Wewe muache atakuja kushangaa japo siombei itokee vidonda vya tumbo vinapiga hodi, presha n.k.Too much of anything is harmful. .si unaona alivo take advantage? ? Kuna mahala Hawachi amesema " kwenye mahusiano/ ndoa kuna sehemu inatulazimu tuwe katili tu inapobidi. . No wayy
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nilishasaligi huko nyuma mpaka nikaona acha nikae tu labda uenda ndo Mungu kapanga hivi
Umeoongea Point sana kunywa fanta nakuja kulipaMy dear abuse is abuse no matter it's form...kua abused sio lazima physically. Huyo mume ana mu abuse emotionally,mentally and financially....which in my view is far worse than physical abuse.Why?Because in my opinion ukiwa abused physically unaweza kujitetea kwa kurudisha mapigo (if you can)na ni rahisi watu kukutetea kwasabu watakuona na majeraha.
Financially,mentally and emotionally ki Africa sionagi hata can it's considered abuse.Matokeo yake mtu anakua na stress mpka anakufa au anaishia kucheat,kuugua na kama anakua abused financially ndo anajenga na kufanya mambo kwa siri .
Maasai dada huyo mume anaku abuse...he is a sadist the more you beg him for attention the more atakuumiza coz hajali hisia zako.
Nawaambiaga watu Life is too short ...live a life that you're content with and never regret!!! Create your own happiness....
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani Dada. Je huyo mzazi mwenzie walioana??? Je mahusiano yao yalikuwaje Mpaka wakapata Mtoto??? Huyo Mzazi mwenzake ana hali gani huko aliko???Asante sana..siwezi kutoka nje ya ndoa
Ila sasa unajua binadamu tupo tofauti tulivyoumbwa yaani mimi ni ile type ya siwezi ku ignore kabisa hata kama nikinyamaza nitaingia chumbni na nitalia sana..
I wish niwe na uwezo huo nahisi naweza kusogeza siku mbele maana naona mambo yamenilemea sana.
Ushauri nilimuomba mama yangu ki ukweli huwa anasema nipambanie ndoa ila mimi siwezi kabisa.naona nimeshindwa kuhold on..nazipi kupata maumivu tu kila uchao
Ushauri huu hapa masai dada huitaji kuongeza hata nuktaUmeshawambia jamaa zako wanaokuzidi umri na waliopitia mengi?
Wao wamekuambiaje?...
Siwezi kumshauri mtu aiache ndoa yake maana kwenye maisha ups na downs zipo saana. Zinaweza kudumu hata kwa miaka.
Binafsi huwa napenda kuchukulia kila changamoto mtaji. Mwenyezi Mungu anakupitisha katika haya matatizo maana anajua unauwezo wa kudeal nayo...wewe una nguvu za kila aina kudeal na hii issue.
Nitaendelea kusisitiza ongea na wanaokuzidi umri, unaowaamini, wasiwe ndugu wa upande wowote maana watakuwa biased.
Namna nzuri ya kudeal na mtu wa namna hii ignore. Deal naye kisaikolojia yeye anafanya kukukomoa sasa wewe muoneshe haujali.
NB: kipindi unachopitia kwa wanawake ni kibaya saana. Usije ukajaribu kutafuta faraja nje. Faraja ya siku moja inaweza ikaharibu maisha yako yote.
AgreePole dada. Mimi siwezi kumpa mwanaume pesa, kukopa kwa ajili yake au kumkopesha.
Back to the topic I think you have bigger problems to worry about than hiyo pesa ya mkopo. That man is selfish doesn't love or respect you. Focus on that and see how you can change that. Pole kwa kuishi kwa manyanyaso.
Sent using Jamii Forums mobile app
CHUKUA HUU USHAURIKwa sisi wakristo huwa inasemwa alichounganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe. Mbili kaa kimya kama unaweza kukaa kimya maana mawazo yatakuua dada yangu. Tuliza kichwa na kwa vile upo mwenyewe usimwambie mtu maana kama atakua mwanaume ataitumia kama nafasi ya kukutaka na kama ni mwanamke atakutangaza mtaa mzima.
Mwambie Mungu kwenye maombi yote na muombe uwezo wa kushinda. Trust me sijapitia yako ila matatizo yangu huwa nalia na Mungu na sina tena msongo wa mawazo maana unaweza kukuua bila kutarajia. Fanya biashara zako ndogo ndogo huku ukilipa mkopo wako taratibu, nunua kiwanja jenga. Andika jina la mama yako maana ukiandika lako anaweza kudai share yake siku ya kuachana.
Baada ya hapo msome anaendaje ila pia jiepushe kuzaa mtoto mwingine na yeye. Hii plan itakuchukua hata miaka miwili ila siku unaondoka kwake hataamini. Maana ukibeba mimba nyingine mateso ya mwanzo yatakua madogo kuliko ya pili. Mvumilie usimuulize chochote ila jipange maana hapo hata wakwe tu inaonekana hawapo upande wako. Umebaki na Mungu pamoja na kichwa chako. Fanya uamuzi mwenyewe dada yangu la sivyo utalia mpaka utakua kichaa
Kwa Hilo utakuja kulia zaidiKwenye ule uzi...kuna mtu aliniambia WEWE NDO UNAMPENDA NA SIO YEYE yaani tunaishi kwa amani kwakua nampenda so vitu anavyofanya nina ignore
Sijui umri wako ila naisi wewe ndyo unajitesa sana kama bado una miaka 20 kazi mbele kama ni ya serikali wala usiwe na hofu just chill ila kama ni kampuni binafsi na una mkataba wa miaka 3 bado kwenye mkataba anza kujiwekeza polepole na kwenye ndoa yako usiexpect makubwa kama anakutia na unagurahi basi amini ilo ni jambo la muhimu mengine potezea jifurahie mwenyewe toka out na mwanao, au na marafiki zako jitafutie furaha ww usingoje yeye akupe ili ufurahi mmeo anajua unampenda ndyo maana anajibu vile ajisikiavyo acha kulilia penzi acha kuulizia Mali kikubwa tayari una kzi unaweza kujiwekeza mwenyewe uku anajua na usijichanganye tena kufanya kitu cha pamoja maana madhara ushayaona akikuuliza mwambie ni cha mwanao kama ni kiwanja weka jina la mwanao nyumba jina la mwanao kuepuka mogogoro mbeleni kumbuka furaha inaanza na wewe mwingine anaongezea tu kwaiyo itafute kwanza wewe ndyo mwingine akupe worry not about wealth kama una nia ya dhati utatafuta na kupata.Ningekua nimesimama kiuchumi hata kesho ningeanza upya.
Inaumiza sana kuishi na mtu asiekupenda ila wewe unampenda ni bora na wewe mapenzi yawe yameshaisha