Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ungelipotezea life na dhambi zake[emoji57][emoji57]
 
Bimdash unashombo mzigo kama uwendi chooni we F.

Nakausha kwasababu kuna ishu nachonga na mtu Current sitaki Ban ila wewe ni unashombo za kisen ku makini.
Haaahaaa ABSA kama ABSA

na utapigwa life ban zezetaa wewe, ID nyingi humu unatafuta kazi ama?

Mara ujidai umekufa, mara ufufuke we mwanaume wa aina gani, ngoja nifukue makaburi yako ya ovyo ovyo ..

Mfyuuuuu [emoji57][emoji57]
 
Haaahaaa ABSA kama ABSA

na utapigwa life ban zezetaa wewe, ID nyingi humu unatafuta kazi ama?

Mara ujidai umekufa, mara ufufuke we mwanaume wa aina gani, ngoja nifukue makaburi yako ya ovyo ovyo ..

Mfyuuuuu [emoji57][emoji57]
Hebu fukua kwa niaba, maana ID mate T14 amegoma kabisa
 
Haaahaaa ABSA kama ABSA

na utapigwa life ban zezetaa wewe, ID nyingi humu unatafuta kazi ama?

Mara ujidai umekufa, mara ufufuke we mwanaume wa aina gani, ngoja nifukue makaburi yako ya ovyo ovyo ..

Mfyuuuuu [emoji57][emoji57]
Sawa, sikutukani ila heshimu watu Mkuu, then mimi si huyo unayemzani.

Nipo Strong emotional usizani mtu anaweza ni Drive kizembe tu hata afanye nini.

Nakuelekeza tu punguza Shombo zikifala.
 
Baada ya kushtukiwa anajifanya anatania

Mwanzo alishataka kuwachota watu
Ha ha ha ha[emoji1787][emoji1787][emoji28] umeona eeh

We umemstukia daah[emoji1787][emoji1787][emoji28]
 
Reactions: T11
Baada ya kushtukiwa anajifanya anatania

Mwanzo alishataka kuwachota watu
Bro usisapoti ujinga basi misijamaindi unachozani wewe kwani toka mwanzo tulikiwa tunajifurahisha tu wala sio sababu boy mbona kawaida kujifurahisha elewa nini unachosapoti ishu ganibinaendelea.

Ishu uyo jamaa kaandika Shombo sijaipenda anaambiwa anajifanya yeye ndio mjuaji.

Sijapenda Shombo aliyoiandika huyu jamaa So mkuu fuatilia unachokisapoti kwanza wala sio mambo ya ABSA wala nini mimi mtu Humble tu wamatani sipo emotion ila huyu dada sijapenda alichoandika.
 
Baada ya kushtukiwa anajifanya anatania

Mwanzo alishataka kuwachota watu
In short kuna almost ID nne ni mtu mmoja. JF hairuhusu kuweka convo za PM. We kwani umeona nimepewa jibu nilipouliza[emoji3]
 
Sawa mchambuzi ila amini hivyo
Nakubali mkuu sema labda ulikosea kukadiria miaka. Hizi issue zinatokea sana maeneo ya Tanga. Nilitembea uko kila mtu nikaona mzembe wanacheza bao tu, kufika jioni kila mmoja analetewa hesabu yake. Pesa nyingi ila hawajengi, hawanunui magari, hawaoneshi dalili mwishoni unawachukulia wa kawaida.
 
Na huyo mtu ana upuuzi sana
Kwani wao wanafunguaje hizo ID? Maana mimi zinagoma

Na kuna jamaa anatamani sana kujiunga hakubaliwi
In short kuna almost ID nne ni mtu mmoja. JF hairuhusu kuweka convo za PM. We kwani umeona nimepewa jibu nilipouliza[emoji3]
 

Hahaha muachage dharau
 

Mara nyingi wanaoongoza kupendeza sanaa hawanaga kitu kabisa
Wenye pesa hawajali sana mambo ya kuvaa vaa
 
Mkuu sio lazima awe precisely. Msome hapo juu amesema I think miaka 20 iliyopita. Yaani MIE najisomea story kama kujifurahisha tu ama nachukua fundisho nasepa. Ila kuna MTU ana concentrate anachunguza neno kwa neno mpaka uandishi yaani sijui walitakiwa editors ama wao ni editors.
Ni kama ule Uzi kula kimasihara tunda. Unakuta MTU amekomaa kumfuatilia MTU anavyotoa stories. Akibugi kidogo tu anaye.
MIE kwa vitu vya muhimu tu ndio na pay attention like unanipa knowledge Fulani ya kunisaidia maishani like ya kiafya ama ya ki technical hapo ni neno kwa neno. Unatoa mguu naweka mguu
Miaka 20 ilikuwa ni around 2000 na simu za kumilikiwa na madereva daladala hazikuwepo. Madereva wakadrive km kadhaa kuja kuonesha magari nanyi mkiwa mmengojea[emoji23]
 
Pamoja mkuu sina chakuongezea
 
mtu unaanzaje kuhama tanzania sasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…