Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Hii ishanitokea wakati niko primary nilikuwa kichwa kuwa namba 1,2,3 kitu cha kawaida nilikuwa maarufu kuanzia shule nnayosoma mpaka shule za jirani so cku moja nkakutana na kichwa wa shule ya jirani yy alikuwa hanijui alikuwa ananichukulia poa kuna mwana akaniita jina langu yule kichwa akackia hakuamini kama ndo mm

Nyingine katika mishe zangu za udalali kuna mwarabu koko mmoja alikuwa anahitaji kiwanja cha kununua so akanipa kazi ya kumtafutia but nilipokutana alikuwa mtu wa madharau ghafla cmu yangu ikaita wakati tunaongea akawa anajisachi akijua cm yake kumbe ni cm yangu Samsung A 12 kipindi hicho ndo znatoka na yy alikuwa anayo kama hyo alinunua Dubai alijickia mnyonge kuona mchizi dalali tena Chanika anamiliki cm kama yake
 
Hata sio Sifa bali vitu vingine ni aibu kusimulia, yaani muislam wajigamba kwa kutukufahamika dini yako!! Aibu gani hii
 

Yan kuna watu sio wachawi lkn matendo yao km wachaw hv wanapenda kuona wao ndio wako juu tu kuliko wenzao au watu wanaowazunguka...huyo jamaa ako umemkata vibe viby san alijua atakukuta choka mbaya uanze kumlilia shida na kumnyenyekea[emoji38]
 
Mbona kama nakujua
 
Enzi hizo bimkubwa na mzee CRDB wana zile VisaGold so wanahudumiwa kishua....kwahiyo dada akajua huyu sio kwamba anauza matunda kwa dhiki. Mimi huwa simdharau mtu nisiyemjua kabisa
Kuna katabia haswa wakikuona umepoa kumdharau mtu yaani ni ugonjwa wa taifa huo sijui shida nini

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Msenge san huyo
 
Ulimfundisha somo kubwa sana,una masters na huwazi unafanya biashara zile zinaonekana ni za wenye vipato vidogo
 
Matumizi mabaya ya madaraka
 
Umeanza vizuri mkuu ila mwisho hapo umeiharibu weekend yangu [emoji3]
 
Ulimfundisha somo kubwa sana,una masters na huwazi unafanya biashara zile zinaonekana ni za wenye vipato vidogo
Na watu wengi hawajajua biashara simple ndio zinazotoa faida sana. Kuna watu huwa wananiambia wewe ungekuwa umesoma ungekuwa mbali sana basi huwa nacheka tuu.
Ila kuna baba mmoja alikuja nikamhudumia wakati anakula akaniambia binti yangu inaonekana umesoma eeh tena elimu ya juu nikamuuliza kwann baba, akasema kuanzia customer service yako, lugha yako kwa mteja na hata ulivyo organised inaonesha elimu ipo.
 
Nawambiaga watu.. Muuza Karanga alie na Degree na Muuza karanga ambae halijui Daftari ni vitu viwili tofauti.

Mpika Chips mwenye Diploma na Mkaanga chips wa darasa la saba ni vitu viwili tofauti.

Elimu haijifichi hata ufanye kazi ya zege au uwe kondakta ,kuna kitu common kinapatikana kwa WASOMI tu huwezi kikuta kwa mtu ambae hajasoma.

Ndio mana nimesema Ntakujaga rudi kuzitafuta MASTERS na PHD baadae,sina kazi nazo ila nazitaka tu cause najua kuna kitu kikubwa sana nitajiongezea nikiwa kama MACHINGA wa biashara ya mtaji ELUFU HAMSINI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…