenyewe kijana afu muhuni tu mtu wa fegi na miraa sasa alivyokaa kaa yani kama hana kitu...tukamkuta dada mmoja akatusikiliza, anko akamwambia anataka harrier nyeusi old model...basi dada akatuchukulia poa tu....na vile anko sio mjanja mjanja kila kitu anauliza...dada akajua hawa wamekuja kuuliza tu hakuna mteja.
Muda wa lunch ukafika dada anatuambia anataka kwenda kula, anko akamwambia ngoja tumalize then tutaenda wote...dada anasema wenzie wanamsubiri. Basi akazima PC ikabidi tutoke...sasa anko akawa kama anataka tukale na yule sista ili amzoee amchagulie gari zuri. Dada akatukataa akasema ana wenzake. Basi anko akampa 10k..next day tukarudi tukachagua gari afu tukaenda kulipia. Yule sister alikua suprised kweli
Super Mario Baloteli umeandika kwa hisia sana.Kuna jamaa yangu mmoja miaka hiyo anauza duka la ndugu yake pale kawe akatoke dada mmoja mdogo tu akamuelewa sana yaani zaidi ya sana na jamaa umri umeenda na alikua bado hajaoa, yule dada akamtaka amuoe jamaa hataki, nia yake anataka aoe wa kabila lake pia akawa ananiambia huyu dada mzuri sana atakuja kutesa, demu hakua mzuri wa sura kiviile ila hiyo shepu weka mbali na watoto, jamaa akamtosa kaenda kuoa kwao.
Akajajua yule dada ni mjeda pale lugalo na alikua na nyota 3 lkn alikua anamficha na nyumba waliokua wanaenda kufanya yao goba ilikua ya kwake yeye alihisi kapanga,
Jamaa hadi leo anajilaumu na kujitukana kabisa mana yule dada alikuja kuolewa na jamaa anaemfahamu na ndoa kubwa tu kamfungulia mme wake biashara kubwa tu kwenye fremu zake huko goba wanakula maisha tu.
Majizo ni ana status gani.ndio maana huwa nawakubali wahudumu bank, wana experience na hayo mambo sana huwezi kuta wanamdharau mtu, wengine rough ni cover.
mtu kama majizo ukikutana naye chanika kijiwe cha bodaboda unawezasema yuko anasubiri kugongea daywaka, kumbe unaingia chaka[emoji38][emoji38][emoji38].
mtu mmoja hivi anamiliki hisa nyingi zaidi eFM media.Majizo ni ana status gani.