Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Aisee..Pole sana mtanzania mwenzangu.

Kabla ya ushauri ..acha nitoe povu kwanza maana nimejaribu kuwaweka wale wanangu wawil wa kike kwenye position yako ikitokea wameolewa, ahaah aisee, nikijua wanafanyiwa unyama huo aiseee ..acha nimeze maneno.

Ndoa,!!! Yan mtu ukajitoe thaman na kukubali kugeuza ur worthy and valuable life to a hell fire kisa ndoa sijui unampenda mtu na blah blah zingine.kisa ndoa. Come one hiyo sio sawa..

Ukamng'ang'anie mtu ambae hata hakupendii..Ww na watoto maana kakutamkia wazi seriously, na bado unapoteza muda wako hapo..No no no!!!!
Hayo sio mapenzi.
Afya yako ya akil na utulivu wa mind yako ni muhim sana sio kwako tu bal hata kwa malezi ya wanao..

Why risk dat much kwa jitu ambalo hata halikupendi aisee.eti "nyumba hii haiwahusu" seriously na umewekeza pesa yako hapo.
Acha wanawake watunyooshe kumbe sometimes tunawaonea isivyo stahil.

I can imagine, hiyo situation ndio ingekua inatokea kwenye ndoa yangu, wife asingekua hivyo ulivyo ww..Hata kidogo..i know her..hana upuuzi kwenye mambo ya kijinga hayo.Tungekua tushafika mbalii .

Anyway, nadhan ni moja ya hasara za kuolewa na wanaume waliowazid sanaa umri.Wanawa treat kama watoto wao wa kike wakiamua.Na nyie mnawaogopa kama baba zenu..
hayo ndio yangu ya moyoni.
Kwa ushauri ule wa kinafki nitakuja na ID nyingine.

SINGLE FATHER KAZUA BALAA..
 
Mpuuze jitahidi sana hili itakusaidia kupunguza presha msongo wa mawazo na sonona

Punguza kudeka labda ni vile bado uko mchanga kwenye ishu za ndoa

Hongera bado unakaupendo kwa mumeo wengine tumepoa kuzidi na barafu sababu ya maudhi

Pambana upate tuhela twako mamii hapa tupatilie sana mkazo wanawake wote

Hukukosea kukopa na kujenga nae ila kakuonyesha alivyo mbinafsi, umejifunza kitu fanya kama uliwekeza kwenye biashara ukala hasara yani usiumie kabisaaa

Uzuri umemjua bado hujamzalia watoto wengi,, hivyo usizae nae mtoto mwingine jipe muda hata wa miaka 3

Shemeji ni furushi anajisemeaga shosti yangu mmoja humu unambembeleza na kumpa k anajitia nunda,, ana mchepuko piga ua anao

Mpaka najisikia kuumia maana upo katika hali ya kutoka kwenye uwife material na utaingia kwenye ununda tuliopo wengine kina sie hahahahahah

Hakuna mwanamke mbaya kama aliyejeruhiwa kihisia sababu sie tukipoa tunapoa kweli hata ulete busta dunia nzima hisia zikifa zimekufa kuzifufua ni mtihani mzito,, na mbaya ni mumeo tu ndo mwenye uwezo wa kuzuia hali hiyo lakini kwa vile ni lifurushi nakuhakikishia muda si mrefu hisia ulizonazo kwake zitapoa na zikipoa hutaumizwa na kauli yake yoyote hapa ndipo utaweza kupuuza,,
Ndoa ni ngumu si nyepesi kuna siku wanandoa mnakuwa km kaka na dada, kuna siku mnakua km majirani kuna siku maadui kabisa na kuna siku mnakuwa marafiki

Mwisho kabisa nawatakia heri ya mwaka mpya wote mnipendao notification zenu nimeziona mapendo yenu nimeyaona sitaweza kutaja wote, sakayo jael heavensent depal nimewamiss sana sana
Tunashukuru kwa ushauri!!

Nani amekuficha etii jamanii rafiki, ukavua na vazi la kale! Kwema lakini?! Hofu yangu ilikuwa hiyo tuu?!
 
