Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Mimi sijafukuzia uzi hata. Ni kwamba nineunganisha vitu kibao nikisema hapa nitakuwa nakosea maana nyingine ni kosa kwa sheria za JF. Na hata si uungwana mambo yake namwachia mwenyewe.
Aisee
 
We jamaa hukomi tu, kujimwambafai[emoji15][emoji15][emoji15][emoji86]

scorpio me kuna mtu anakuchokoza bado[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmemwona,naona anajifariji labda akiamka itakua kweli
 
Mrejesho: Nimerudi tena leo pale stationary kwa yule dada aliyeniletea nyodo
Ilibidi nirudi kwa sababu huduma niliyohitaji hakuna mahali pengine lazima nirudi ama sivyo ilikuwa n'tolee huwa sipendi madharau

Wakati anajaza taarifa zangu kwa ajili ya application fulani mambo mengi aliniuliza nikawa namjibu, alipofika kwenye wizara akaitaja mwenyewe nikamuuliza umeijuaje akasema namnukuu "Kwani sikujui wewe"

Nikabaki mdomo wazi, nilipomaliza nikaondoka lakini nikiwa na maswali mengi, kwahiyo aliniletea nyodo kunionyesha? Maana lazima ni kunionyesha wala sio kunilipiza kwa kuwa hajawahi kuja kazini kwangu nikamfanyia nyodo
Lakini unamuonyesha nini mtu asiyekufahamu? Navyojua ni rahisi kumuonyeshea mtu mnayefahamiana sasa msiyefahamiana inaathiri nini?

Au yumo humu na alisoma maana leo tumeenda vizuri kweli angalau nikiuliza nisichofahamu anafafanua mpaka maelezo yanafurumia(ya kuzidi yaani?

We mdada wewe Mungu anakuona[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huu
Mrejesho: Nimerudi tena leo pale stationary kwa yule dada aliyeniletea nyodo
Ilibidi nirudi kwa sababu huduma niliyohitaji hakuna mahali pengine lazima nirudi ama sivyo ilikuwa n'tolee huwa sipendi madharau

Wakati anajaza taarifa zangu kwa ajili ya application fulani mambo mengi aliniuliza nikawa namjibu, alipofika kwenye wizara akaitaja mwenyewe nikamuuliza umeijuaje akasema namnukuu "Kwani sikujui wewe"

Nikabaki mdomo wazi, nilipomaliza nikaondoka lakini nikiwa na maswali mengi, kwahiyo aliniletea nyodo kunionyesha? Maana lazima ni kunionyesha wala sio kunilipiza kwa kuwa hajawahi kuja kazini kwangu nikamfanyia nyodo
Lakini unamuonyesha nini mtu asiyekufahamu? Navyojua ni rahisi kumuonyeshea mtu mnayefahamiana sasa msiyefahamiana inaathiri nini?

Au yumo humu na alisoma maana leo tumeenda vizuri kweli angalau nikiuliza nisichofahamu anafafanua mpaka maelezo yanafurumia(ya kuzidi yaani?

We mdada wewe Mungu anakuona[emoji3][emoji3][emoji3]
Mrejesho wa nini hemu weka link ya utangulizi wa story yako.
 
Mzee wa PA pita hapa
Siku mbili tu zilizopita nimesumbuliwa sana na kidada kimoja katika stationary fulani, sijui ananionaje

Amesababisha shughuli ya siku moja imechukua siku 2

Nasubiri anikute katika anga zangu, japo sipangi kulipiza kitu ila watu wajifunze kuheshimu mtu yeyote
 
Katika kitu Mungu kaninyima ni nyodo na dharau, naheshimu kila mtu kwa wakati na nafasi yake, siingii gharama yoyote watu wote ni sawa na dunia duara
[emoji122][emoji122][emoji122] barikiwa
 
Mrejesho: Nimerudi tena leo pale stationary kwa yule dada aliyeniletea nyodo
Ilibidi nirudi kwa sababu huduma niliyohitaji hakuna mahali pengine lazima nirudi ama sivyo ilikuwa n'tolee huwa sipendi madharau

Wakati anajaza taarifa zangu kwa ajili ya application fulani mambo mengi aliniuliza nikawa namjibu, alipofika kwenye wizara akaitaja mwenyewe nikamuuliza umeijuaje akasema namnukuu "Kwani sikujui wewe"

Nikabaki mdomo wazi, nilipomaliza nikaondoka lakini nikiwa na maswali mengi, kwahiyo aliniletea nyodo kunionyesha? Maana lazima ni kunionyesha wala sio kunilipiza kwa kuwa hajawahi kuja kazini kwangu nikamfanyia nyodo
Lakini unamuonyesha nini mtu asiyekufahamu? Navyojua ni rahisi kumuonyeshea mtu mnayefahamiana sasa msiyefahamiana inaathiri nini?

Au yumo humu na alisoma maana leo tumeenda vizuri kweli angalau nikiuliza nisichofahamu anafafanua mpaka maelezo yanafurumia(ya kuzidi yaani?

We mdada wewe Mungu anakuona[emoji3][emoji3][emoji3]
Japo sijaelewa story ila alivyotaja mwenyewe ulitakiwa uwe Cool usingemuuliza mwenyewe ndio angejiuliza mbona mwamba haja give fuc***k ndivyo Gentlemen anavyofanya.
 
Hata hivyo huu uzi ulinusaidia kubalance shobo
Niliona wadau wanamwambia mtoa mada amekosea kuchukua namba angeendelea kula bati, kwahiyo mimi niliuliza tu umejuaje aliposema ananifahamu huku akileta vijiutani mara watu wa Mbeya si ndio mlivyo majivuno sijui nini nikala buyu nikaendelea na mambo mengine mpaka naondoka
Japo sijaelewa story ila alivyotaja mwenyewe ulitakiwa uwe Cool usingemuuliza mwenyewe ndio angejiuliza mbona mwamba haja give fuc***k ndivyo Gentlemen anavyofanya.
 
Back
Top Bottom