Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa kukodi kwa Majadiliano [emoji23]S2 episode 3
Mahusiano huku yakawa tofauti sana tu, unajua unapotoka kwenye mahusiano haya mara nyingi tunategemea kukuta yaleyale kwenye mahusiano mapya huku mambo yakawa tofauti kabisa yani, nilishazoea mengi kwa Mary huku ikawa tofauti kabisa, Rachel nilikua nampenda sana na alikua mnyenyekevu sana kwa huo muda ila kosa tulilofanya nadhani tuli move haraka sana kabla hatujajuana vizuri, miezi mitatu tu ya mahusiano mimba tayari ila nikawa naona sawa tu
Katika kitu sikozoea ni kuombwa bills kila siku maana kwao ni kama walianza kumtegemea rasmi, ikiwa kila muda kuna hiki kuna hiki, sio kwamba nilikua sitaki kutoa pesa ila tu kuna usumbufu na ni vitu sikuzoea kabisa, siku nikamuita Rachel nikamwambia hebu tafuta basi biashara nikupe mtaji ufanye kazi sio kila kitu uwe unaomba kwangu, kweli akanipa idea awe anakata nguo za watoto tukatafuta frem tukalipa akawa na goli lake na yeye,
Sasa kuna siku natoka job nikapita hapo golini kwake tukawa tunapiga story mbili tatu mara akaja mdada/mmama yaani ni ile age huelewi yupo wapi hasa, alivyonikuta pale akili ikaanza kubishana nimpe shikamoo au nimsalimie kawaida tu, nikajikuta namuambia "dada habari" kabla hajajibu Rachel ni kama alinisukuma mgongoni akaniambia "salimia vizuri mama huyo" dah nikasema hapo nishayakanyaga nikamuambia mama shikamoo akajibu marahaba mwanangu
akili yangu ni kama iligoma kuendelea kukaa maeneo hayo nikatafuta sababu nikaondoka nikawaacha hapo, ikija kupita kama wiki siku nimetoka kazini Rachel kaniambia njoo utanikuta nyumbani, ile nafika home naingia sebleni yaani nusu nizimie namkuta yupo ndani na mama yake, hawana hata wasiwasi wananikaribisha vizuri tu.... Nikawa nashangaa tu pale nikawasalimu nikaingia chumbani Rachel akanifata, nikaanza kuongea nae taratibu mama yake asiskie hapo nshachukia sana tu nikamuuliza inakuaje kamleta mama yake pale ni mi bado sijaenda kujitambulisha rasmi, akajibu simple tu si mlishakutana dukani, mara mama hana shida tumekua nae kama rafiki yangu tu hua hatufichani kitu
Dah nikatoa excuse pale nimesahau kitu kazini nikaondoka ila nikawa nimechukia sana, nikafika mahali nikakaa nikawa nawaza mmmhhh hapa naenda kuoa kwenye familia gani mbona ni kama hawafati hata maadili ya kiafrica kabisa, au nikawa nawaza huyu mama kutokana na kutomjibu ile sms ameamua kama kuonyesha kutaka kumiliki zone kwa nguvu, maana mpaka anakuja kwangu vile ni kwamba sitakua na option zaidi ya kua na binti yake au kwa lugha nyingine ameamua tutambulishane kwa nguvu tu
Siku zikakata nikaja kumueleza sister yangu mkubwa kua huku nakaa na mtu na nishampa na ujauzito, ila ni kama hakua interested sana na hizo story, kumbuka sister alikua anampenda sana Mary, akaja tu badae my kunijibu " we mambo yako ya mahusiano nimeshakushauri mpaka nikachoka" basi nikamtumia sister namba za Rachel nikamuambia ukipata muda mtafute nae hata hakumtafuta kabisa, huku Rachel nae anasumbua nataka kuongea na wifi sijui nini nikawa namchenga tu maana akili za dada yangu nazijua
Muda hausimami mimba inazidi kua kubwa tu ikabidi nianze kufanya mpango niende kwa kina Rachel rasmi tu nijitambulishe, hapo mzee wangu alishatangulia mbele za haki na mama sikutaka kumpa hizi habari kwa sasa ingawa niliamini dada atakua ashampa umbea, nikaongea na baba yangu mdogo mmoja ni mzee wa mishen town huyu mjanja mjanja akatafuta mzee mmoja ikafika siku tukaenda kwa kina Rachel sasa
Hio siku Rachel anasema kwao mama ndo kila kitu so tutaenda kuongea nae yeye tu wala hataki kuleta watu wengine, basi nikaona kheri itakua rahisi kuliko watu wakiwa wengi tutaanza kusumbuana tu, nikauliza utaratibu wa zawadi tukawa tumenunua, hapo kila kitu cha sherehe maandalizi yote ilibidi mimi ndo nimpe pesa Rachel maana hali ya kwao naijua, ikifika siku sisi hao tukaongozana kwenda sasa, tukiwa njiani ni kama nilihisi kitu nikapita atm nikaongeza akiba niliyokua nimejiwekea nikasema hii itakua emergency tu
Kufika kwao ilikua nyumba ya wapangaji tu,tukapokelewa vizuri na kijana ambae sikumjua hata, ile kuingia nae wote tukabaki tumeshangaa, tulitegemea kumkuta Rachel na mama yake tu kama walivyosema, aisee tukakuta hata wao hawapo kuna jopo la wazee kama 6 wameweka sura za kazi nikasema aisee leo hapa kazi ipo
Kazi ipoS2 episode 3
Mahusiano huku yakawa tofauti sana tu, unajua unapotoka kwenye mahusiano haya mara nyingi tunategemea kukuta yaleyale kwenye mahusiano mapya huku mambo yakawa tofauti kabisa yani, nilishazoea mengi kwa Mary huku ikawa tofauti kabisa, Rachel nilikua nampenda sana na alikua mnyenyekevu sana kwa huo muda ila kosa tulilofanya nadhani tuli move haraka sana kabla hatujajuana vizuri, miezi mitatu tu ya mahusiano mimba tayari ila nikawa naona sawa tu
Katika kitu sikozoea ni kuombwa bills kila siku maana kwao ni kama walianza kumtegemea rasmi, ikiwa kila muda kuna hiki kuna hiki, sio kwamba nilikua sitaki kutoa pesa ila tu kuna usumbufu na ni vitu sikuzoea kabisa, siku nikamuita Rachel nikamwambia hebu tafuta basi biashara nikupe mtaji ufanye kazi sio kila kitu uwe unaomba kwangu, kweli akanipa idea awe anakata nguo za watoto tukatafuta frem tukalipa akawa na goli lake na yeye,
Sasa kuna siku natoka job nikapita hapo golini kwake tukawa tunapiga story mbili tatu mara akaja mdada/mmama yaani ni ile age huelewi yupo wapi hasa, alivyonikuta pale akili ikaanza kubishana nimpe shikamoo au nimsalimie kawaida tu, nikajikuta namuambia "dada habari" kabla hajajibu Rachel ni kama alinisukuma mgongoni akaniambia "salimia vizuri mama huyo" dah nikasema hapo nishayakanyaga nikamuambia mama shikamoo akajibu marahaba mwanangu
akili yangu ni kama iligoma kuendelea kukaa maeneo hayo nikatafuta sababu nikaondoka nikawaacha hapo, ikija kupita kama wiki siku nimetoka kazini Rachel kaniambia njoo utanikuta nyumbani, ile nafika home naingia sebleni yaani nusu nizimie namkuta yupo ndani na mama yake, hawana hata wasiwasi wananikaribisha vizuri tu.... Nikawa nashangaa tu pale nikawasalimu nikaingia chumbani Rachel akanifata, nikaanza kuongea nae taratibu mama yake asiskie hapo nshachukia sana tu nikamuuliza inakuaje kamleta mama yake pale ni mi bado sijaenda kujitambulisha rasmi, akajibu simple tu si mlishakutana dukani, mara mama hana shida tumekua nae kama rafiki yangu tu hua hatufichani kitu
Dah nikatoa excuse pale nimesahau kitu kazini nikaondoka ila nikawa nimechukia sana, nikafika mahali nikakaa nikawa nawaza mmmhhh hapa naenda kuoa kwenye familia gani mbona ni kama hawafati hata maadili ya kiafrica kabisa, au nikawa nawaza huyu mama kutokana na kutomjibu ile sms ameamua kama kuonyesha kutaka kumiliki zone kwa nguvu, maana mpaka anakuja kwangu vile ni kwamba sitakua na option zaidi ya kua na binti yake au kwa lugha nyingine ameamua tutambulishane kwa nguvu tu
