Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Yote yatapita,huwezi kubaki katika hali hiyo milele. Ni sualala muda tu,piga moyo konde,tambua hitaji la moyo wako then tekeleza hitaji hilo.
Heri ya mwaka wandugu.

Ukweli nimeona nije na hii ID kabisa tu maana uchungu nilionao moyoni nahisi kufikia point ya kuhitaji msaada.
Nilikuja na ID hii mamii90 kuomba ushauri tu. Naomba uangalie ule uzi wa familia ya mume ndo utapata muendelezo wa hii.

Watu wengi walionishauri walisema ongea na mume wako moja kwa moja aisee ile siku najuta kwanini niliongea naye kwa uchungu sana, maana aliniambia mama yangu anakuja December kukutoa. Kwa hasira nikamjibu sitoki akasema "Hii nyumba haikuhusu, inamhusu mwanangu" ambaye sio mtoto wangu ni mtoto wake aliyemzaa kabla hatujafunga ndoa.

Ki ukweli roho iliniuma maana hii nyumba pia mimi nilikopa na ni pesa nyingi bado napambana riba. Baada ya ile siku niliona isiwe shida; zile ni hasira nikajirudi maisha yakaenda. Ila katika ushauri pia kuna member aliniambia jitahidi kumuweka karibu na mwanaye huyo (E).

Kweli nikamwambia likizo hii kamlete walau akae wiki kadhaa akamshawishi mama ake kweli mama yake akakubali mtoto akaja. Ki ukweli mtoto ni mtulivu sana, yaani ni rahisi mno kuishi naye. Yaani ni mpole mpaka raha, nilimpendaga tangu hapo lakini ni wa kike.

Sasa wakati amekuja kuna kitanda nilishamuandaliaga siku nyingi ila alitokea mgeni tukakifungua tukakiamishia chumba cha wanaume. Alivyokuja mchana nikamwambia mume wangu nisaidie tuhamishe hiki kitanda chumba cha dada
akajibu haina haja nitalala naye mimi. Kumbuka chumbani kwetu kuna vitanda viwili, kimoja cha mtoto wangu wa 2yrs bado ananyonya so huwaga nanyonyesha namlaza nahamia kitanda kingine, hiki chetu sasa.

Sasa wakati kaniambia vile nikamwambia huyu binti mkubwa hivyo tutalala naye vipi? Anaendea 7yrs. Ki ukweli haikuwa kwa ubaya kabisa ila hata katika hali ya kawaida ni ngumu; alibadilika sura pale ikabidi niwe mpole.

Kweli usiku ukaingia binti akaanza kulala na baba ake kwenye kile kitanda. Usiku wake mpaka niliota mandoto ya ajabu maana nilikuwa nawatizama tu, sikulala ki ukweli.

Ni kama wiki hivi tupo naye. So mimi nina maugwadu kama yote maana wiki ile nilikua period na hii tangu majuzi ndiyo dogo tunapoa naye rum. Mi nikawa namuonesha ishara tuingie hata chooni, anani-ignore.

So jana anacheki mpira watoto wanachenza nje nikamfata nikamwambia twende chumbani nikamwambie kitu, aliniangalia kabisa akagoma. Nikasema ngoja mpira uishe aisee hakuja, niliumia jana sana. Sema nikapotezea kiutu uzima. Ki ukweli dogo huyu wa kike namkubali sana aisee so nikasema ngoja nimute nijikaze mpaka nione mambo yatakavyojipambanua.

Leo asubuhi madogo kama kawa wakaamka wakasepa tukawa tumebaki wawili tu chumbani, akanifata kwenye kitanda changu; ki ukweli sikua hata na hamu kabisa maana nilishaishiwa na nguvu tangu majuzi huko. Nikamwambia tu ukweli tangu juzi nakubembeleza unanitolea nje (kiutani ila siriaz)

Nikamwambia tumuandalie kitanda cha dogo cha pamanent kwa dada maana huwa anakuja weekend sometimes ila huwa halali, ili hili lisitokee. Nikawa naendelea kumwambia, nikamwambia nilim-miss hatari.

Nikiri Mungu ananiona japo nina ID fake niliongea hilo bila chuki yoyote ila bila kutarajia akaniambia "HATAKUJA TENA ILI ASIKUSUMBUE"

Aisee maini yalikatika, daah moyo uliniuma nikakosa hata cha kuongea. Nikamwambia jamani ita hata mtu mzima kweli ni haki wewe kulala na binti mkubwa hivi kitanda kimoja, hakunijibu akaendelea kunipapasa.

Aiseee sikuloa hata chembe, nilikuwa mkavu wakati nina ugwadu kama wa 2wks na hii ni hilo neno liliniumiza sana. Ukicheki huyu binti nampenda namnunuliaga mazaga hadi mama ake ananikubali.

Angaika pale akafanya yake, akaondoka.

Kiukweli nikamtext kwamba najihisi mpweke kwenye hii ndoa.

