Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Aibu yake alipie nyodo zake tu hakuna namna maana alikukubalia baada ya kuona matumizi ya kwako yako juu na ni aina flani ya wivu kwa pisi ngeni,
 
Mzee wa trekta unataka kutafuna mwalim...
 
Mbona huu mwandiko sio wa mtu aliyewahi kusoma PhD labda tu awe anabobea katika fani ya kubeti.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nyau kweli wewe πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Mgongee demu wake alafu mtumie picha jamaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23] utamuumiza jamaa...
msamehe kwa hilo.
 
Wengine ndio tunaoweka maji kwenye nazi lakini raia wananichukulia poa sana..(just kidding)
Hujui mi ndo boss wako nimekuajili kufanya hiyo kazi then unanichukulia poa tu..πŸ˜‚
 
We jamaa lazima ni muhaya Kama sio mkurya[emoji28][emoji28]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa si umalizie mkuu mbona unatuacha hewani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo tisa, kumi ni pale alipoongea na Mdada mzuri sana akamnanga sana jamaa, akamnanga na kashafa juu, yakaisha siku zikaenda sana, Hamadi mdada kaumwa kakimbizwa Hospitali na ndugu , Daktari ni yuleyule aliye nangwa katika kuokoa maisha mdada katoa mimba na vijiti vya Muhogo, tutamsaidiaje huyu? alete PF 3, kazi iendelee, wakati ndg wanaenda tafuta pf3 Dr kakomaa na Drip na mazagazaga kibao kuokoa, alikaa week 3 Hosp DR yuleyule ndiye amemuoa!
 
mkuu kwa hasira tia bakora denu wake
 
'Acha niendelee kuchati na demu wake kwanza'. Hahahahahhhah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…