Siku zikakata nikaja kumueleza sister yangu mkubwa kua huku nakaa na mtu na nishampa na ujauzito, ila ni kama hakua interested sana na hizo story, kumbuka sister alikua anampenda sana Mary, akaja tu badae my kunijibu " we mambo yako ya mahusiano nimeshakushauri mpaka nikachoka" basi nikamtumia sister namba za Rachel nikamuambia ukipata muda mtafute nae hata hakumtafuta kabisa, huku Rachel nae anasumbua nataka kuongea na wifi sijui nini nikawa namchenga tu maana akili za dada yangu nazijua
Muda hausimami mimba inazidi kua kubwa tu ikabidi nianze kufanya mpango niende kwa kina Rachel rasmi tu nijitambulishe, hapo mzee wangu alishatangulia mbele za haki na mama sikutaka kumpa hizi habari kwa sasa ingawa niliamini dada atakua ashampa umbea, nikaongea na baba yangu mdogo mmoja ni mzee wa mishen town huyu mjanja mjanja akatafuta mzee mmoja ikafika siku tukaenda kwa kina Rachel sasa
Hio siku Rachel anasema kwao mama ndo kila kitu so tutaenda kuongea nae yeye tu wala hataki kuleta watu wengine, basi nikaona kheri itakua rahisi kuliko watu wakiwa wengi tutaanza kusumbuana tu, nikauliza utaratibu wa zawadi tukawa tumenunua, hapo kila kitu cha sherehe maandalizi yote ilibidi mimi ndo nimpe pesa Rachel maana hali ya kwao naijua, ikifika siku sisi hao tukaongozana kwenda sasa, tukiwa njiani ni kama nilihisi kitu nikapita atm nikaongeza akiba niliyokua nimejiwekea nikasema hii itakua emergency tu
Kufika kwao ilikua nyumba ya wapangaji tu,tukapokelewa vizuri na kijana ambae sikumjua hata, ile kuingia nae wote tukabaki tumeshangaa, tulitegemea kumkuta Rachel na mama yake tu kama walivyosema, aisee tukakuta hata wao hawapo kuna jopo la wazee kama 6 wameweka sura za kazi nikasema aisee leo hapa kazi ipo
Asante sana.
Konda kwemaKazi ipo
Kwema boss wanguKonda kwema
Kazi ilikwepo hapa aseeS2 episode 4
Basi bana tukakaribishwa na wale wazee wakaanza kujitambulisha mwingine mjomba mwingine sijui nani basi tu balaa tupu, hapo ba mdogo na yule mshenga nao hawaelewi niliwaambia tutawakuta tu Rachel na mama yake kazi itakua nyepesi...
Yule mzee mshenga akajieleza weee, kua kijana wetu amefanya uharibifu hapa bomani kwenu tumekuja kujisalimisha na kama mila zinazosema tulipie fidia/faini kwanza alafu tujipange siku nyingine tuje kwa ajili ya mahari sasa maana hatuwezi kujadili yote kwa pamoja
Kuna mzee mmoja akisimama kwa hasira akasema " nyie mnaongea nini?, Yaani mshamuharibu binti yetu alafu mnaongelea mambo ya faini kwanza tena, hapa tunamaliza mpaka na mahari kama hamtaki msitupotezee muda hapa msilete utoto wenu hapa"
Mzee mwingine nae akawa anatishia kuondoka kama hatutajadili na mahari kabisa, yaani kiufupi wale wazee walikua wakali wakatutreat kama watoto kabisa hakuna ustaarabu wala nini, nikaanza kuwaza Patrick mimi nimeingia kuna balaa gani mbona hawa watu hatuwezi hata kukaa tukaongea vizuri tu wanafoka kila mda
Uzuri yule mzee mshenga alikua mstaarabu sana wala hakupanic akazidi kuwaelewesha tu ila hawataki kuelewa, mwisho akaomba sisi wageni tutoke tujadiliane nje kwanza, tukatoka sisi watatu, yule mzee mshenga akaanza
"kijana wangu, kama unavyoona hii ngoma ishakua ngumu sasa tunafanyaje?
