Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Hivyo vizee ni vihuni vya zamani kwanza kwa ujumla wake hio familia umeilea sana wengine wasingefika huko.. kingine hakuna ubaya,ubaya ulikua kumpiga mimba ila kwakua ulikua ushaachana na dadake huyo G ungeoa fresh tu,!!japo naona complications ni nyingi ila haikua na ulazima kufika kote huko!!

Sema ndio kama ilivyo tunatofautiana kimila na desturi..watu wa kanda ya ziwa ni complicators sana!! Wanahisi hao watoto wao sijui nyuchi zao zina free WiFi au kuna nini cha ajabu nashindwa elewa.
 
Hivyo vizee ni vihuni vya zamani kwanza kwa ujumla wake hio familia umeilea sana wengine wasingefika huko.. kingine hakuna ubaya,ubaya ulikua kumpiga mimba ila kwakua ulikua ushaachana na dadake huyo G ungeoa fresh tu,!!japo naona complications ni nyingi ila haikua na ulazima kufika kote huko!!

Sema ndio kama ilivyo tunatofautiana kimila na desturi..watu wa kanda ya ziwa ni complicators sana!! Wanahisi hao watoto wao sijui nyuchi zao zina free WiFi au kuna nini cha ajabu nashindwa elewa.
Halafu hawakuwepo kwenye malezi

Sema jamaa inaonekana mpunga anao ndo mana wanakomaa
 
Hivyo vizee ni vihuni vya zamani kwanza kwa ujumla wake hio familia umeilea sana wengine wasingefika huko.. kingine hakuna ubaya,ubaya ulikua kumpiga mimba ila kwakua ulikua ushaachana na dadake huyo G ungeoa fresh tu,!!japo naona complications ni nyingi ila haikua na ulazima kufika kote huko!!

Sema ndio kama ilivyo tunatofautiana kimila na desturi..watu wa kanda ya ziwa ni complicators sana!! Wanahisi hao watoto wao sijui nyuchi zao zina free WiFi au kuna nini cha ajabu nashindwa elewa.
Kuzidi watu wa pwani? Kanda ya ziwa ndoa ina heshimayake.
 
Hivyo vizee ni vihuni vya zamani kwanza kwa ujumla wake hio familia umeilea sana wengine wasingefika huko.. kingine hakuna ubaya,ubaya ulikua kumpiga mimba ila kwakua ulikua ushaachana na dadake huyo G ungeoa fresh tu,!!japo naona complications ni nyingi ila haikua na ulazima kufika kote huko!!

Sema ndio kama ilivyo tunatofautiana kimila na desturi..watu wa kanda ya ziwa ni complicators sana!! Wanahisi hao watoto wao sijui nyuchi zao zina free WiFi au kuna nini cha ajabu nashindwa elewa.
Na mimi nimepiga mimba binti ya watu huku na sijalipa hata posa
Kwahiyo na mimi nisubiri purukushani huku kwa hawa wa kanda ya ziwa??
Naona naimbiwa nyimbo kibao mara lete hata posa tu tujue kama upo serious..Mmmhh!!
 
Na mimi nimepiga mimba binti ya watu huku na sijalipa hata posa
Kwahiyo na mimi nisubiri purukushani huku kwa hawa wa kanda ya ziwa??
Naona naimbiwa nyimbo kibao mara lete hata posa tu tujue kama upo serious..Mmmhh!!
Kama unampenda huyo binti nenda na hakikisha una hela ya kutosha bila hivyo utaenda kulia na usionewe huruma!! Kila kitu kwao ni gharama!! Japo huwa "wanatorosha" hii mbinu wanaitumia sana washikaji ambao bado hawajajipata kiuchumi then baadae mambo mengine yatafuata.
 
Nimekumbuka mambo ya nzengo Kuna jamaa alifumaniwa alimuaga mke anaenda arusini kipindi hicho ndio kajifungua ana miezi miwili kama sikosei kumba akaenda kufanya yake nyumba ya jirani, mume wa yule dada usiku akarudi bonge moja la fumanizi. Jamaa ikabidi ampe sijui ndo wanaita mgoni wake pesa lkn ikabidi awapoze nzengo na nyama na mchele kg mbili mbili maana walishachoma tairi za gari
Nzengo noma sana hii ilitokea kule nganza mtaa wa nyamazobe mwanza
 
Back
Top Bottom