Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

😅😅😅Hii chai wakati et kaka Extrovert
 
😂😂😂😂🙌🙌
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Chai
 
😂😂😂😂 hii kali!!
Km nakuona ulivyokiwasha afu ukute ni kafupi
 
Punguza shobo
 
Mtu akikuchukulia poa mdharau na muone yeye ndio mjinga mtu mwerevu siku zote amchukulii poa tu ila mtu mjinga ndiio anachukulia mtu kinamna gani ....Its just a matter how you handle stupid people and ignore the situation
 
Kitasa kilijilock akiwa yupo nje ndani kawasha Jiko la Gesi
Ni Manzi fulani anajiona sana
Alafu MTU pekee wa kumsaidia ni Mimi
Siku za nyuma alikua hanisalimii akiniona ananiona namna gan fulani
Kaanza kuomba Msaada
Mwisho akaambiwa aje kwangu
Akanigongea mlango kwa aibu
Still bado akawa ananidharau kwamba nitaweza kweli kutoa lock?
Siku HIO hata ningeomba Mbunye nahisi ningepewa
SIO kwa kuomba kule
Nikagoma akaniganda km ruba
Kidume nikaenda kushugulika mlango ukafunguka
Nusura aniambie njoo ndani uniwashe kimoja alivyofurahi
Kuanzia hapo ananiheshimu
Dharau zimeisha

Usimdharau usiemjua haujui lini atakusaidia na Wapi atakusaidia
 
Hapo walikoma kulinga Mijuto kwasana 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…