Halafu hawakuwepo kwenye maleziHivyo vizee ni vihuni vya zamani kwanza kwa ujumla wake hio familia umeilea sana wengine wasingefika huko.. kingine hakuna ubaya,ubaya ulikua kumpiga mimba ila kwakua ulikua ushaachana na dadake huyo G ungeoa fresh tu,!!japo naona complications ni nyingi ila haikua na ulazima kufika kote huko!!
Sema ndio kama ilivyo tunatofautiana kimila na desturi..watu wa kanda ya ziwa ni complicators sana!! Wanahisi hao watoto wao sijui nyuchi zao zina free WiFi au kuna nini cha ajabu nashindwa elewa.
Kuzidi watu wa pwani? Kanda ya ziwa ndoa ina heshimayake.Hivyo vizee ni vihuni vya zamani kwanza kwa ujumla wake hio familia umeilea sana wengine wasingefika huko.. kingine hakuna ubaya,ubaya ulikua kumpiga mimba ila kwakua ulikua ushaachana na dadake huyo G ungeoa fresh tu,!!japo naona complications ni nyingi ila haikua na ulazima kufika kote huko!!
Sema ndio kama ilivyo tunatofautiana kimila na desturi..watu wa kanda ya ziwa ni complicators sana!! Wanahisi hao watoto wao sijui nyuchi zao zina free WiFi au kuna nini cha ajabu nashindwa elewa.
Na mimi nimepiga mimba binti ya watu huku na sijalipa hata posaHivyo vizee ni vihuni vya zamani kwanza kwa ujumla wake hio familia umeilea sana wengine wasingefika huko.. kingine hakuna ubaya,ubaya ulikua kumpiga mimba ila kwakua ulikua ushaachana na dadake huyo G ungeoa fresh tu,!!japo naona complications ni nyingi ila haikua na ulazima kufika kote huko!!
Sema ndio kama ilivyo tunatofautiana kimila na desturi..watu wa kanda ya ziwa ni complicators sana!! Wanahisi hao watoto wao sijui nyuchi zao zina free WiFi au kuna nini cha ajabu nashindwa elewa.
Siwezi fanya hivoDuuh naona umeamua kuniuwa kabisa
Watu wa Pwani mbona nasikiaga wao ndo hawanaga complications kabisa, yaani hata ukitoa jogoo mmoja unapata mke! Nasikiaga tu!Kuzidi watu wa pwani? Kanda ya ziwa ndoa ina heshimayake.
🦦nishachukua mapema sanaChukua popcorn chukua popcorn!
Ohoooo! Jichanganyeeee!Na mimi nimepiga mimba binti ya watu huku na sijalipa hata posa
Kwahiyo na mimi nisubiri purukushani huku kwa hawa wa kanda ya ziwa??
Naona naimbiwa nyimbo kibao mara lete hata posa tu tujue kama upo serious..Mmmhh!!
Kumbe, hebu nipe full details 🤣 😂Wifi kaka ulivyokuwa haupo alikucheat km Patrick kwa Marry 😹😹🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Nzengo ni nini? Kwanza.Niulize chochote kuhusu maswala ya nzengo. Nitakujibu.?
Siku yakikufika utajua tuNzengo ni nini? Kwanza.
Ni umoja wa kaya kwenye mtaa husika ambao una uongozi.Nzengo ni nini? Kwanza.
Aaah kanda ya ziwa mmezidiKuzidi watu wa pwani? Kanda ya ziwa ndoa ina heshimayake.
Kama unampenda huyo binti nenda na hakikisha una hela ya kutosha bila hivyo utaenda kulia na usionewe huruma!! Kila kitu kwao ni gharama!! Japo huwa "wanatorosha" hii mbinu wanaitumia sana washikaji ambao bado hawajajipata kiuchumi then baadae mambo mengine yatafuata.Na mimi nimepiga mimba binti ya watu huku na sijalipa hata posa
Kwahiyo na mimi nisubiri purukushani huku kwa hawa wa kanda ya ziwa??
Naona naimbiwa nyimbo kibao mara lete hata posa tu tujue kama upo serious..Mmmhh!!
Yani wifi acha tyuu.!!Kumbe, hebu nipe full details 🤣 😂
Akhu.! Mimi nimekataa, nakupenda wewe 😹Jaribu kuupa nafasi 🤣 😂
Tuendelee kupata story🦦nishachukua mapema sana