granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
mkuu taratibu, unamuomba mwamba namba ya mke wake?Habari, nisaidie namba ya Grace
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu taratibu, unamuomba mwamba namba ya mke wake?Habari, nisaidie namba ya Grace
kabisa mkuu mm kuna mmoja japo nilikuwa nimepitapita kwingine ila it was the first real love, ana maisha yake na mm yangu ila kila tukipata muda wa kuongea huwa tunaulizana "hv kwa nn hatukuoanaga" juz kat uzalendo umemshinda kaniambia lazima atatafuta siku tukumbushie japo anampenda sana mumewe, ila kitu napenda anamjali na kumuheshimu sana mumewe, mwamba anang'aa tu, kuna siku nikamtani muache mumeo uje kwangu, akajbu natamani hvo ila nikimuacha huyu hatomaliza mwaka atakufa.Penzi lake na Mary... first love ina nguvu sana..Na ndio hiyoo imemfanya aishi hayo maishaa...
don't do that man, hakuna kitu kibaya kama kuamsha hisia za zamani, mtakuja kugombana tena and this time itakua worse, hebu endeleeni kuheshimiana tu sana sana saidianeni mambo ya maisha tu mkuukabisa mkuu mm kuna mmoja japo nilikuwa nimepitapita kwingine ila it was the first real love, ana maisha yake na mm yangu ila kila tukipata muda wa kuongea huwa tunaulizana "hv kwa nn hatukuoanaga" juz kat uzalendo umemshinda kaniambia lazima atatafuta siku tukumbushie japo anampenda sana mumewe, ila kitu napenda anamjali na kumuheshimu sana mumewe, mwamba anang'aa tu, kuna siku nikamtani muache mumeo uje kwangu, akajbu natamani hvo ila nikimuacha huyu hatomaliza mwaka atakufa.
nitazingatia ushaur wako mkuu, story ya maisha yako inalingana na yangu kwa 90%, nilipoteza almas, nikakutana na vivuruge wakanivuruga nikavurugika, huwa sitaki hata kukumbuka, nachomshukuru Mungu bado nipo hai.don't do that man, hakuna kitu kibaya kama kuamsha hisia za zamani, mtakuja kugombana tena and this time itakua worse, hebu endeleeni kuheshimiana tu sana sana saidianeni mambo ya maisha tu mkuu
Acha kumfundisha mwenzio uhuni 😬 kasema ibilisi ndo alosababishaEti kaka nisamehe
Nahis hata mim niliwah ambiwa kauli kama hii
Ila jamaa alibugi kukarukia katoto ka watu kama chui,ilitakiwa aanze nako kwa utani na kukashika shika mara moja moja
Nakazia🔨📌📌📌📌📌📌 sisi vijana ndy tunapokosea."Tatizo lenu vijana mnaharibu kwanza ndo mnakuja kutushirikisha, yule binti kama angekua hana mimba ningekushauri uachane nae tu"
Sio ibilisi ni tamaa zake tu,huyu jamaa ni fisiAcha kumfundisha mwenzio uhuni 😬 kasema ibilisi ndo alosababisha
Mkuu nimekuta uzi umesogea page 35 nilijua umeshatuwekea chochote kitu kumbe bado..don't do that man, hakuna kitu kibaya kama kuamsha hisia za zamani, mtakuja kugombana tena and this time itakua worse, hebu endeleeni kuheshimiana tu sana sana saidianeni mambo ya maisha tu mkuu
Safii, hamia jukwaa la siasa sasa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona sasa...hata mie mkuu ninayo hiyoo..Nashukuru Mungu nimeweza kuovercome... first love sio mchezooo..kabisa mkuu mm kuna mmoja japo nilikuwa nimepitapita kwingine ila it was the first real love, ana maisha yake na mm yangu ila kila tukipata muda wa kuongea huwa tunaulizana "hv kwa nn hatukuoanaga" juz kat uzalendo umemshinda kaniambia lazima atatafuta siku tukumbushie japo anampenda sana mumewe, ila kitu napenda anamjali na kumuheshimu sana mumewe, mwamba anang'aa tu, kuna siku nikamtani muache mumeo uje kwangu, akajbu natamani hvo ila nikimuacha huyu hatomaliza mwaka atakufa.
Mwanaume sio kumwacha na mtoto wa kike tena wengine hutomba hadi dada zao ,ndugu zao sembuse shemejiAisee kusema na ukweli hiyo familia kuanzia mama na watoto wake wote hawana maadili yaani hapo haiusiani na kwamba wao ni familia ya uswahilini… familia haina nidhamu hata kidogo
Hivi mama unawezaje kwenda kwa mkwe wako hovyohovyo hivyo… tena binti yako alishaachwa et unapeleka binti yako ambae ni mdogo kabisaa akashinde nyumbani kwa shemejii yake.. inahitaji akili finyu kabisaa mpk mtu afikie hatua hiyo
Hiyo familia haina adamu na 90% mama amechangia kuharibu mabinti zake.. mtoto kulikuwa kuna uwezekano wa Patric kumuona akiwa hukohuko kwa mama mkwe wake.. yaani binti mdogo sana huyo Grace anafanyiwa ukatili na shemejii mtu.. familia ya kishenzi sana hiyo[emoji41]
Hee jamani sio Mimi😅😅😅😅Nakuona Mary na mshepu wako sasa dah kweli jamaa alikua anakufaidi sio poa
Mwanaume sio kumwacha na mtoto wa kike tena wengine hutomba hadi dada zao ,ndugu zao sembuse shemeji
Ukute ni idea ya mama mtu ameona kuna kauwezo grace aolewe hapo hapo
Maisha acha tumwombe Mungu atupe uwezo,hiyo family imeathiriwa na hali ngumu ya maisha,mara nyingi umasikini hauna heshimaAisee kusema na ukweli hiyo familia kuanzia mama na watoto wake wote hawana maadili yaani hapo haiusiani na kwamba wao ni familia ya uswahilini… familia haina nidhamu hata kidogo
Hivi mama unawezaje kwenda kwa mkwe wako hovyohovyo hivyo… tena binti yako alishaachwa et unapeleka binti yako ambae ni mdogo kabisaa akashinde nyumbani kwa shemejii yake.. inahitaji akili finyu kabisaa mpk mtu afikie hatua hiyo
Hiyo familia haina adamu na 90% mama amechangia kuharibu mabinti zake.. mtoto kulikuwa kuna uwezekano wa Patric kumuona akiwa hukohuko kwa mama mkwe wake.. yaani binti mdogo sana huyo Grace anafanyiwa ukatili na shemejii mtu.. familia ya kishenzi sana hiyo[emoji41]