Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Kuna kitu ngoja nikufundishe, kamwe usizamishe moyo wako.kwa mwanadamu hata umpendeje, manake wanadamu huwa wanabadilika wakati wowote. Penda mtu atkeast 50 percent hata awe mumeo.manake wanadam wana asili ya kuwa washenzi tu kuna siku atakuzingua, 50.percent unajibakishia mwenyewe siku akizingua unakua stable.

Lakini hata usiogope, kwa kuwa sa hv huna kitu we kuwa mpolee huku ukingoja uchumi wako ukae sawa, tena mpende huyo mumeo keshakuambia ukweli kuliko angekwambia ushajizeekea huna namna. Cha msingi kwa sasa msikilize akitoa hoja yoyote kuhusu mwanae au hapo ndani ili upunguze kumkwaza, huku we unamark time mambo yako yatengemae,..mbona utakuja kwenda nae sawa tu. Kuwa mpole sana na usioneshe kama unajali maneno yake we kuwa bwege huku ukitulia we ukae sawa manake hapo kama huna kipato usijemzingua akakufukuza ikawa majanga.@masai dada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana kwa unanyoyapitia! Baaba ya kusoma kinachokusibu nikavaa kiatu chako! Aisee kichwa kiliniuma hafla! Pole ndugu yangu...pole kipenzi! Jua kwamba kila linalokutokea linasababu! Hataivo every thing will be alright!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana usiseme hivyo, Mungu hajapanga hivyo ni changamkto za kawaida mbona, u atakiwa uwe strong ukabili hizo changamoto na mpatane vitu kwa amani manake huwezi mfosi mtu anayekulisha.
Mkuu nilishasaligi huko nyuma mpaka nikaona acha nikae tu labda uenda ndo Mungu kapanga hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kung'ang'ania ndoa kama mtu hakuelewi ni bora uende utafute maisha yako utakufa kabla ya wakati kwa ujinga wako trust mi huyo sio mana wala baba y'ako
Omba divorce hiyo mahari itagawanjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My dear abuse is abuse no matter it's form...kua abused sio lazima physically. Huyo mume ana mu abuse emotionally,mentally and financially....which in my view is far worse than physical abuse.Why?Because in my opinion ukiwa abused physically unaweza kujitetea kwa kurudisha mapigo (if you can)na ni rahisi watu kukutetea kwasabu watakuona na majeraha.

Financially,mentally and emotionally ki Africa sionagi hata can it's considered abuse.Matokeo yake mtu anakua na stress mpka anakufa au anaishia kucheat,kuugua na kama anakua abused financially ndo anajenga na kufanya mambo kwa siri .
Maasai dada huyo mume anaku abuse...he is a sadist the more you beg him for attention the more atakuumiza coz hajali hisia zako.
Nawaambiaga watu Life is too short ...live a life that you're content with and never regret!!! Create your own happiness....

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeoongea Point sana kunywa fanta nakuja kulipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa hili kasheshe linalokukuta Mrembo.

Wanaume wengi ni wabinafsi sana na wengi ndo wanafanyaga mioyo ya wanawake kuwa migumu.Tulia uzuri unamjua mume wako ndoa ni kupambana usirudishe mpira kwa kipa, bado mapema mno!jifunze kumpuuza kipindi hichi fanya vile vitu unavyovipenda.

Kumbuka wewe ndo chanzo cha furaha yako.Kingine tafuta biashara au mradi wowote utakaokufanya uwe busy na uweze kutengeneza kipato chako.Mbona utatoboa kimya kimya pasipo kuwa na majibizano ndani.Mungu akusaidie kweli kweli maana si rahisi.Happy New year.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana..siwezi kutoka nje ya ndoa

Ila sasa unajua binadamu tupo tofauti tulivyoumbwa yaani mimi ni ile type ya siwezi ku ignore kabisa hata kama nikinyamaza nitaingia chumbni na nitalia sana..
I wish niwe na uwezo huo nahisi naweza kusogeza siku mbele maana naona mambo yamenilemea sana.
Ushauri nilimuomba mama yangu ki ukweli huwa anasema nipambanie ndoa ila mimi siwezi kabisa.naona nimeshindwa kuhold on..nazipi kupata maumivu tu kila uchao
Samahani Dada. Je huyo mzazi mwenzie walioana??? Je mahusiano yao yalikuwaje Mpaka wakapata Mtoto??? Huyo Mzazi mwenzake ana hali gani huko aliko???
 
Umeshawambia jamaa zako wanaokuzidi umri na waliopitia mengi?

Wao wamekuambiaje?...

Siwezi kumshauri mtu aiache ndoa yake maana kwenye maisha ups na downs zipo saana. Zinaweza kudumu hata kwa miaka.

Binafsi huwa napenda kuchukulia kila changamoto mtaji. Mwenyezi Mungu anakupitisha katika haya matatizo maana anajua unauwezo wa kudeal nayo...wewe una nguvu za kila aina kudeal na hii issue.

Nitaendelea kusisitiza ongea na wanaokuzidi umri, unaowaamini, wasiwe ndugu wa upande wowote maana watakuwa biased.

Namna nzuri ya kudeal na mtu wa namna hii ignore. Deal naye kisaikolojia yeye anafanya kukukomoa sasa wewe muoneshe haujali.

NB: kipindi unachopitia kwa wanawake ni kibaya saana. Usije ukajaribu kutafuta faraja nje. Faraja ya siku moja inaweza ikaharibu maisha yako yote.
Ushauri huu hapa masai dada huitaji kuongeza hata nukta

Hongera Mkuu Daby kwa busara hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakushauri maisha popote. Amsha mapema. Hapo huna mume. Kwa sababu umewekeza hela hapo kwenye nyumba ili kuondoka kwanza na huo mkopo,nenda ustawi wa jamii. Hapo omba mambo mawili,la kwanza kuachana,waambie madhira yote unayopitia. La pili huo mkopo wa nyumba,wamshurutishe akurudidishie,ksbb nimekuona wewe ni mpambanaji,hiyo ukaanzie mbele. Ila hakikisha umeachana na huyo mume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole dada. Mimi siwezi kumpa mwanaume pesa, kukopa kwa ajili yake au kumkopesha.

Back to the topic I think you have bigger problems to worry about than hiyo pesa ya mkopo. That man is selfish doesn't love or respect you. Focus on that and see how you can change that. Pole kwa kuishi kwa manyanyaso.

Sent using Jamii Forums mobile app
Agree
 
Pole saana mdada, si mtaalamu wa mambo hayo lakini common sense unanipa haya ya kusema.

1. Naona kuna kama hali ya mashindano, hata kama siyo moja Kwa moja basi hata hiyo ya wewe kudai fair treatment mwenzako analiona kama unashindana, sasa anakukomoa.

2. Huenda mama wa mtoto wa zamani ana mkono wake, au kuna mwanamke mwingine nje anamfanya asijisahau na akutreat vibaya, labda utaondoka mwenyewe. Inaweza ikawa hivi hivi tuu ujinga wake au hata kimazingara pia.

3. Ama kuna uwezekano ndugu zake flan hawakukubali, sasa nayeye amekuwa jinga jinga anayekosa ku analyse mambo.

4. He is short sighted, yaan ukute hapo umechangia ujenzi, na sasa huna hela huna ujanja, anajiona amefiiika, hajui kuwa hiyo nyumba siyo yake pekee.

Nini cha kufanya??

1. Huyo ni mumeo never give up on him, yaani weka akilini kwako kuwa kitakacho kutoa hapo labda roho itoke. Wewe ndo mtu wa kurekebisha yoote hayo. Hilo uwe nalo akilini.

2. Analyse Mali zote mlizochuma pamoja, ikiwepo na hiyo nyumba, register malalamiko official, iwe ustawi wa jamii, kikao cha ukoo, popote pale tafuta ushauri, yaani ijulikane kuwa mmejenga pamoja na kuwa mkopo wa mshahara wako unakatwa Kwa sababu ya Hilo, wazazi wako waliokusomesha wajue Hilo, mshenga ajue Hilo, yaani Kwa vyovyote vile ajue kabisa hicho anachojiaminisha ni ndoto. Mtoe upepo.
Usiogope vita kuongezeka lakin nakwambia akijua yote hayo atapunguza speed.

3. Ishi kwako bila kujali upendo wake, pika chakula, fanya majukumu yoote ya mke, omba hela za matumizi, ukinyimwa basi. Ila jishushe, usijinyenyekeze kiviile, itafika mpaka watoto wataona unanyanyaswa ila utafanyaje ndo zamu yako ya ups.

4. Punguza matumizi binafsi ili usiteseke Sana, kama unaweza kuishi na nywele fupi kata Tu, kwenye vikoba sijui kitchen party unaweza kujitoa au kujipunguza saaana, dunia haitakuelewa kirahisi lakn kwakuwa unajijua utakuwa na amani moyoni.


Ukiweza hayo japo for 4months utaona anajirudi mwenyewe. Ila ukiishi kama vile hayo anayokufanyia siyo kweli basi utateseka kisiri Siri Hadi utajikuta ume give up kirahisi.

Pole , nitaendelea hapa ama inbox

Note: hao watoto wote wanakutegemea uyakavyosimama wewe, bila wewe wanapotea wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sisi wakristo huwa inasemwa alichounganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe. Mbili kaa kimya kama unaweza kukaa kimya maana mawazo yatakuua dada yangu. Tuliza kichwa na kwa vile upo mwenyewe usimwambie mtu maana kama atakua mwanaume ataitumia kama nafasi ya kukutaka na kama ni mwanamke atakutangaza mtaa mzima.

Mwambie Mungu kwenye maombi yote na muombe uwezo wa kushinda. Trust me sijapitia yako ila matatizo yangu huwa nalia na Mungu na sina tena msongo wa mawazo maana unaweza kukuua bila kutarajia. Fanya biashara zako ndogo ndogo huku ukilipa mkopo wako taratibu, nunua kiwanja jenga. Andika jina la mama yako maana ukiandika lako anaweza kudai share yake siku ya kuachana.

Baada ya hapo msome anaendaje ila pia jiepushe kuzaa mtoto mwingine na yeye. Hii plan itakuchukua hata miaka miwili ila siku unaondoka kwake hataamini. Maana ukibeba mimba nyingine mateso ya mwanzo yatakua madogo kuliko ya pili. Mvumilie usimuulize chochote ila jipange maana hapo hata wakwe tu inaonekana hawapo upande wako. Umebaki na Mungu pamoja na kichwa chako. Fanya uamuzi mwenyewe dada yangu la sivyo utalia mpaka utakua kichaa
CHUKUA HUU USHAURI
 
Ningekua nimesimama kiuchumi hata kesho ningeanza upya.
Inaumiza sana kuishi na mtu asiekupenda ila wewe unampenda ni bora na wewe mapenzi yawe yameshaisha
Sijui umri wako ila naisi wewe ndyo unajitesa sana kama bado una miaka 20 kazi mbele kama ni ya serikali wala usiwe na hofu just chill ila kama ni kampuni binafsi na una mkataba wa miaka 3 bado kwenye mkataba anza kujiwekeza polepole na kwenye ndoa yako usiexpect makubwa kama anakutia na unagurahi basi amini ilo ni jambo la muhimu mengine potezea jifurahie mwenyewe toka out na mwanao, au na marafiki zako jitafutie furaha ww usingoje yeye akupe ili ufurahi mmeo anajua unampenda ndyo maana anajibu vile ajisikiavyo acha kulilia penzi acha kuulizia Mali kikubwa tayari una kzi unaweza kujiwekeza mwenyewe uku anajua na usijichanganye tena kufanya kitu cha pamoja maana madhara ushayaona akikuuliza mwambie ni cha mwanao kama ni kiwanja weka jina la mwanao nyumba jina la mwanao kuepuka mogogoro mbeleni kumbuka furaha inaanza na wewe mwingine anaongezea tu kwaiyo itafute kwanza wewe ndyo mwingine akupe worry not about wealth kama una nia ya dhati utatafuta na kupata.
.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom