Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Kuna siku nipo nilikuwa sina kazi nyingi ofisini nikatoka nje hivi nikamweleza PA wangu nipo nje nachukua Juice Fresh kutoka nje kuna gari limeingia Parking kwa speed kidogo liniingie miguuni jamaa hawakuwa na hekima walinitusi Mpuuzi wewe...nimerudi Ofisini naambiwa na PA wangu Meneja kuna wageni wako nikawaruhusu waingie nakuta wale jamaa walionitusi nikawakaribisha na sentensi fupi 'Karibu ABSA' wanageuzageuza nyuso zao hawajui waanze vipi.
Screenshot_20200901-085640~2.png
 
Wengi sana mko ivo,

Mfano kuna wadada wa3 wanafanya kazi duka la jirani na kabiashara kangu sasa ofisi yao ilihamia siku za karibuni mwezi wa 5, yaani walikua na dharau hata salamu hawatoi sa ingine, ukiangalia wanavyovaa vizuri utasema ndio wenye duka..... Kumbe wanalipwa ela ndogo sanaa hata kula yenyewe wanajibana wakati mwingine wanajichanga wanakula miogo na maji
Sasa walivyojua kabiashara ni kangu basi kila mmoja kwa wakati wake anajipendekeza kiaina mi wala sina noma nimechangamka tu
Sasa mmoja kaja tu anajichekesha na utani nimnunulie saa, nkatafuta ya mda mrefu ishachoka kiaina nkampa.
Ila nilishakaa nao nkawasema kuhusu hiyo tabia yao, nkawaambia unawejikuta unamletea nyodo boss wako wa kesho au mmeo bila kujua, wananiheshimu sana sa hivi

Kuna wanawake wanaringa jamani acheni tu. Hata wanaume pia wapo.

Sijui huwa wanajionaje sijui hawajiamini Yaan unakuta mtu anajiona utafikiri yeye anapaa kumbe mpumbavu tu hahaha
 
Mimi imenitokea hii:

Niliweka tangazo kule love connect kuwa 'natafuta mke ' sio kuwa amepotea - hapana; yaani lengo langu nivute jiko niweke ndani.

Wakati naandika tangazo nilikuwa na asilimia 100 kuwa JF imesheheni wadada wasomi na wanaojielewa. Natambua kuwa wapo wasomi hadi kufikia level ya PhD lakini Diploma + bachelor na masters wapo wengi mno. Jamani msiwadharau wadada wa humu wengi ni wasomi na wana kazi zao za heshima mnoo.

Kwenye sifa zangu: nimesema mimi ni mweusi, mwembamba na elimu yangu ni darasa la saba[emoji2][emoji2][emoji2]

Aiseee yaani wadada wa Jf wote waliopitia tangazo langu hata wale wenye uhitaji kama mimi na sifa wanazo; wote wamenidharau wamepita kimya kimya. Huwezi amini; hadi leo hii sijapata pm hata moja[emoji23][emoji23] kweli hakuna wa kunifaa?, nahisi nadharaulika kwa hii elimu yangu ya darasa la saba[emoji23][emoji23].

NB: najua tatizo ni elimu yangu ya darasa la saba , na wadada wengi jf ni wasomi wa hali ya juu - form four hadi mbele huko PhD .
Jamani pamoja ni darasa la saba lakini ninatafuta mke jamani, kuwa mimi la saba sio ishu jamani.
Hadi leo hii bado wamenidharau na wala sijapata PM ya kumpata mwanamke wa ku-anzisha nae familia pamoja.

Bado nafasi ipo wadada jamani ...acheni kutudharau sisi darasa la saba.

[emoji23][emoji23][emoji23] wengine hatukuona tangazo jamani
Tatizo mna id kumi kumi
Elimu sio kigezo cha watu kuoana
 
twende kwenye uzi wetu wa boseman bana
Nitag basi meneja.
Unakumbuka nilionana na wewe Nyamagana stand ukanumwagia maji,ukaja ofisini Pale Bank,na bulk money zako za mauzo ukakutana na mimi Meneja!
 
Hahaha, unajua wabongo hizi hoteli za 5 Star tunakosea sana ukifika unaanza chips kuku mala pizza. Ww wasumbue naomba glas ya juice alafu baada ya dk 40 niletee fungu la mchicha usiungie kitunguu weka karot tu na ndizi moja ya kuchemsha pembeni. Ukishatoa maelekezo unawasha data unaanza kuchati huku unasubiri washkaji waje.
yakinikuta yakunikuta wakati na Apply formula yako mkuu...

fahamu kwamba wewe ndio chanzo na sababu yakila kitu....
 
Back
Top Bottom