mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata mimi nimemshangaa aisee Phd ana mwandiko kama wa darasa la 5B.Mbona huu mwandiko sio wa mtu aliyewahi kusoma PhD labda tu awe anabobea katika fani ya kubeti.
Tatizo mzee unakula Sana kayaKuna mheshimiwa mmoja alikua akifika ofisini kwetu kila mtu anatetemeka, siku hiyo kaja kanikuta nikamkazia naongea nae kama mshkaji tu huku namuuliza maswali hadi mwenyewe akaingia ubaridi akaniuliza wewe kabila gani nikamwambia mimi mswahili tu, muda huo tunaongea ofisi nzima wamekimbia namuona boss kajificha anasikiliza tunachoongea, kuanzia siku hiyo yule mzee akija ofisini anaulizia yule mswahili yuko wapi, nikifika namzingua hadi tumekua washkaji kaomba namba yangu akiwa na shida ananicheki, siku hizi hata staff wengine hawamuogopi kivile kama mwanzo
Hahahaha alichezea vitasa[emoji1787][emoji1787]Kuna jamaa mmoja alishawahi kunikejeli na kunidhihaki..
Akitaka kunipiga,,hata watu wakimsihi asinipige,,
Anatamba tupewe dk 10 aning,oe meno..yote ya mbele.
Basi alijaza watu sana pale mtaani.
Si unajuwa tena unapohamia mitaa mipya? Watu hawakujui vzr.
Basi niliokolewa na Mzee mmoja Mwenye busara,,ili jamaa asinipige.
Lakini jamaa alikuwa serious kutaka kupigana na mm,,kisa cha kijinga kabisa..
Basi ikawa jamaa kila akiniona,,ananikoromea,,Mimi nampuuza tu.
Siku moja huyo jamaa alikuja kwenye gym yetu ya mazoezi bila kujuwa.
akataka aanze kujiunga,,ili afundishwe ngumi..
Alipokuja akapewa utaratibu ,halafu akaambiwa na vijana subiri mwandende afike..
Yeye ndy mpango mzima humu.
Jamaa alishtuka sana aliponiona kumbe mwandende mwenyewe ngumi cherehani ni Mimi..
Jamaa uso wake ulikuwa mdogo kama kijiko cha chai..
Nilichokifanya jamaa niliomba aanze na mimi ulingoni,,
Ili kupima uwezo wake,,
Kilichofata ni mayowe na kilio kwa jamaa..
Usimdharau usiyemjuwa.
Ile ambayo Magu ameifugia?It was a suprise kwangu.
Jirani yangu aliekuwa anajifanya ni boss wa Ikulu mtaani muda wote kanuna na miwani yake mieusi alikuja kunihudumia Chai Ofisini kwa Mama Salma Kikwete wakati wa WAMA, kumbe Alikuwa Office attendant pale tena wale wa oya oya na mie na wenzangu tulienda kupeleka project paper ya ki NGO chetu ambacho ni Hayati kwa sasa kuanzia 2015.
Halafu napiga sehemu moja tu,,Hahahaha alichezea vitasa[emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji38][emoji1787]Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa nakula sehemu(mgahawa).sasa ylule mpishi alikuwa akiniletea dharau sana kwa sababu nilikuwa naulizia ugali kila siku nikiwa pale,alikuwa analeta shobo zaidi kwa wale wanaonunua chipsi.
Lakini mwisho wa siku alikuja kubadilika alipogundua mimi ndiyo mkulima wa vile viazi anavyouza.
amini kwambaDuuu huu uzi unanipa moyo na hustle zangu kumbe kesho yawezekana ikawa zamu yangu kutamba kikubwa uzima tu
Mkuu picha tafadhali na sie tukuone..Hii kitu nakumbuka ilikuwa ni kwa my husband. Alinipost Instagram siku ya birthday yangu. Kuna wadada na wakaka wakamtext inbox kumuuliza huyo ni mkeo kweli au utani?!
Wanastaajabu sababu hawakudhania anaweza kuwa na mwanamke kama mimi kwa maana ya uzuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nikamwambia lets kiss tuwatumie video wasijehisi unapost wanawake za watu.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ha ha ha siruhusiwi kujipost hovyo, mume wangu ndie anatakiwa kunipost me nimeshaolewa so ni mali ya mtu siruhusiwi kujinadi tena sokoni.Mkuu picha tafadhali na sie tukuone..
Mkuu sijamaanisha unajinadi mimi ukinitumia huko PM utabarikiwa sanaa [emoji122]Ha ha ha ha ha ha ha siruhusiwi kujipost hovyo, mume wangu ndie anatakiwa kunipost me nimeshaolewa so ni mali ya mtu siruhusiwi kujinadi tena sokoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamaniMkuu sijamaanisha unajinadi mimi ukinitumia huko PM utabarikiwa sanaa [emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiutendee mti mkavu hivi mkuu embu umwagie japo maji kidogo na wenyewe ujione ni mti katikati ya miti[emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiutendee mti mkavu hivi mkuu embu umwagie japo maji kidogo na wenyewe ujione ni mti katikati ya miti[emoji8]