Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

naona bado unaendelea kudhihirisha kwa public kuwa we ni bwege, ila shida ni kwamba ulikuzwa kwa ugali dagaa (vyakula vya mifugo) ndo maana uelewa wako ni mdogo kuliko wa ng'ombe.
 
naona bado unaendelea kudhihirisha kwa public kuwa we ni bwege, ila shida ni kwamba ulikuzwa kwa ugali dagaa (vyakula vya mifugo) ndo maana uelewa wako ni mdogo kuliko wa ng'ombe.
Nimeamua kukupuuza mkuu,nimeshajua shida Yako ni kubwa kuliko nilivyokuwa nafikiria,kukusaidia ni nje ya uwezo wangu endelea kutukana tu ndo akili Yako ilipoishia,matusi Yako na yakurudie wewe
 
Mkuu acha uzapunga,wanawake ni magaidi,Kama hana hisia nawe hata uumwe ufe hapo ataondoka akuache aende kwa mwenye hisia zake,so hapo anakupanga tu maana ashakuona we zamwamwa kama yeye tu.
 
Duh hatar
 
Maisha haya 😀, 10 minutes ago nimetoka kuongea na Samira hapa
Tupo basi dondoo zake na yeye yupo wapi na vipi keshaolewa au vipi? Mary je anaendeleaje na vipi ulishaacha kuwasiliana nae? Ila story nzuri ina mafunzo mengi sana kwa kweli
 
Nimeamua kukupuuza mkuu,nimeshajua shida Yako ni kubwa kuliko nilivyokuwa nafikiria,kukusaidia ni nje ya uwezo wangu endelea kutukana tu ndo akili Yako ilipoishia,matusi Yako na yakurudie wewe
na yako yakurudie ww pia,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…