Yaani nimejikuta nachekaaa [emoji23][emoji23][emoji23]Eti muheshimiwa we ulisikia wapi Mwanamke anatafuta mwanaume amuoe[emoji23][emoji23]
nachukua bro [emoji2]
nmefunga dirisha la usajili[emoji23]Kuna jambo utalifafafnua nikija PM, au PM umefunga hutaki wageni
Strategy without tactics is a slowest route to victoryYaani nimejikuta nachekaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Jinsi ulivoandika kwa hisia,
Usichokijua ni kua zaidi ya 50% ya ndoa ushawishi mkubwa hutoka kwa mwanamke, eidha wa moja kwa moja au kimazingira
Nafikiri waliokua wanakuambia utafute walimaanisha utumie mbinu hiyo.
Kuniita bro ni tatizo la pili
Leo utaelewa tu sababu zote za kukwama kwako[emoji3]
Kama huhitaji ndoa sawa lakini kama unaitaka dah utasubiri sana(sisemi hutaolewa ila unaweza kuchelewa)[emoji23][emoji2][emoji2]sa sikia Bro nielimishe
Pole sana mpambanajiMimi kuna siku tena ni zaidi ya mara moja inanitokea, mara ya kwanza ilikuwa pale nje ya wizara ya ardhi niliegesha gari pembeni nikanunue gazeti narudi nakuta wale majamaa wamelifunga.
Nikaanza zozana nao wao jibu wanalonipa kamwite mwenye gari. Yani kila nalowambia wananiambia mwenye gari atalipa we unahangaika nini kamwite mwenye gari, dah ila mwisho nikampa 20,000 akalifungua nikasepa.
Mara nyingine nilikuwa pitiliza mataa wakati taa zimezuia, kumbe mbele kuna traffic, akandaka. Akaanza kunisngekuwa na boss wako usingefanya hivi na maneno mengi. Baadae, akaniomba leseni na kadi ya gari nikampatia akakuta kadi ya gari ina jina sawa na leseni. Akasema kumbe gari lako nikamjibu ndiyo, akaishia kucheka akasema yani watoto wa kishua bwana mnakula maisha kwa pesa ya baba zenu. Mimi nikacheka tu akaniandikia faini nikasepa huku nikiwaza ungejua mimi mpambanaji tu.
Mara nyingine niliacha gari lilikuwa na matatizo na mimi nina haraka nikalipaki pembeni ya barabara nikachukue boda boda, kumbe huku nyuma askari wakapita lipo, wakapita tena lipo ikabidi watanaze times ambaye katelekeza gari akalichukue mimi sikuwa na habari. Narudi baadae kulichukua nikiwa na fundi, gari silioni, namuuliza muuza matunda ndiye akaniambia wamelibeba wamelipeleka kituo cha polisi cha kawe. Kesho yake naenda kawe mkuu wa kituo akawa ananizngua kuwa nikamtafute mwenye gari, mpaka nilipofungua nikamwonyesha kitambulisho na kadi ya gari majina yana match. Aliniambia tu niwalipe waliolivuta nisepe tu.
Yani mimi nina mwili mdogo kama wa Mrehemu Ruge Mtahaba, nakutana ma mazarau sana maana hata nikivaa suti haikai ni kama imetundikwa tu.
Mikakati bila mbinu shirikishi inachelewesha ushindi,Strategy without tactics is a slowest route to victory
nipe mbinu mkuu[emoji23] maana sina ushawishi nahisi, japo mipango ya Mungu pia inachangia
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Usajili wangu ni kama wa Morrison kwenda simba sc, ukinisajili tu basiii umelamba dume.nmefunga dirisha la usajili[emoji23]
Wengi sana mko ivo,
Mfano kuna wadada wa3 wanafanya kazi duka la jirani na kabiashara kangu sasa ofisi yao ilihamia siku za karibuni mwezi wa 5, yaani walikua na dharau hata salamu hawatoi sa ingine, ukiangalia wanavyovaa vizuri utasema ndio wenye duka..... Kumbe wanalipwa ela ndogo sanaa hata kula yenyewe wanajibana wakati mwingine wanajichanga wanakula miogo na maji
Sasa walivyojua kabiashara ni kangu basi kila mmoja kwa wakati wake anajipendekeza kiaina mi wala sina noma nimechangamka tu
Sasa mmoja kaja tu anajichekesha na utani nimnunulie saa, nkatafuta ya mda mrefu ishachoka kiaina nkampa.
Ila nilishakaa nao nkawasema kuhusu hiyo tabia yao, nkawaambia unawejikuta unamletea nyodo boss wako wa kesho au mmeo bila kujua, wananiheshimu sana sa hivi
Kuna wanawake wanaringa jamani acheni tu. Hata wanaume pia wapo.
..Kweli Mkuu. Huyu Karibu Mkuu naye hakuwa muungwana. Kwani Ukatibu wake ndio unamfanya asisalimie Watu?Huyo katibu mkuu nae atakuwa siyo mstaarabu tu. Kusalimia watu kwake ni shida? Ni mmoja wa wale waliolewa madaraka.
Maneno mema mpendwa Wordsworth. Haya, Mimi biashara yangu ni kuchoma Mkaa huku Msitu wa Pande.Wanaume mnaolalamika wanawake wanawadharau, sasa, kama umevaa na kukaa hovyo unategemea nini?
Mbona hamshobokei wanawake walio hovyo kama ni kweli hamtilii maanani outward appearance? Mjitafakari
Kingine, inaonekana tunashida kubwa kwenye maadili yetu. Kwanini tunaambizana ya kuwa tunatakiwa tuheshimu watu wote kwasababu anaweza kuwa na kazi nzuri au unaweza kupata shida akakusaidia nk? Kwanini tusifundishane kuheshimiana kwa upendo kutoka moyoni kuliko kutishana? Hi ndio sababu tunakua wanafiki na chini kwa chini tunachukiana.
Mimi binafsi uwe muokota machupa jalalani au meneja wa wapi, nita watreat sawa bila kujali chochote. Ndio maana kwa watu wenye position kubwa au wanaotegemea special treatment kutoka kwangu wananiona nina dharau, ili hali wale watu wanadharaulika na jamii wananiona sina shida yeyote.
Kuhusu kudharaulika kwasababu ya muonekano wa nje, sijawahi. Sana sana watu wakiniona matarajio yao yanazidi hata uhalisia wangu. Lakini watu wengi, hasa wanaume wananiona nipo shallow kichwani (sexism). Wanahisi siwezi kufanya maamuzi magumu, kuchanganua mambo, kutetea hoja au kuwa na skills kwenye male-dominant fields. Wanahisi nipo kama pambo na nikiwaprove wrong kuna wanaofurahi na kuna wanaonichukia na kunipiga vitu kwa nguvu zao zote.
Wangari Maathai njoo msikilize bosi hapaKuna siku nipo nilikuwa sina kazi nyingi ofisini nikatoka nje hivi nikamweleza PA wangu nipo nje nachukua Juice Fresh kutoka nje kuna gari limeingia Parking kwa speed kidogo liniingie miguuni jamaa hawakuwa na hekima walinitusi Mpuuzi wewe...nimerudi Ofisini naambiwa na PA wangu Meneja kuna wageni wako nikawaruhusu waingie nakuta wale jamaa walionitusi nikawakaribisha na sentensi fupi 'Karibu ABSA' wanageuzageuza nyuso zao hawajui waanze vipi.
Umeshakosa kama mfano wenyewe ndo morrison[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Usajili wangu ni kama wa Morrison kwenda simba sc, ukinisajili tu basiii umelamba dume.
mimba sikuhizi ni qualification kubwa[emoji45][emoji45]Mikakati bila mbinu shirikishi inachelewesha ushindi,
Mbinu kuu ya kwanza ni aina ya mtu uliekuanae kwenye mahusiano, unaeza kua na mtu unaemjua A to Z na wajua kabisa hatufiki mbali lkn kwa sababu zenu bado hutaangalia pengine, mpo tu
Mbinu zipo nyingi sana inategemea na mtu uliekuanae, kikubwa zaidi ya vyote ni tabia, uzuri halisi wa kuzaliwa, mavazi na kujiremba haudumu kwa mwanaume ambae ushamvulia chupi zaidi ya miezi 6, baada ya hapo anakuona wa kawaida sana utofauti unakuja kutokana na tabia utakayoonyesha baada ya kugegedana.
Mfano mimi nilijisemea nkisharidhika na tabia sitaoa mwanamke kabla hajabeba mimba kwanza, hapo kuna mwingine yupo bize kumeza dawa au kuchoropoa unamchora tu asijue target yako ndio hiyo. (mfano tu huo usije ukaachia ya mtoto [emoji23], hatufanani)
Ila kikubwa ni aina mahusiano na marafiki pia wanachangia sana wee kuonekana ni mtu wa aina gani.
Wewe sio darasa La saba kwa jinsi uandishi wako tu ulivyoMimi imenitokea hii:
Niliweka tangazo kule love connect kuwa 'natafuta mke ' sio kuwa amepotea - hapana; yaani lengo langu nivute jiko niweke ndani.
Wakati naandika tangazo nilikuwa na asilimia 100 kuwa JF imesheheni wadada wasomi na wanaojielewa. Natambua kuwa wapo wasomi hadi kufikia level ya PhD lakini Diploma + bachelor na masters wapo wengi mno. Jamani msiwadharau wadada wa humu wengi ni wasomi na wana kazi zao za heshima mnoo.
Kwenye sifa zangu: nimesema mimi ni mweusi, mwembamba na elimu yangu ni darasa la saba[emoji2][emoji2][emoji2]
Aiseee yaani wadada wa Jf wote waliopitia tangazo langu hata wale wenye uhitaji kama mimi na sifa wanazo; wote wamenidharau wamepita kimya kimya. Huwezi amini; hadi leo hii sijapata pm hata moja[emoji23][emoji23] kweli hakuna wa kunifaa?, nahisi nadharaulika kwa hii elimu yangu ya darasa la saba[emoji23][emoji23].
NB: najua tatizo ni elimu yangu ya darasa la saba , na wadada wengi jf ni wasomi wa hali ya juu - form four hadi mbele huko PhD .
Jamani pamoja ni darasa la saba lakini ninatafuta mke jamani, kuwa mimi la saba sio ishu jamani.
Hadi leo hii bado wamenidharau na wala sijapata PM ya kumpata mwanamke wa ku-anzisha nae familia pamoja.
Bado nafasi ipo wadada jamani ...acheni kutudharau sisi darasa la saba.
Hahaha ngoja nifuate ushauri wakoWakati mwingine sisi tunaotumia majina yetu halisi tunashindwa kuchangia mada kama hizo. Ngoja nitunge account feki niwe najilipua nayo
ππ...usinifitinishe Mimi mkuuππ! Jf ni zaidi ya uijuavyoWangari Maathai njoo msikilize bosi hapa