Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

 

Sijui huwa wanajionaje sijui hawajiamini Yaan unakuta mtu anajiona utafikiri yeye anapaa kumbe mpumbavu tu hahaha
 

[emoji23][emoji23][emoji23] wengine hatukuona tangazo jamani
Tatizo mna id kumi kumi
Elimu sio kigezo cha watu kuoana
 
twende kwenye uzi wetu wa boseman bana
Nitag basi meneja.
Unakumbuka nilionana na wewe Nyamagana stand ukanumwagia maji,ukaja ofisini Pale Bank,na bulk money zako za mauzo ukakutana na mimi Meneja!
 
yakinikuta yakunikuta wakati na Apply formula yako mkuu...

fahamu kwamba wewe ndio chanzo na sababu yakila kitu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…