Pale tuli-exchange texts kadhaa ila nikamwambia najuta kwa nini nilikopa nikaweka katika hii nyumba na siyo kwa sababu ulisema hii nyumba hainihusu, bali ni kwakua sina hata shilingi na unaninyanyasa kihisia namna hii. Akaniambia "Ndiyo nishakwambia haikuhusu, inamuhusu mwanangu mkubwa"

Nikamjibu sasa mimi na mwanangu twende wapi? Akasema omba Mungu nipate hela nitamjengea yeye ila jua hiyo nyumba haiwahusu.

Wakuu, kuna mengi hapo nayaskip, ila hii nyumba nimekopa kiasi cha pesa nikampa bado napambana na riba
Lakini kingine huyu ni mume wa ndoa kabisa.

Nakatwa kiasi kikubwa cha pesa kulipa ule mkopo na nilikuwa na biashara mwezi wa 11 walikuwa wanatengeneza ile barabara pale imeathiri hadi huo mradi. So namtegemea kwa kila kitu kwa sasa. Sitaki kufaiti kwa chochote nahitaji kuanza upya wakuu

Am soo scared nahisi naweza kuumia nikiendelea au kumuumiza mwanangu maana sijawaigi kuona ule upendo wa dhati kwa huyo dogo kutoka kwake japo wanafanana utafikiri wa mama mmoja. Sina namna yoyote ya kuanza upya ila natamani nianze upya niachane na hii nightmare.

Sina mia na sina chochote kile na ndo amepata point ya kunipiga vizuri. Kwa kifupi mwanangu nimepambana naye tangu hajazaliwa; nikielezea hili itachukua mada nzima.

Nimelia mpaka nahisi kuumwa.

Nisaidieni wakuu. Nikiri pamoja na changamoto zote sijawahi msaliti mune wangu hata tone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu na comments zao eti “endelea kumpenda huyo ni mumeo” am being like WTF! Hivi mnajua hata mliletwa ulimwenguni kufanya nini nyie watu? Mnaijua thamani yenu kweli?! Is it necessary kuji attach kwa mtu ndio ukamilike? Can’t you guys stand on your own!? Yaani mtu unavumilia ujinga wiki ya kwanza, ya pili, mwezi, mwaka, mwaka wa pili, wa tano!!!!!!! Wait hebu tuambie labda kuna taji huko mbeleni mtavikwa au?

Kwanini mnamshauri mwenzenu aendelee kuvumilia mateso, kuna guarantee ipi kuwa mumewe atabadilika anytime soon, na akichelewa kubadilika damage inayotokea kwa huyu dada mtai repair ninyi? Jitahidi basi kuwa serious, ifike muda watu tufundishwe ndoa ninini na kila mtu awe na mipaka yake. Tatizo Africa hakuna genuine reasons za watu kuoana, sababu za ajabu kabisa hupelekea watu kujikuta wameoana. Ndoa nyingi zipo juu ya mawe hawasemi tu, wapo kimya kama hamna kinachotokea.

Watu yapaswa waoane kwasababu tu wanapendana na siku upendo ukiisha ni ruhusa na busara kutengana kuliko kuchapana matukio mwisho muuane!

Ndoa ni nzuri, kutokuwa ndoani pia ni kuzuri , its all about peace and being happy. Dear young girls stick on your standards, don't lower your standars, wait for the right time with right man its real worth it and while your waiting invest on yourself. Wasichana msiyumbishwe na makelele ya patriarchal societies ohh mara unazeeka mara atakuoa nani ohh mara utaishia kuwa single mother na blah blah zingine, learn to think independently, jichagulieni aina ya maisha mngependa muishi, binafsi nilishamwambia tena na tena akijaribu kufanya ujinga My happiness can’t be compromised, najua nini nataka katika haya maisha kama hawezi nipa/ nisaidia nipate i’m better off!

Nimesoma comments nikagundua wengi wamezoea manyanyaso na wengine wamezoea kunyanyasa, laiti mngejua maisha yalivyo matamu na mafupi nyie watu msingekubali kabisa mtu akuchukulie muda wako autumie kwa mambo yakipuuzi!
 
Kuna watu na comments zao eti “endelea kumpenda huyo ni mumeo” am being like WTF! Hivi mnajua hata mliletwa ulimwenguni kufanya nini nyie watu? Mnaijua thamani yenu kweli?! Is it necessary kuji attach kwa mtu ndio ukamilike? Can’t you guys stand on your own!? Yaani mtu unavumilia ujinga wiki ya kwanza, ya pili, mwezi, mwaka, mwaka wa pili, wa tano!!!!!!! Wait hebu tuambie labda kuna taji huko mbeleni mtavikwa au?

Kwanini mnamshauri mwenzenu aendelee kuvumilia mateso, kuna guarantee ipi kuwa mumewe atabadilika anytime soon, na akichelewa kubadilika damage inayotokea kwa huyu dada mtai repair ninyi? Jitahidi basi kuwa serious, ifike muda watu tufundishwe ndoa ninini na kila mtu awe na mipaka yake. Tatizo Africa hakuna genuine reasons za watu kuoana, sababu za ajabu kabisa hupelekea watu kujikuta wameoana. Ndoa nyingi zipo juu ya mawe hawasemi tu, wapo kimya kama hamna kinachotokea.

