Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Lakini salamu sio lazima mkuu. Maana hata ukimsalim mtu akakujibu hayuko salama utamsaidiaje mkuu?
Pengine uko sahihi. Sina sababu ya kukubishia maana tumelelewa, tunalea na kunaishi katika mazingira tofauti.
 
Kuna kipindi mzee alipata ajali moshi alikuwa ameenda kumchukua dogo shule mzee anakacheo serikalini sasa walianza kumzingua pluss na kaprocess kibao alipata ajali mida ya saa tano ila alikaaa kituon mpaka saa mbili kisaa process nyingi yeye mwenyewe alikiri wanamzingua sana na mzee ni introvert hanaga maneno mengi luckly enough siku iyo gari yake ya kazini ndo ilikuwa inakuja kumchukua stk baada ya lile gari kufika pale alisema mambo yalikuwa marahisi zaidi aliondoka na kesho yake asubuhi wakamaliza process dakika 0 akarudi kazini



Kipindi nasoma o level ilikuwa likizo nilikuwa nasoma tuition mjini yaaaan kulikuwa nakaumbali nilikuwa mtundu by the time nakula nauli sana afu mida ya kurud home nazinguana na madereva nq makondakta mpaka wakanizoea nilikuwa nawalilia shida sana by the time mzee alikuwa anamiliki hiace nne ambazo zinapiga route hayo maeneo kiukwel nilikuwa nafaham mbili tu sasa siku wanaleta maesabu home ilikuwa sio kawaida kuyaleta home walikuwa wanakutanaga huko wanapoyapark wakanikuta na mzee walicheka huku wakishangaaa walimpaa mzee a to z wakamuambia kwadogo anavyoleta mbanga huko town hata hafananii sema walidhani mtoto wamasikini kupita kiasi
 
Nimekumbuka kisa kingine......Miaka ya nyuma nikiwa nasoma nilikuwa na ndoto yakufanya kazi kwenye NGO moja hapa nchi, nilikuwa siachi kuangalia website yao kila wiki. Basi wakati masomo yana karibia nikaenda physically kabisa kujitambulisha na kuomba kujishikiza, uzuri nikakutana na rafiki wa dada yangu ndo programme manager akanipokea poa kweli akaniambia nafasi hamna lakini zikipatikana tutakwambia basi nikatoka moyo kweli

Nikaendelea kuomba na sehemu nyingine, uzuri nikaja kupata kujishikiza kwa miezi sita kwa wadau wengine ambao actually wenyewe wanatoa funds kwa NGOs including ile ambayo rafiki yake dada yupo. Basi maisha yakawa yanaendelea sasa ule mwezi wa sita ulipofika ikabidi nianze kutafuta exit strategy nikaenda tena kwa yule rafiki wa dada, nikamwambia kule niliko jishikiza mkataba ni miezi sita tu hawawezi kuextend kwa hiyo kama itawezekana anisaidie nijishikize......weeeeeee huo moto alioniwashia sio wa nchi hii kwanza akaniambia kama ungekuwa unafanya kazi vizuri wangekuajiri, halafu kwanin unang'ang'ania kazi kwetu tu kweni hamna kwingine, i was so shocked sikuamini ni mtu yule yule wa mwanzo.....Nikampigia sista anakaniambia ndo watu walivyo mdogo wangu

Asee Mungu sio Athumani, miezi sita inaisha, naletewa mkataba wa kuwa assistant portifolio manager yaani hawataki hata kuitangaza yaani with immediate effect. Yaani yule mzungu ananipa mgongo nilifunga mlango nikapiga magoti nakulia kwa uchunguuuu mwingiii mnooooo nikamshukuru Mungu sana.

Sasa basiiiii proposal za NGO zikawa ili zifike kwa portifolio manager lazima nizipitie kwangu, guess whaaat ile NGO ikawa inaleta pia proposals. Nikamwambia Mungu i want to be different sita ipendelea sita ionea wameandika utumbo natupa kule wameandika vizuri na irecommend......one time wakapata CEO mpya wakaomba kuja kuonana na Manager wangu bahati nzuri jamaa alikuwa kaenda holiday na familia yake kaniachia kila kitu ni handle.....Wamekuja yule programme manager ananiangalia hanimaliziiiiiiii.......Jamani huyu Mungu huyu muoneni hivihivi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka saan lol
 
Hii nimeipenda nchini MALAWI , hamnaga mambo ya salamu ni kuulizia shida yako then sepa.

Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
 
mkuu kwanza nikupongeze kwa ujinga wako wa shobo za kitoto
ungetakiwa umpoteze apaparike yeye sasa
wewe umeanza tena shobo kwake kweli nyani haoni kundule
atakupenda kwa sababu ya unapofanyia kazi nasio real love

amka kaamuombe alaaah akufungue senge wewe
 
badili Avatar
 
Ukiwa peace na kila mtu kuna Mambo unaweza yaepuka .
 
Hii nimeipenda nchini MALAWI , hamnaga mambo ya salamu ni kuulizia shida yako then sepa.

Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
Ndo mana yake mkuu. Uelewe kama sio shida ya huyo jamaa hakuna salamu ungeipata. Tangiapo ukiipata iyo salamu haikuongezii wala kukupunguzia kitu chochote.
Sema hapa unakuta hapa MTU ana shida zake ama ni masikini wa Mali,pesa,elimu,wadhifa,uongozi ama umasikini wowote ule. So kupitia salamu pekee ndipo anataka naye aheshimwe mana hajawahi kuheshimiwa ama kuongoza ama kumzidi mwingine kwa chochote. MTU kama mwalimu ama no dewj anashida ya salamu ya kunyenyekewa kwa salamu. Mana hizo mambo akazipata mpaka amechoka yaani zimemkinai. Ni kama MTU akienda sehemu Mara ya kwanza kama ulaya na hana uhakika wa kurudipo lazima atafanya mauzo mtandanoni
 
God is GOOD
 
Hah hah hah daah we jamaa noma sana
 
Wadada wenye akili wamekusikia mkuu na uhakika atakaekuja atavuna haswa shida hawa dada zetu wanafikiri kwa kutumia makalio
 
[emoji3][emoji3]..matusi ya nn sasa?kwan wapi ulisikia nimesema AM LOOKING FOR REAL LOVE?
 
Miaka 20 ilikuwa ni around 2000 na simu za kumilikiwa na madereva daladala hazikuwepo. Madereva wakadrive km kadhaa kuja kuonesha magari nanyi mkiwa mmengojea[emoji23]
Mbona kaweka neno pale "i think" au hujui matumizi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…