Kabla sijamjibu ba mdogo akadakia
"Hawa wasituone sisi wajinga, hatuwezi kubadili lengo la kuja huku wasipokua makini tutaondoka zetu tuwaache hapa"
Na mi hapo nishachukia tu sana nipo kimya tu, yule mzee mshenga ndo akawa anatutuliza, nikapata wazo nikampigia Rachel mara ya kwanza hakupokea, mara ya pili ndo akapokea
Nikamuuliza upo wapi mbona hata sikuoni na bado mmebadilisha utaratibu wote
Rachel: " mi npo huku ndani kwa jirani tumeambiwa tusitoke mpaka kikao kiishe, nisamehe mme wangu hata mi sikujua wangepanga hivi'
Mimi: " sasa mi siwaelewi wazee wako hawataki tuongee mi naondoka zangu zawadi za mama tumeziacha ndani huko"
Rachel: " usifanye hivo jamani, kwanini unataka kunitia ai.. "
Kabla hajamaliza nikakata simu, ba mdogo nae mi mzee mmoja mishen town mjanja mjanja sana akamwambia yule mshenga twende wakigoma maongezi tuwaambie tutakuja siku nyingine tuondoke zetu
Tukarudi ndani bado wale wazee hawataki maongezi ya faini wao ni vyote kwa pamoja na mahari, yule mshenga akaomba radhi akaomba tukajipange tuje siku nyingine, ni kama machale yaliwacheza wakajua hawa tunaweza tusiwaone tena wakajifanya kuzuga pale kua tuongee kuhusu faini kwanza alafu mahari ije iongelewe na iletwe kabla ya mtoto hajazaliwa
Basi wakaanza sasa faini, zawadi sijui za mama,babu makokoro mengine na ngombe 6😀, dah pale yule mshenga akaguna akasema ni faini wazee wangu au mahari kabisa, wakasema hio ni faini tu na hapo tumewaonea huruma maana mmekuja wenyewe, basi wakaanza kubishana pale mpaka wakaishia ngombe wanne kila ngombe waka mu valuate kwa laki 3 ikawa milioni laki 2, ukiweka na yale makorokoro ikaja kama milioni laki 6, hapo mi nina hasira nataka tu tumalize tuondoke, nilikua na kama milion laki 3 nikawapa tukasema hio laki 3 iletwe baada ya wiki moja, dah hio laki 3 wakatuandikisha maelezo kabisa na kusign nikapata hasira namuambia mshenga au niende watolea akawa ananiambia acha tu hakuna shaka
Baada ya wao kuvuta mpunga sasa ndo kidogo naona wakaanza kutuchangamkia sasa, kina Rachel na mama yake ndo wakaja wakaleta chakula kinywaji pale tukajumuika tukaaga tukaondoka, stop ya kwanza atm nikatoa pesa kidogo maana nilishapukutishwa kule tukapita bar kula kinywaji kwanza, yule mshenga akaniambia kijana hawa wazee sidhani kama kwenye mahari tutafika muafaka
Du pole sana boss sio poaS2 episode 5
Hilo sakata likaisha bana, Rachel jioni karudi namuuliza hao wazee ni kina nani, ye anacheka tu anasema sijui hata mama kawatoa wapi, dah moyoni nikawa nasema tu mbona hawa watu kama hawapo serious nikaanza kujuta sasa naona mbona kama nakosea, hapo mama sijamuambia anaishia kuskia tu maneno juu juu kwa watu
Baada ya kama siku 2 hivi, Rachel kuna simu yake ya zamani ilikua samsung sijui toleo gani ila zile za nyuma kidogo akawa kaniomba nimbadilishie kioo kilikua kimevunjika ili aje ampe mdogo wake wa kike yule alikua yupo form 2, sasa nikaja kutoka nayo siku naenda kazini nikaacha kwa fundi jioni nikaipitia, katika kukagua kioo kama kipo sawa nikawa nimeingia sasa kwenye simu haikua na password wala nini dah huko sasa ndo nilikutana na balaa ambalo siwezi lisahau
Nikaingia kwenye sms za kawaida aisee nilichoka, zilikua na span ya kama mwaka, ni kama sms za mwaka mzima hajikufutwa, huko nilikutana na sms za wapenzi kama wote yani, madereva wa malori, wame za watu, ma dj wa club, wafanyabiashara, vijana wa mtaani tu yaani vurugu tupu, nikapanic sana nikapita mahali nikaanza ichunguza simu taratibu, sms zile ambazo zilikua wazi kabisa kwamba ametembea nao maana unakuta wanakumbushiana kabisa waliyofanya zilikua za wanaume kama 8 ivi