Kadi ya mchango na ya mwaliko. Hahaha, huyo binti hataruhusiwa kulala na nyie, utakosa haki yako kisa binti kweli? Lakini naamini two weeks kwako sio shida mdogo wangu[emoji23][emoji23]
Oooh, kadi utapata mbili kabisaa jamani kaka!!
Mimi hata miezi mitatu sina shaka kabisaa! Mradi namuona hapo na yeye sina presha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikumiss hatari ule mwanya huwa nautizamaaaa natabasamu

Sijambo ondoa shaka

Huyu aliyenificha huyu ngoja nikuitie
Hivi kumbe ulisepa na ule mwanya?! Mungu anakuonaa dear!! Nilikumiss pia, ila ulituchunia sana jamani!!
 
Mpuuze jitahidi sana hili itakusaidia kupunguza presha msongo wa mawazo na sonona

Punguza kudeka labda ni vile bado uko mchanga kwenye ishu za ndoa

Hongera bado unakaupendo kwa mumeo wengine tumepoa kuzidi na barafu sababu ya maudhi

Pambana upate tuhela twako mamii hapa tupatilie sana mkazo wanawake wote

Hukukosea kukopa na kujenga nae ila kakuonyesha alivyo mbinafsi, umejifunza kitu fanya kama uliwekeza kwenye biashara ukala hasara yani usiumie kabisaaa

Uzuri umemjua bado hujamzalia watoto wengi,, hivyo usizae nae mtoto mwingine jipe muda hata wa miaka 3

Shemeji ni furushi anajisemeaga shosti yangu mmoja humu unambembeleza na kumpa k anajitia nunda,, ana mchepuko piga ua anao

Mpaka najisikia kuumia maana upo katika hali ya kutoka kwenye uwife material na utaingia kwenye ununda tuliopo wengine kina sie hahahahahah

Hakuna mwanamke mbaya kama aliyejeruhiwa kihisia sababu sie tukipoa tunapoa kweli hata ulete busta dunia nzima hisia zikifa zimekufa kuzifufua ni mtihani mzito,, na mbaya ni mumeo tu ndo mwenye uwezo wa kuzuia hali hiyo lakini kwa vile ni lifurushi nakuhakikishia muda si mrefu hisia ulizonazo kwake zitapoa na zikipoa hutaumizwa na kauli yake yoyote hapa ndipo utaweza kupuuza,,
Ndoa ni ngumu si nyepesi kuna siku wanandoa mnakuwa km kaka na dada, kuna siku mnakua km majirani kuna siku maadui kabisa na kuna siku mnakuwa marafiki

Mwisho kabisa nawatakia heri ya mwaka mpya wote mnipendao notification zenu nimeziona mapendo yenu nimeyaona sitaweza kutaja wote, sakayo jael heavensent depal nimewamiss sana sana
Afadhali nyie wenye experience mtoe madini[emoji120][emoji120][emoji120]

Usijifiche hivyo kipenzi, unamisika sana[emoji7][emoji7]
 
Pole changamoto unazopitia na mm ndio nilipitia kila kitu niliamua kuacha kwa aliyekuwa mke wangu

Kila kitu ...mpk watoto ambao ni damu yangu niliamua tu kumuachia usiogope kuanza upya

Unaweza kuwa mwanzo mzuri kwako ..... Ukianza upya kuliko kuendelea na masimango

Kuna watu wanakubexa sasa maana hawajui ...machungu ya kuona deni kwenye salary slip ...wewe unahenya kukatwa kila mwezi


Kubali kuinuka jifute machozi ....na kuwa mwangalifu sana !! Imani yako usiiweke kwa wanadamu

Tenga muda xaidi kujisogeza mbele za Mungu wanadamu wanaweza kukubeza ila Mungu wa mbinguni hawezi kukubexa

sent from toyota Allex
 
Pole sana dada, naiona ndoa yako bado Ina nafasi ya kutengemaa, kumbuka anayeifanya ndoa idumu au ivunjike Ni mwanamke, usimuulize chochote kwa sasa juu ya nyumba wala mtoto wala mapenzi, kaa kimya mpikie chakula vizuri (cha mezani na kitandani) ale ashibe, na usimsaliti kamwe, nakuhakikishia ipo siku atakupigia magoti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom