Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

 
Kama ni story ya kweli wewe jamaa ni fala 😀😀😀😀😀
 
Aiseee
 
Mwanetu asingekuwa na Umatemate angekuwa Mtaan anaokota makopo au Magereza kabisa japo nisingependa afike huko kabisa!

Champ najua ushatoka kabisa huko
Zamani mimi ni mtu mzima! Hila huyu jamaa ulimwengu anaoishi na aina ya wanawake anaowaoa mimi hapana kwakweli! Kwanza mimi sipendi familia ambazo hazijimudu na za kiswahili! Huyu jamaa amegharimika sana kwasababu kajiingiza familia choka mbaya! Eti watu wa vikoba wanakuja kusomba vitu kwasababu ya marejesho jamaa chapu anaokoa jahazi kwa 600k?? Sasa hiyo mimi ningewaambia nimetoa "mahari" msinidai tena! Sijui mambo ya tambiko lete ngombe watatu na hela juu, duuuh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…