AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Mimi kila nikienda kutembea sehemu moja hivi walikuwa wanajua mimi ni dw
Dereva tu , kutokana na uvaaji wangu simple na kujichanganya.
Kuna mitaa naenda ,natembelea hawajawahi kujua km mimi ni mtu wa aina gani ,naonekan mlugaluga tu ,maana kuna mda wa kazi nakuwa smart na weekend kuzugazuga tu....
Huwa naruhusu wanchukulie poa tu .....i dont need attention or mtu kuniheshimu kwaajili ya kitu au kwa sabanu ni fulani ....
Heshimu kila mtu , mtu yoyote anaeza kuwa msaaada kwako wakati wowote
Dereva tu , kutokana na uvaaji wangu simple na kujichanganya.
Kuna mitaa naenda ,natembelea hawajawahi kujua km mimi ni mtu wa aina gani ,naonekan mlugaluga tu ,maana kuna mda wa kazi nakuwa smart na weekend kuzugazuga tu....
Huwa naruhusu wanchukulie poa tu .....i dont need attention or mtu kuniheshimu kwaajili ya kitu au kwa sabanu ni fulani ....
Heshimu kila mtu , mtu yoyote anaeza kuwa msaaada kwako wakati wowote