2007 ndo nlimaliza chuo RMIT, 2008 nikaajiriwamoja ya mikoa maskini sana km mwalimu wa chuo, 2009 nikaanza kuishi na mchumba wangu she was 20 yrs old mm nlikua 27, nlikua na ka mwili kadogo sana, yeye pia,
Tulipanga nyumba nzima na tulikuwa na mtoto 1 ofcourse tulimpata 2007 tukiwa wanachuo, sasa siku moja jamaa kaelekezwa kwangu alikuwa ana shida ofisini akaja weekend. Sehem nilokuwa nimepanga ilikuwa ushuani sana walikua wanaishi watu mabosimabosi tu, ulinzi kama wote maana ni nyumba za taasidi flani ya kidini.
Alinikuta nafanya kazi ya usafi uwanjani nipo na wife nina kipensi na wife pia kipensi, tukasslimiana ila alituchukulia km watoto wa pale, akauliza nimewakuta wenye nyumba, wife akamjibu ndio yupo, akaomba aitiwe wife akamwambia ndo sisi, jamaa alishtuka waziwazi tena mshtuko bila kujificha, akasema hata hamfananii kabisa.
La pili limenikuta mwezi ulopita, mm ni professional yangu ni mtaalam wa IT, sasa kwa sasa ni kiongozi mkubwa tu bext to principal, wakaja watu wa utumishi kufanyisha online aptitude test, walinikuta nimevaa simple tu Tshirt na kadet na raba simple tukapiga kazi sana na mashine jama 20 hivi zilizingua so baada ya kumaliza majukumu ya siku hiyo mida ya saa2 usiku nikaanza kuzirekebisha hadi saa 8 usiku, jamaa tulipiga nao hadi mda huo, kwa ajili ya maandalizi ya kesho yake coz kulikuwa na nyomi. Tulivomaliza jukumu ikaja muwind up, mkuu alisafiri so nikawa nimeachiwa chuo, it was mobday so huwa navaa kulingana na kazi za siku hiyo wakanikuta nimevaa suti safi, nao walishtuka sana jamaa akanichana kuwa hakufikiri kabisa kuwa mm nina nafasi ile alifikiri ni mtu tu wa IT pale chuon,nikamjulisha mm pia ni mtu wa IT hujakoseana mwenzangu kasafiri kikazi ndo maana uliniona kule, japo kwa sasa huku ndo ofisini kwangu.