Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

*****,ahahaha,hii komesha
 
Dah mkuu umenichekesaha Sana eti kakinywa supu kanaona ni anasa
 
Ahahaha
 
We Umom.i una matatizo sana

Kwanza ulifufuka lini? Si ulikufa wewe[emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji1787]

Dogo unapenda kiki sana daah!
Acha mishe za Umomi bana hapa tunafurahishana tu Miss uzikaze kichwa.
 
Ahahaha
 
Mkuu nipe namba yake ili niile mie hiyo mbunye
 
Buhahahahaha
 
Nimecheka kama mazuri
 
Kuna siku tulienda Be Foward...na anko wangu mmoja toka dodoma...Sasa Anko mwenyewe kijana afu muhuni tu mtu wa fegi na miraa sasa alivyokaa kaa yani kama hana kitu...tukamkuta dada mmoja akatusikiliza, anko akamwambia anataka harrier nyeusi old model...basi dada akatuchukulia poa tu....na vile anko sio mjanja mjanja kila kitu anauliza...dada akajua hawa wamekuja kuuliza tu hakuna mteja.
Muda wa lunch ukafika dada anatuambia anataka kwenda kula, anko akamwambia ngoja tumalize then tutaenda wote...dada anasema wenzie wanamsubiri. Basi akazima PC ikabidi tutoke...sasa anko akawa kama anataka tukale na yule sista ili amzoee amchagulie gari zuri. Dada akatukataa akasema ana wenzake. Basi anko akampa 10k..next day tukarudi tukachagua gari afu tukaenda kulipia. Yule sister alikua suprised kweli
 
ndio maana huwa nawakubali wahudumu bank, wana experience na hayo mambo sana huwezi kuta wanamdharau mtu, wengine rough ni cover.

mtu kama majizo ukikutana naye chanika kijiwe cha bodaboda unawezasema yuko anasubiri kugongea daywaka, kumbe unaingia chaka[emoji38][emoji38][emoji38].
 
Super Mario Baloteli umeandika kwa hisia sana.
 
Majizo ni ana status gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…