kwamba wewe ndiye Magufuli mkuu?Leo kuna binti hapa mtaani kwetu nimemuomba namba kanipandisha kanishusha najua hajantambua mi ni nani nchi hii tutakutana tu nampa mda.
Note: Mi pia ni among of bosses in this thread
kwamba wewe ndiye Magufuli mkuu?Leo kuna binti hapa mtaani kwetu nimemuomba namba kanipandisha kanishusha najua hajantambua mi ni nani nchi hii tutakutana tu nampa mda.
Note: Mi pia ni among of bosses in this thread
Walipishana na gari ya mshahara hivihiviiπ
Unaweza kuwa sahihi but sio 100% huyu manzi alikuja kuanzia kunambia tatizo hupigi pass Mara twende mwanjelwa nkakusaidie kuchagua nguo za kufanana na wenzio ili upendweUnajua wanaume tunajidanganya sana, mwanaume ukiwa rough, kama mdada ni wa kukupenda atakupenda tu, na mwanaume hata ukiwa smart kuliko juma jux, kama mdada hakupendi, hakupendi tu, nsha-experiment both sides am talking from experience LadyRed mugah di mathew
True story..they showed their real characters already!Yeah huwa hivo mtu akinishobokea baada ya kujua connection zangu sina mda nae kabisa
Hahahahahaaaa...hatarikwa hiyo dudu la jamaa limekudatisha mkuu?
Exactly.....Unexpected journey [emoji179]
Ni kiasi cha muda tu mkuu....Leo kuna binti hapa mtaani kwetu nimemuomba namba kanipandisha kanishusha najua hajantambua mi ni nani nchi hii tutakutana tu nampa mda.
Note: Mi pia ni among of bosses in this thread
Hahaha eti em nipe hela zangu.nyingine nliendaga kueka ela bank kila nkikabidhi ile karatasi mdada wa dirishan ananambia akisomeki mwandiko mmbaya kama Γ2 ivi nkamwambia em npe ela zangu
Kwa nn huna hisia nao aseeAlways wadada huwa wanapenda sana wakaka wanaovaa na kuwa na magari wakijua ndio wenye hela
Kwangu nilikuwaga chuo nilikuwa na vaa hovyo na sijawahi panda piki piki for all 4 years hivyo kila demu alikuwa ananichukulia easy mixer kudharauliana but mwisho wa siku wanakuja gundua nilikuwa na miliki biashara ya maana baada ya baba wa demu moja kukopa kwenye biashara yangu
Ni story ndefu but niishie hapo kuwa baba wa huyo manzi alimwambia huyu mwamba na mheshimu sana ananisaidia biashara zinazopelekea kukulipia ada ili kuwa last semistar walijigonga mamanzi kwangu but huwa sinaga hisia nao
ππ basi tuu kujiskia kwa nn yeye tuu maana skuwah kuambiwa mwandiko mmbaya kabla yake...Hahaha eti em nipe hela zangu.
Sasa mkuu kama una mwandiko mbaya hajauelewa asikwambie? Me wale wapokea Cheque bank moja hivi kuna mdada alinishushua, cheque deposit moja ilikuwa haionekani vizuri maandishi akanirudishia niiandike upya na kuniambia kamwambie XXX akataja jina Acc tunatia aibu shirika kama lile kutumia carbon paper imepauka hivi
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.
Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.
Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.
Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale obey waniambie Wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
Utakuwa ni mtu wa ajabu sana muonekano wako. Hebu tutumie picha tukuone.Nakumbuka siku nareport shule kuanza 4m 5, sasa kufika pale ofisin kwa makamu wa shule kufanya usajiri,
Ile alivoniona akakaa kimya km dakika 10 anantazama tu, baadae akaniuliza full details zangu nkatoa kumpa (result slip na leaving) plus resit za michango mbalimbali.
Then akaangalia kweny file la selection alipoliona jina langu alishtuka na kuhamaki mno, akasema "ulivyo hufanani na kusoma tahasusi hii, tena kwa shule km hii, na matokeo yako ya 4m 4 na shule uliyotoka hufanani nayo" kiukweli nilijskia vibaya sanam
Ila still maisha yaliendelea hadi nikahitimu, siku nimeenda pale kuchukua results slip na leaving, ndo akanambia kuwa alivyokua anadhani sivyo na alivotegemea wala kuwepo.
Mie huyo nikasepa zangu.
Mfagizi wa Ikulu au dobi anayefua boksa za Meko ana pesa na immune kuliko wewe. Huyo hata akikupiga risasi mnapogombania Baamedi hashtakiwi.Hivi kuna boss wa ikulu tofauti na raisi?
Wadada tunafeli Sana kushoboka na handsome boys, smart with six packs na kupishana na magari ya mshahara halafu tukijigundua tumebugi tunaanza kujilegeza kujichekesha na kujitongozesha, mwishowe ni kudharauliwa kushusha thamani nk,Always wadada huwa wanapenda sana wakaka wanaovaa na kuwa na magari wakijua ndio wenye hela
Kwangu nilikuwaga chuo nilikuwa na vaa hovyo na sijawahi panda piki piki for all 4 years hivyo kila demu alikuwa ananichukulia easy mixer kudharauliana but mwisho wa siku wanakuja gundua nilikuwa na miliki biashara ya maana baada ya baba wa demu moja kukopa kwenye biashara yangu
Ni story ndefu but niishie hapo kuwa baba wa huyo manzi alimwambia huyu mwamba na mheshimu sana ananisaidia biashara zinazopelekea kukulipia ada ili kuwa last semistar walijigonga mamanzi kwangu but huwa sinaga hisia nao
Wasamehe bure mkuu π π πAlways wadada huwa wanapenda sana wakaka wanaovaa na kuwa na magari wakijua ndio wenye hela
Kwangu nilikuwaga chuo nilikuwa na vaa hovyo na sijawahi panda piki piki for all 4 years hivyo kila demu alikuwa ananichukulia easy mixer kudharauliana but mwisho wa siku wanakuja gundua nilikuwa na miliki biashara ya maana baada ya baba wa demu moja kukopa kwenye biashara yangu
Ni story ndefu but niishie hapo kuwa baba wa huyo manzi alimwambia huyu mwamba na mheshimu sana ananisaidia biashara zinazopelekea kukulipia ada ili kuwa last semistar walijigonga mamanzi kwangu but huwa sinaga hisia nao
Msimamo mzuri ulionaoWadada tunafeli Sana kushoboka na handsome boys, smart with six packs na kupishana na magari ya mshahara halafu tukijigundua tumebugi tunaanza kujilegeza kujichekesha na kujitongozesha, mwishowe ni kudharauliwa kushusha thamani nk,
Mi huwa sibadili msimamo Kama sijakuelewa nakukataa tu kiroho safi ikitokea nikajua status yako iko njema sishoboki najiambia si bahati yangu acha apite tu