Kuna kama watu 6 hizi hazina ushahidi wa moja kwa moja kama walifanya au, hapo ni sms za kawaida, nikazama whatsapp sasa... Uwiiii.... Huyu binti ni malaya sijapata kuona huko napo watu washamla sana, unakuta sms anaelekezwa njoo guest flani, mara namtuma boda akufate alafu watu tofauti, kuna moja jamaa anamuambia nakufata unipe binti anadai siwezi tumejuana leo tu mara subiri nikuandalie siku nyingine ili nikupe vizuri, jamaa akakomaa demu badae akamwabia haya nifate, ni hio namba haijaseviwa hata😔, hapo na mimi binti nishaanza kumpenda nilijikuta natetemeka tu sijawahi kuumia vile
Nikaja gallery sasa, kuna video mbaba mtu mzima wapo chumbani anampiga romance huku anamnywesha savannah, yaani kwenye hio simu nikisema nieleze mambo yote niliokuta naweza andika mpaka nikachoka maana ni mengi mno hayaelezeki,
Kuna chat nikakuta anachat na yule dada wa mgahawa yaani hapo ndo kila akienda kuliwa ndo hua anamuambia shoga yake, mpaka kuna siku yule dada wa mgahawa akamwambia "shoga yangu na we sasa punguza umalaya"
recho ni kama Elineva tu, pumbavu sana elinevaS2 episode 5
Hilo sakata likaisha bana, Rachel jioni karudi namuuliza hao wazee ni kina nani, ye anacheka tu anasema sijui hata mama kawatoa wapi, dah moyoni nikawa nasema tu mbona hawa watu kama hawapo serious nikaanza kujuta sasa naona mbona kama nakosea, hapo mama sijamuambia anaishia kuskia tu maneno juu juu kwa watu
Baada ya kama siku 2 hivi, Rachel kuna simu yake ya zamani ilikua samsung sijui toleo gani ila zile za nyuma kidogo akawa kaniomba nimbadilishie kioo kilikua kimevunjika ili aje ampe mdogo wake wa kike yule alikua yupo form 2, sasa nikaja kutoka nayo siku naenda kazini nikaacha kwa fundi jioni nikaipitia, katika kukagua kioo kama kipo sawa nikawa nimeingia sasa kwenye simu haikua na password wala nini dah huko sasa ndo nilikutana na balaa ambalo siwezi lisahau
Nikaingia kwenye sms za kawaida aisee nilichoka, zilikua na span ya kama mwaka, ni kama sms za mwaka mzima hajikufutwa, huko nilikutana na sms za wapenzi kama wote yani, madereva wa malori, wame za watu, ma dj wa club, wafanyabiashara, vijana wa mtaani tu yaani vurugu tupu, nikapanic sana nikapita mahali nikaanza ichunguza simu taratibu, sms zile ambazo zilikua wazi kabisa kwamba ametembea nao maana unakuta wanakumbushiana kabisa waliyofanya zilikua za wanaume kama 8 ivi
Kuna kama watu 6 hizi hazina ushahidi wa moja kwa moja kama walifanya au, hapo ni sms za kawaida, nikazama whatsapp sasa... Uwiiii.... Huyu binti ni malaya sijapata kuona huko napo watu washamla sana, unakuta sms anaelekezwa njoo guest flani, mara namtuma boda akufate alafu watu tofauti, kuna moja jamaa anamuambia nakufata unipe binti anadai siwezi tumejuana leo tu mara subiri nikuandalie siku nyingine ili nikupe vizuri, jamaa akakomaa demu badae akamwabia haya nifate, ni hio namba haijaseviwa hata[emoji17], hapo na mimi binti nishaanza kumpenda nilijikuta natetemeka tu sijawahi kuumia vile
Nikaja gallery sasa, kuna video mbaba mtu mzima wapo chumbani anampiga romance huku anamnywesha savannah, yaani kwenye hio simu nikisema nieleze mambo yote niliokuta naweza andika mpaka nikachoka maana ni mengi mno hayaelezeki,
Kuna chat nikakuta anachat na yule dada wa mgahawa yaani hapo ndo kila akienda kuliwa ndo hua anamuambia shoga yake, mpaka kuna siku yule dada wa mgahawa akamwambia "shoga yangu na we sasa punguza umalaya"
😀recho ni kama Elineva tu, pumbavu sana elineva