Watu yapaswa waoane kwasababu tu wanapendana na siku upendo ukiisha ni ruhusa na busara kutengana kuliko kuchapana matukio mwisho muuane!

Ndoa ni nzuri, kutokuwa ndoani pia ni kuzuri , its all about peace and being happy. Dear young girls stick on your standards, don't lower your standars, wait for the right time with right man its real worth it and while your waiting invest on yourself. Wasichana msiyumbishwe na makelele ya patriarchal societies ohh mara unazeeka mara atakuoa nani ohh mara utaishia kuwa single mother na blah blah zingine, learn to think independently, jichagulieni aina ya maisha mngependa muishi, binafsi nilishamwambia tena na tena akijaribu kufanya ujinga My happiness can’t be compromised, najua nini nataka katika haya maisha kama hawezi nipa/ nisaidia nipate i’m better off!

Nimesoma comments nikagundua wengi wamezoea manyanyaso na wengine wamezoea kunyanyasa, laiti mngejua maisha yalivyo matamu na mafupi nyie watu msingekubali kabisa mtu akuchukulie muda wako autumie kwa mambo yakipuuzi!
Binti Kiziwi nakuelewa sana ulichokiandika lakini practically hatuendi hivyo! Ndoa ni ngumu na huo uzungu wako kwenye ndoa wengi hawaufuati usimshauri mwenzio hilo. Do you know how difficulty to get divorce paper in Tanzania? Without it will you be free and happy!? tatizo la ndoa la huyu mdada ni dogo sana, ameolewa na mtu mbinafsi na ninahisi mumewe bado ajaacha ujana ndo maana anam treat unfairly mkewe! Baadhi ya wanaume wakipendwa wanakuona mjinga that’s maturity, as time goes on huyo mwanaume ataelewa thamani ya mkewe! Mimi simshauri aachane na mumewe!
 
Natamani nijue kitu, una age gani, najua una mtoto mmj naye? Hili ni swali la msingi sana. Moja, pili...tatizo ni hisia au hakupendi(kwamba labda ni periodical love) sometimes anaupendo sometimes hana). Je yeye ni age gani unaweza uka estimate tu.
 
Tafuta Wakili akusimamie, muandikiane huku alionyesha umechangia. Jisimamie anakuchezea tu, utakuta labda bado analala na mama wa mwanae. Ndio sababu kubwa ukionyesha haupo nae karibu. Tafuta wakili pata chako, hata mkiuza hiyo naomba potelea mbali. Kwake ni umemjengea yeye na wale sio nyie ( wewe na mwanao). Utaanza maisha mapya kivyovyote, anakutesa ukifa nani atamlea mwanao? Huyo mume hakupendi, anakuchezea. Jiongeze ujijali wewe na afya yako kwanza. Acha kumtegemea, anajua hivyo na hashtuki. Wakili kwanza jipatie haki yako, usimuonee huruma kashaamua iwe alivyo.
 
Acha tu.
Mwenzetu yamemkuta kaanza vibaya hana sh mia na anadaiwa rejesho la riba, dudu pia hapati na mume anamsakama tunamsaidiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nianzie hapa hapa kukujibu. Mm kama mwanaume matured. Mwenye matatizo ni Masai Dada. Ana wivu, ni mchoyo, ila sio mbinafsi, hayuko serious, hayuko focused hapa bila kuambiana ukweli haitasaidia.

Katika haki ya kawaida, nyumba ni yake hapaswi kuanza kumsikiliza drunken man kuwa nyumba ya flani.

Sisi wanaume hamjawahi kutuelewa, tumeunbwa na extra mile japo tumeaswa tuishi nanyi kwa uangalifu, na hapo ndipo Masai alipokuwa blind.

Mapenz yao ni deaf blind. Mume anaendelea kutumia Male intelligence ambayo wamama hamna hii kitu.

Na Masai atakufa kwa kihoro. Wanawake wengi wanapoteza Maisha yao kwa kihoro, masai sio gangwe, sii muhuni, sii mlevi ni mtu wa Mungu japo ni mwanamke mjinga anapigana na adau asiyemjua, nilichoona mume anampenda Masai lkn masai anaketa kujua tabia kama za Lilith first adam wife.

Mwanamke asiyemnyenyekea mumewe nankuoenda ndg wa mumewe kama alivyoolewa huko hiyo ndoa itazama kina kirefu ardhini. Epuka ndoa kama hauko tayari kukubali sauti ya mume.

Swala la huruma kwa msichana wa kazi halikupaswa kuvuruga ndoa, swala la mdogo wa mumeo aka wifi halikupaswa kuwa kero kwako, katika hali ya kawaida nani anaharibikiwa?! anayelala na kufuliwa hadi chupi au anayefanyakazi na kutumikishwa?? Nyie ndiyo mnaofikiri kumpa mtoto good time ni kumsaidia. No nd never.

Kuifanya stori iwe fupi. Masai anamachaguo mawili. Kutii mume, abaki na ndoa, au abaki ndani akiwa na ananyanyasika asubiri afie ndani. Achague kuondoka atafute maisha mengine. Jibu analo
 
Mawazo yangu sasa, nayajua mwenyewe. Kwanza Mimi sijaolewa, ila akili yangu ingenituma yafuatayo:
1. Nyumba ina hati? Itafute uangalie imeandikwaje, kama kaandika jina lake mmeo, toa copy, then vibebe ukafanye certification, then certified copy tunza unakojua wewe. Maana ukigeukwa usishangae wakabadili umiliki ukashangaa hati inajina LA mama ake.
2. Kuanzia sasa, jihesabu hauna ndoa. Chochote unacho kifanya, waza furaha yako na future yako, fikiria hata kibiashara kidogo ufanya, huku unapanga majeshi yako. Najua mkopo una mwisho, hata mishahara huwa inapanda (thou yataka uvumilivu) yatakwisha. Muda huo usiwe boya tena kutumwa kukopa.
3.Ikitokea amekuagiza chochote cha thamani kununua (najua huna hela mpaka utumwe) make sure unapata risiti yenye jina lako. Tunza risiti.
4. With time utakuwa unaangalia hali ya mgonjwa inaendeleaje (mumeo anavyo kutreate namaanisha) ukiona ahueni ishi kwa tahadhari, kama ni mahututi hesabu muda wako wa kuwa stable kiuchumi ufanye yako.
 
Heri ya mwaka wandugu.

Ukweli nimeona nije na hii ID kabisa tu maana uchungu nilionao moyoni nahisi kufikia point ya kuhitaji msaada.
Nilikuja na ID hii mamii90 kuomba ushauri tu. Naomba uangalie ule uzi wa familia ya mume ndo utapata muendelezo wa hii.

Watu wengi walionishauri walisema ongea na mume wako moja kwa moja aisee ile siku najuta kwanini niliongea naye kwa uchungu sana, maana aliniambia mama yangu anakuja December kukutoa. Kwa hasira nikamjibu sitoki akasema "Hii nyumba haikuhusu, inamhusu mwanangu" ambaye sio mtoto wangu ni mtoto wake aliyemzaa kabla hatujafunga ndoa.

Ki ukweli roho iliniuma maana hii nyumba pia mimi nilikopa na ni pesa nyingi bado napambana riba. Baada ya ile siku niliona isiwe shida; zile ni hasira nikajirudi maisha yakaenda. Ila katika ushauri pia kuna member aliniambia jitahidi kumuweka karibu na mwanaye huyo (E).

Kweli nikamwambia likizo hii kamlete walau akae wiki kadhaa akamshawishi mama ake kweli mama yake akakubali mtoto akaja. Ki ukweli mtoto ni mtulivu sana, yaani ni rahisi mno kuishi naye. Yaani ni mpole mpaka raha, nilimpendaga tangu hapo lakini ni wa kike.

Sasa wakati amekuja kuna kitanda nilishamuandaliaga siku nyingi ila alitokea mgeni tukakifungua tukakiamishia chumba cha wanaume. Alivyokuja mchana nikamwambia mume wangu nisaidie tuhamishe hiki kitanda chumba cha dada
akajibu haina haja nitalala naye mimi. Kumbuka chumbani kwetu kuna vitanda viwili, kimoja cha mtoto wangu wa 2yrs bado ananyonya so huwaga nanyonyesha namlaza nahamia kitanda kingine, hiki chetu sasa.

Sasa wakati kaniambia vile nikamwambia huyu binti mkubwa hivyo tutalala naye vipi? Anaendea 7yrs. Ki ukweli haikuwa kwa ubaya kabisa ila hata katika hali ya kawaida ni ngumu; alibadilika sura pale ikabidi niwe mpole.

Kweli usiku ukaingia binti akaanza kulala na baba ake kwenye kile kitanda. Usiku wake mpaka niliota mandoto ya ajabu maana nilikuwa nawatizama tu, sikulala ki ukweli.

Ni kama wiki hivi tupo naye. So mimi nina maugwadu kama yote maana wiki ile nilikua period na hii tangu majuzi ndiyo dogo tunapoa naye rum. Mi nikawa namuonesha ishara tuingie hata chooni, anani-ignore.

So jana anacheki mpira watoto wanachenza nje nikamfata nikamwambia twende chumbani nikamwambie kitu, aliniangalia kabisa akagoma. Nikasema ngoja mpira uishe aisee hakuja, niliumia jana sana. Sema nikapotezea kiutu uzima. Ki ukweli dogo huyu wa kike namkubali sana aisee so nikasema ngoja nimute nijikaze mpaka nione mambo yatakavyojipambanua.

Leo asubuhi madogo kama kawa wakaamka wakasepa tukawa tumebaki wawili tu chumbani, akanifata kwenye kitanda changu; ki ukweli sikua hata na hamu kabisa maana nilishaishiwa na nguvu tangu majuzi huko. Nikamwambia tu ukweli tangu juzi nakubembeleza unanitolea nje (kiutani ila siriaz)

Nikamwambia tumuandalie kitanda cha dogo cha pamanent kwa dada maana huwa anakuja weekend sometimes ila huwa halali, ili hili lisitokee. Nikawa naendelea kumwambia, nikamwambia nilim-miss hatari.

Nikiri Mungu ananiona japo nina ID fake niliongea hilo bila chuki yoyote ila bila kutarajia akaniambia "HATAKUJA TENA ILI ASIKUSUMBUE"

Aisee maini yalikatika, daah moyo uliniuma nikakosa hata cha kuongea. Nikamwambia jamani ita hata mtu mzima kweli ni haki wewe kulala na binti mkubwa hivi kitanda kimoja, hakunijibu akaendelea kunipapasa.

Aiseee sikuloa hata chembe, nilikuwa mkavu wakati nina ugwadu kama wa 2wks na hii ni hilo neno liliniumiza sana. Ukicheki huyu binti nampenda namnunuliaga mazaga hadi mama ake ananikubali.

Angaika pale akafanya yake, akaondoka.

Kiukweli nikamtext kwamba najihisi mpweke kwenye hii ndoa.

Pale tuli-exchange texts kadhaa ila nikamwambia najuta kwa nini nilikopa nikaweka katika hii nyumba na siyo kwa sababu ulisema hii nyumba hainihusu, bali ni kwakua sina hata shilingi na unaninyanyasa kihisia namna hii. Akaniambia "Ndiyo nishakwambia haikuhusu, inamuhusu mwanangu mkubwa"

Nikamjibu sasa mimi na mwanangu twende wapi? Akasema omba Mungu nipate hela nitamjengea yeye ila jua hiyo nyumba haiwahusu.

Wakuu, kuna mengi hapo nayaskip, ila hii nyumba nimekopa kiasi cha pesa nikampa bado napambana na riba
Lakini kingine huyu ni mume wa ndoa kabisa.

Nakatwa kiasi kikubwa cha pesa kulipa ule mkopo na nilikuwa na biashara mwezi wa 11 walikuwa wanatengeneza ile barabara pale imeathiri hadi huo mradi. So namtegemea kwa kila kitu kwa sasa. Sitaki kufaiti kwa chochote nahitaji kuanza upya wakuu

Am soo scared nahisi naweza kuumia nikiendelea au kumuumiza mwanangu maana sijawaigi kuona ule upendo wa dhati kwa huyo dogo kutoka kwake japo wanafanana utafikiri wa mama mmoja. Sina namna yoyote ya kuanza upya ila natamani nianze upya niachane na hii nightmare.

Sina mia na sina chochote kile na ndo amepata point ya kunipiga vizuri. Kwa kifupi mwanangu nimepambana naye tangu hajazaliwa; nikielezea hili itachukua mada nzima.

Nimelia mpaka nahisi kuumwa.

Nisaidieni wakuu. Nikiri pamoja na changamoto zote sijawahi msaliti mune wangu hata tone.
Pole sana Masai Dada!
Kwa kina kabisa nimeelewa na kuguswa sana na tatizo lako. Kubwa babisa ni ni ule ukweli kuwa wewe ni mke halali wa ndoa na ndicho kimepelekea wewe kujitoa kwa moyo wako wote kuihudumia nyumba yako na kudumisha upendo ndani ya ndoa yako. Ni una ndoto na malengo makubwa juu ya familia yako.....mume, mtoto na wewe mwenyewe..... na ndiyo maana umetafuta hata mikopo kusaidia ujenzi wa nyumba.
Sina hakika sana japo natamani kusikia historia yako na mwenza wako namna mlivyoanza mahusiano na hatimaye kuingia kwenye hiyo ndoa. Hili kama nikilifahamu linaweza kunipa picha pana ya aina ya mahusiano yenu na nini kilipelekea hadi kuingia kwenye hiyo ndoa. Ninachotaka maanisha hapa si kwa nia mbaya bali kutengeneza njia ya namna gani kugundua tatizo lilipoanzia na hapo unaweza kupata chanzo sahihi cha kuanza kulitibu.
Nashawishika kusema huenda kuna maqmbo yako nyuma ya panzia na hivyo kuzuia hata watoa ushauri wakatoa ushauri wa kuweza kutibu hili tataizo. Mambo yanayoweza kuwa nyuma ya panzia ni mf uwiano wenu ki haiba......mnafananaje urembo wako na utanashati wake...... Mali anazomiliki yeye na zile unazomiliki wewe...... viwango vya elimu zenu nk. Haya ni mambo muhimu sana japo unaweze kuyaona si yamsingi kwa kudhani tu mwanaume vile alisha kubali kufunga ndoa na wewe haya si muhimu.
Wanaume tunatofautiana mambo mengi sana. kuna mwanaume anaethamini mahusiano yake yaliyo halali mbele za mungu bila kujali aliingia mahusiano hayo na mtu mwenye viwango gani kwa chochote kile katika uumbwaji wake huyo mwenza na vile avimilikivyo. Lakini pia uwezo wa kujitambua kwamba umekuwa nani baada ya kuingia kwenye ndoa na ni kwa jinsi gani kuchukuliana na mke wako kwa nyakati zote. Nachelea kusema wapo wengi tu wenye utambuzi mdogo kabisa kwenye haya mambo. Sitaki kumshutumu mumeo moja kwa moja lakini inaelekea kwa maelezo yako mume ni tatatizo/cahanzo cha hili tatizo maana wewe umekuwa ukumshauri mambo mengi kwa busara kubwa lkn yeye anabisha tu sababu ni mwanaume au sababu ya hadhi yako kama nilivyoeleza awali hawezi kukusikiliza.

Kwa uchache tu niseme wewe ni mke halali wa hiyo ndoa.....japo sina hakika ya imani gani.....lkn inatosha tu kwa mujibu wa sheria za nchi ambazo ni supreme mbele ya imani ninyi ndiyo wamiliki wa hizo mali hususani nyumba japokuwa huyo mtoto wake anaweza kuwa na sehemu na si umiliki wote kama anavyotaka kukutisha. Labda awe alijenga hiyo nyumba na huyo mwanamke mwingine kabla ya kukuoa japo pia si kweli kwa mujibu wa maelezo yako. Mumeo atakuwa na hulka ya kuongea na kuropoka aidha akikwazwa au kwa nia ya kutaka kukutocha tu ......sadist.... japokuwa ayaongeayo yanakuumiza. ushauri wangu tumia busara zako japo ziwe na kiasi kwa kutoruhusu maneno yake kutengeneza kidonda moyoni mwako. Jaribu kutafuta furaha itakayokufanya uwe huru hata pale anapotafuta kukuumiza. Atakapokuona umejawa amani na huumizwi na makwazo yake ndipo atagundua kuwa kumbe kazi aifanyayo ni bure na hakika atatafuta namna ya kurudi kwako na kukupigia magoti.

Utanisamehe nimeandika kwa haraka sana maana watu wamejaa mlangoni pa ofisi yangu wakihitaji niwahudumie kwa sasa. Nikipata muda nitakushauri vizuri zaidi na hakika faraja itakurudia tena. Pole sana na Mungu akupiganie.
 
Unajua watu jf wanafikirigi watu wengine wanaletaga stor ila aisee kuna point mtu unafikia unahitaji msaada kabisaa
Yaani natamani ni attach sms moja hapa ila aia maana
Maana mimi nilimwambia sipendi haya maisha ya manyanyaso kwangu akasema
Haya maisha wewe ndo utakaeumia maana mimi siumiagi nadhani unajua hilo
Yaani nikajiuliza kuna mtu duniani asiemia kwa namna yoyote?
Yaani shida iliyopo hapo ni kubwa sana dada yangu ndiyo maana anakupa majibun hayo ya kijeuri. Kuna kitu nyuma ya panzia ambacho wewe unajua au hujui. na kubwa katika yote ni mahusiano ya pembeni na mwanamke mwingine au mama mtoto waki na hiyo ndiyo sababau ya kuku ignore wewe na kukupa majibu makavu hivyo
 
Ulishawahi msaliti huko nyuma? Ulimfanyia au ulimuonyesha dharau au kiburi Maana wanaume tunatunza kumbukumbu hata miaka hamsini ya usaliti.
 
Pole kwa matatizo ya ndoa. Raha ya ndoa, hata kama ni mtafutaji wa familia, kile unachokipata ukione kama ni chako, mkeo na watoto. Lakini pia umenifungua macho. Kumbe kuna wanawake wiki 2 ni nyingi sana kwao! Namshukuru Mungu kwa kunipa mwanamke tunayeendena. Hata mwezi unapita, kutegemeana na mazingira, bila madhara yoyote.
 
Heri ya mwaka wandugu.

Ukweli nimeona nije na hii ID kabisa tu maana uchungu nilionao moyoni nahisi kufikia point ya kuhitaji msaada.
Nilikuja na ID hii mamii90 kuomba ushauri tu. Naomba uangalie ule uzi wa familia ya mume ndo utapata muendelezo wa hii.

Watu wengi walionishauri walisema ongea na mume wako moja kwa moja aisee ile siku najuta kwanini niliongea naye kwa uchungu sana, maana aliniambia mama yangu anakuja December kukutoa. Kwa hasira nikamjibu sitoki akasema "Hii nyumba haikuhusu, inamhusu mwanangu" ambaye sio mtoto wangu ni mtoto wake aliyemzaa kabla hatujafunga ndoa.

Ki ukweli roho iliniuma maana hii nyumba pia mimi nilikopa na ni pesa nyingi bado napambana riba. Baada ya ile siku niliona isiwe shida; zile ni hasira nikajirudi maisha yakaenda. Ila katika ushauri pia kuna member aliniambia jitahidi kumuweka karibu na mwanaye huyo (E).

Kweli nikamwambia likizo hii kamlete walau akae wiki kadhaa akamshawishi mama ake kweli mama yake akakubali mtoto akaja. Ki ukweli mtoto ni mtulivu sana, yaani ni rahisi mno kuishi naye. Yaani ni mpole mpaka raha, nilimpendaga tangu hapo lakini ni wa kike.

Sasa wakati amekuja kuna kitanda nilishamuandaliaga siku nyingi ila alitokea mgeni tukakifungua tukakiamishia chumba cha wanaume. Alivyokuja mchana nikamwambia mume wangu nisaidie tuhamishe hiki kitanda chumba cha dada
akajibu haina haja nitalala naye mimi. Kumbuka chumbani kwetu kuna vitanda viwili, kimoja cha mtoto wangu wa 2yrs bado ananyonya so huwaga nanyonyesha namlaza nahamia kitanda kingine, hiki chetu sasa.

Sasa wakati kaniambia vile nikamwambia huyu binti mkubwa hivyo tutalala naye vipi? Anaendea 7yrs. Ki ukweli haikuwa kwa ubaya kabisa ila hata katika hali ya kawaida ni ngumu; alibadilika sura pale ikabidi niwe mpole.

Kweli usiku ukaingia binti akaanza kulala na baba ake kwenye kile kitanda. Usiku wake mpaka niliota mandoto ya ajabu maana nilikuwa nawatizama tu, sikulala ki ukweli.

Ni kama wiki hivi tupo naye. So mimi nina maugwadu kama yote maana wiki ile nilikua period na hii tangu majuzi ndiyo dogo tunapoa naye rum. Mi nikawa namuonesha ishara tuingie hata chooni, anani-ignore.

So jana anacheki mpira watoto wanachenza nje nikamfata nikamwambia twende chumbani nikamwambie kitu, aliniangalia kabisa akagoma. Nikasema ngoja mpira uishe aisee hakuja, niliumia jana sana. Sema nikapotezea kiutu uzima. Ki ukweli dogo huyu wa kike namkubali sana aisee so nikasema ngoja nimute nijikaze mpaka nione mambo yatakavyojipambanua.

Leo asubuhi madogo kama kawa wakaamka wakasepa tukawa tumebaki wawili tu chumbani, akanifata kwenye kitanda changu; ki ukweli sikua hata na hamu kabisa maana nilishaishiwa na nguvu tangu majuzi huko. Nikamwambia tu ukweli tangu juzi nakubembeleza unanitolea nje (kiutani ila siriaz)

Nikamwambia tumuandalie kitanda cha dogo cha pamanent kwa dada maana huwa anakuja weekend sometimes ila huwa halali, ili hili lisitokee. Nikawa naendelea kumwambia, nikamwambia nilim-miss hatari.

Nikiri Mungu ananiona japo nina ID fake niliongea hilo bila chuki yoyote ila bila kutarajia akaniambia "HATAKUJA TENA ILI ASIKUSUMBUE"

Aisee maini yalikatika, daah moyo uliniuma nikakosa hata cha kuongea. Nikamwambia jamani ita hata mtu mzima kweli ni haki wewe kulala na binti mkubwa hivi kitanda kimoja, hakunijibu akaendelea kunipapasa.

Aiseee sikuloa hata chembe, nilikuwa mkavu wakati nina ugwadu kama wa 2wks na hii ni hilo neno liliniumiza sana. Ukicheki huyu binti nampenda namnunuliaga mazaga hadi mama ake ananikubali.

Angaika pale akafanya yake, akaondoka.

Kiukweli nikamtext kwamba najihisi mpweke kwenye hii ndoa.

Pale tuli-exchange texts kadhaa ila nikamwambia najuta kwa nini nilikopa nikaweka katika hii nyumba na siyo kwa sababu ulisema hii nyumba hainihusu, bali ni kwakua sina hata shilingi na unaninyanyasa kihisia namna hii. Akaniambia "Ndiyo nishakwambia haikuhusu, inamuhusu mwanangu mkubwa"

Nikamjibu sasa mimi na mwanangu twende wapi? Akasema omba Mungu nipate hela nitamjengea yeye ila jua hiyo nyumba haiwahusu.

Wakuu, kuna mengi hapo nayaskip, ila hii nyumba nimekopa kiasi cha pesa nikampa bado napambana na riba
Lakini kingine huyu ni mume wa ndoa kabisa.

Nakatwa kiasi kikubwa cha pesa kulipa ule mkopo na nilikuwa na biashara mwezi wa 11 walikuwa wanatengeneza ile barabara pale imeathiri hadi huo mradi. So namtegemea kwa kila kitu kwa sasa. Sitaki kufaiti kwa chochote nahitaji kuanza upya wakuu

Am soo scared nahisi naweza kuumia nikiendelea au kumuumiza mwanangu maana sijawaigi kuona ule upendo wa dhati kwa huyo dogo kutoka kwake japo wanafanana utafikiri wa mama mmoja. Sina namna yoyote ya kuanza upya ila natamani nianze upya niachane na hii nightmare.

Sina mia na sina chochote kile na ndo amepata point ya kunipiga vizuri. Kwa kifupi mwanangu nimepambana naye tangu hajazaliwa; nikielezea hili itachukua mada nzima.

Nimelia mpaka nahisi kuumwa.

Nisaidieni wakuu. Nikiri pamoja na changamoto zote sijawahi msaliti mune wangu hata tone.
Poole sana, ila nahisi kuna kitu ulishamkosea. Naye angepata fursa ya kuandika hapa makosa yako lazima tungejua nani mbaya.

Ila nachojua mwanaume mpaka kadiriki kufunga ndoa na wewe na akakuweka ndani, ujue alikupenda kwa dhati, ila kuna mahali pengine ulimkosea, kama sio wewe basi itakuwa mama mkwe wako anahusika, na kama si hivo basi kuna nguvu za giza.

Ila mi nilimpenda saana mke wangu nikamfungulia kila aina ya biashara zinafirisika tu, nikampa mtaji unakwisha tu, na mbaya zaidi hajawahi kuonyesha upendo wa dhati kwangu (hajawahi kuwa romantic), na mpaka sasa nampenda. Nimezaa naye watoto watatu wote wanasoma private schools.

Ki ukweli ananitesa saana, namvumilia tu kwa kuwa wanangu sipendi waje walelewe na mama wa kambo kwani wanaweza athirika kisaikolojia.

Nimetokea kuwachukia sana wanawake, siwezi kuwatetea hata kidogo, mke wangu anatumia fursa ya mimi kuwajali wanangu kunitesa na kuishi anavyotaka. Hivi naandika ujumbe huu nikiwa nimejilaza kitandani asbh hii nina mawazo sana huku nimenyimwa unyumba, nikaona bora niingie Jf kuperuzi nakutana tena na hii mada.

Siku nikimaliza majukum kwa wanangu na ishu zingine ndgndg hapa hom hakika naye atajuta. Atakuja kuandika hapa Jf kutaka huruma ya wanazego. Wanawake mnakera sana bhaana, siku janaume likifanya maamuzi magumu mnakimbilia jamii forum kutafuta huruma.

Pambaneni na madhambi yenu, ila samahani kama wee hauko hivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu na comments zao eti “endelea kumpenda huyo ni mumeo” am being like WTF! Hivi mnajua hata mliletwa ulimwenguni kufanya nini nyie watu? Mnaijua thamani yenu kweli?! Is it necessary kuji attach kwa mtu ndio ukamilike? Can’t you guys stand on your own!? Yaani mtu unavumilia ujinga wiki ya kwanza, ya pili, mwezi, mwaka, mwaka wa pili, wa tano!!!!!!! Wait hebu tuambie labda kuna taji huko mbeleni mtavikwa au?

Kwanini mnamshauri mwenzenu aendelee kuvumilia mateso, kuna guarantee ipi kuwa mumewe atabadilika anytime soon, na akichelewa kubadilika damage inayotokea kwa huyu dada mtai repair ninyi? Jitahidi basi kuwa serious, ifike muda watu tufundishwe ndoa ninini na kila mtu awe na mipaka yake. Tatizo Africa hakuna genuine reasons za watu kuoana, sababu za ajabu kabisa hupelekea watu kujikuta wameoana. Ndoa nyingi zipo juu ya mawe hawasemi tu, wapo kimya kama hamna kinachotokea.

Watu yapaswa waoane kwasababu tu wanapendana na siku upendo ukiisha ni ruhusa na busara kutengana kuliko kuchapana matukio mwisho muuane!

Ndoa ni nzuri, kutokuwa ndoani pia ni kuzuri , its all about peace and being happy. Dear young girls stick on your standards, don't lower your standars, wait for the right time with right man its real worth it and while your waiting invest on yourself. Wasichana msiyumbishwe na makelele ya patriarchal societies ohh mara unazeeka mara atakuoa nani ohh mara utaishia kuwa single mother na blah blah zingine, learn to think independently, jichagulieni aina ya maisha mngependa muishi, binafsi nilishamwambia tena na tena akijaribu kufanya ujinga My happiness can’t be compromised, najua nini nataka katika haya maisha kama hawezi nipa/ nisaidia nipate i’m better off!

Nimesoma comments nikagundua wengi wamezoea manyanyaso na wengine wamezoea kunyanyasa, laiti mngejua maisha yalivyo matamu na mafupi nyie watu msingekubali kabisa mtu akuchukulie muda wako autumie kwa mambo yakipuuzi!
Stockholm syndrome dear..wengi wanaumwa.
 
Mmhhh,mi mwanaume,lakini hii ni kumfanya mwingine mtumwa.
Daaaaahh umeongea kwa hisia Sana hadi nimeumia kwa kweli pole Sana Dada angu

Ninacho weza kukwambia ni kwamba huyo ni mmeo hivyo usifikilie kumsaliti ila fikilia kumuweka karbu Zaid na Zaid haijalishi itakugarimu kiasi gani kwauda wako na kwa hisia zako but hakikisha una fanikiwa katika hili

Unaweza kuomba nafasi ya kutoka out ukiwa wewe na yeye tu hapo nenda kamuoneshe jinsi gani una mpenda na hauko tayar kumpoteza mpe mapenzi kwa hisia za ndani Sana shoe him how worth he is then baada ya yote mwambie you need a peaceful life na yeye ndie mwenye peaceful life kwako hivyo asikuumize tena

Pia katika out yenu akiwa kwenye mudi nzuri ongea nae juu ya future yenu kuhusu mwanao na huyo na mwanae yule mwambie wote ni wake na wote wanajua yeye kama baba yao hakuna mwingine Zaid yake hivyo ni bora kujenga future sawa kwa wote




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom