Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 212
- 428
Siyo kweli 🤣🤣Kuna watoto wengine majina yenu tu ni sex libido Tosha 🤔🥰🥰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweli 🤣🤣Kuna watoto wengine majina yenu tu ni sex libido Tosha 🤔🥰🥰
Jamaa sio kwamba anapenda papuchi ila anapelekeshwa na papuchimie napenda papuchi ila kwako ni next level mtaalamu
hayo ni mapito mkuu usimuhukumu kwamba hana akili hata wewe mambo yako yakiwekwa wazi kuna vitu tutavihukumu kama hukuwa timamu kichwaniNimekuja tu kusoma comment niliacha kusoma episode muda mrefu baada ya kuona mwenye episode zake akili ni ndogo
AbeeMtoto mzuri
Ngoja atafune Paprika na Tambuu na vile vidonge vga jamaa zake wakishua kwanza atakuja tuNaamin baadae atashusha vitu
Ngoja atafune Paprika na Tambuu na vile vidonge vga jamaa zake wakishua kwanza atakuja tuNaamin baadae atashusha vitu
Kak unapepo la ngono nenda ukatafute mganga handeni Tanga maan hujitambui ingawa umeajiliwadisclaimer(tuanze tu s4 maana nimesahau hata kule nimeishia episode gani)
S4 epi 1
Katika kitu nilikuja sijui Sasa kumbe Rachel huku yaani ashakua na kinyongo Sana na mdogo wake, mimi hapo najifariji tu tu naona huyu ni mtu na mdogo wake hata kama wametofautiana ni mambo ya muda tu, hapo nawaza Hawa wameishi pamoja muda wote huo, waje wagombane tu kisa mimi, naona hapa hapana ni suala la muda tu mambo yatakaa sawa, I was wrong!!!
Sasa Rachel na yule dada wa mgahawa ni watu wamekaa sana pamoja, Kwa hio hata kwenye mambo ya kijinga inakua rahisi Sana mmoja kumshawishi mwenzake, Rachel kumbe muda wote huo alikua na mpango, mi nikawa navutwa tu sielewi chochote.....
Kuna kipindi Sasa Rachel kaniita tuongee, hapo mama mkwe mawasiliano na mimi yashakua hafifu Sana yaani ni mtu hatuongei kama zamani, huyu mama mkwe kule kwake akawa ndo anamalizia anafanya mipango ya kuhamia, Sasa hio siku Rachel kaniita tulikutana sehemu flani hapo nimetoka kazini nimeenda na jamaa yule niliyeenda nae polisi mara wa kwanza, jamaa hapo nae ananishangaa ananiuliza " huyu Sasa mna ishu gani nae? Usisahau na kituoni ashakulaza ujue" hapo mi najiamini tu Wala najua huyu(Rachel) hawezi hata kunizidi ujanja wacha nimsikize tu nione anasemaje...... Tumekaa hio siku Rachel kaja mpole kweli tu, tukaongea mambo mengi tu, ye anajikuta Sasa anajutia yote yaliotokea ananiambia " unaona Sasa mpaka Sasa sipo karibu na mdogo wangu(G) kisa mambo haya"
Hapo mi namsikiza tu, badae namwambia maisha lazima yaendelee haya yashatokea Wala huwezi rudisha muda nyuma ndo ishakua hivo tu, na mimi hapo Nina kama guilty flani inaniingia moyoni maana Kila nikikaa na G japo ataonesha yupo sawa ila nikawa nawaza kama mimi ndo nimemgombanisha na familia yake, maana kipindi hiko hata mama yake naona tu kabisa hawapo sawa....
Rachel Sasa pale ndo akawa anaongea mambo mengi tu kuhusu yaliotokea, nae anaonyesha kujuta ila Sasa sio kama anataka niwe nae tena hapo ananiambia anataka tu tuwe sawa wote Ili awe huru Sasa hata akitaka kwenda kumsalimia mtoto wake na mdogo wake Sasa(G).... Nikaanza Sasa kumuambia pale kua na ye anakosea, kama ye alishaamua kuanza maisha mapya tena na mwanaume wake kule geita iwaje tena anakuja huku Bado anakua na kinyongo na sisi, namwambia hata G huenda asingefanya haya yote kipindi tupo wote, labda alifanya haya yote akijua wewe(Rachel Sasa) ulishaenda kuolewa huko na usha move on na maisha Yako....
Yote Kwa yote katika hayo maongezi point yake kubwa ilikua kua mama yake anahamia kwake Sasa na yeye hataki kwenda kukaa na mama tena, anataka kuanza maisha yake mengine kabisa.... Hapo ananiambia Hana kinyongo tena na sisi na G anataka amani tu Kila mtu aendelee na maisha yake
Point kubwa Sasa, ye akawa anadai ana akiba zake anataka kwenda kupanga aanze maisha yake... Siku nikipata nafasi hata kama sio Kwa wakati huo nimuwezeshe na yeye afanye biashara zake, hapo ananiambia " ukweli utabaki pale pale, mi ndo mama yake na D, Leo na kesho hata kama ukiwa haupo hakuna atayekua na uchungu na D kama mimi, ukiniwezesha mimi hata kama sio Leo lakini unakua umewekeza Kwa mtoto wako tu, kwani mi naweza kumuona mtoto akiteseka na wakati mimi nipo? Na mi ndo mama yake?"
Nikawaza pale namuuliza Sasa unataka nini? Ananiambia niongezee tu pesa kidogo nianze kuishi kwangu alafu siku ukiwa na nafasi na nafsi Yako ikiona sawa unaweza niongezea mtaji kidogo na mimi nipambane na maisha huwezi Jua kesho nikawa msaada Kwa mtoto wetu
Nikamwambia acha niwaze ntakujibu, Ile siku hatukukaa Sana akawa ameondoka, nikamshirikisha mshkaji wangu Sasa tuliyeenda nae pale akawa kama ana wasiwasi anasita tu pale badae akaniambia " mwanangu Kwa uliyopitia yote haya, hakikisha tu humfichi mke wako(G Sasa) maana haya mambo hayaeleweki, unaweza kufanya kitu Kwa Nia njema badae kikakurudia wewe"
Tukaagana pale mi nikaondoka zangu, home na G maisha ni ya amani Sana analea tu watoto Wala hawezi wabagua maana hata D ndo kamzoea kama mama Sasa, kama unavyojua tamaduni zetu watoto wakiwa wadogo, tulikua tunalala wote chumba kimoja......
Sasa hapo mi sielewi kumbe Rachel ananivuta tu alikua mpango wake, zikakatika siku mama mkwe akahamia kwake(japokua hata hakuniambia) taarifa napata Kwa Rachel tu hapo, nikaja kumpa kiasi flani kidogo tu Sasa japo kumsupport ikafika muda na yeye akahama akaenda kupanga sehemu nyingine, ikafika mahali Sasa tukapanga kwenda kule ustawi tena tuwaambie kua tushaelewana tu mtoto atabaki kwangu, ila kabla ya hapo nilimpigia ba mdogo nikamshirikisha akanishauri kwanini msimshirikishe mwanasheria maana haya mambo ya kukubalia Kwa mdomo hayana guarantee itafika muda utageukwa tu
Rachel nikaja mwambia, hapo anajifanya kua yeye Hana shida niamue mimi tu, basi Kuna jamaa alikua lawyer wa kampuni pale( part time tu sio muajiriwa kamili) nikaja mtafuta siku tukakaa mahali nikamuelezea situation zangu zote akaniambia Hilo swala Halina shida, basi tukaweka pale makubaliano ya mtoto na Rachel kupitia huyo mwanasheria tukazipeleka ustawi pale, badae akazipitisha mahakamani tukawa Sasa na official agreement kuhusu mtoto, japokua vihela vilitoka kiasi ila nikawa Sasa Nina amani kua mambo Sasa yamekaa sawa....
Sasa katika hayo makubaliano nayeye aliomba awe anapata muda wa kumuona mtoto, wote hatukuona kama ni jambo baya maana ukizingatia na yote Bado yeye ndo mama yake
Muda ukaenda Sasa sijui Rachel akaanza kumuingia vipi mdogo wake(G) nashangaa wakaanza kuja pale home na yule rafiki yake wa mgahawa watakuja salimia pale, Rachel atamuona na mtoto wataondoka..... Kuna kipindi ntawakuta nyumbani nawaona wako sawa tu at least nikaanza kupata amani naona Sasa Bora hili jambo linaenda tu sawa....
Sasa sijui ikawaje hapo G nae akawa amejenga Sana ukaribu na yule rafiki yake Rachel wa mgahawa, hapo anamchukulia tu kama dada yake na nini atashauriwa mambo ya maisha,na hapo washarudisha ukaribu na Rachel kiasi utakuta Kuna muda wanapigiana Simu na nini, hapo mama mkwe yeye ataongea na G kwenye Simu tu muda mwingi si rahisi kumkuta kaja pale, na mi hapo mawasiliano ni kama yalianza kufa kabisa
Kuna kipindi Sasa mama yangu mzazi akaja mwanza, alikaa kama wiki mbili pale, Sasa damu za watu sijui zikoje, sijui ni upole na unyenyekevu wa G ikatokea tu mama wameelewana Sana na G, ukija home utawakuta wapo wote tu na watoto mara mama atamletea hiki na hiki, basi nikasema Sasa hapa maisha yashanyooka tu vizuri
Hapo Rachel na yule rafiki yake nao watakuja salimia siku moja Moja waondoke zao, Sasa siku mama kabla hajaondoka akaniita tukaongea mambo mengi Sana pale badae Kuna maneno nakumbuka aliongea Kwa hisia Sana akaniambia "mwanangu Sasa hapa naona ushaanzisha mji wako, mi siwezi kukuingilia ushakua mtu mzima wewe, Kaa na huyu Binti, makosa ya nyuma msiyawaze Sana hata huyu mwenzako(G) nishamueleza, ila sisi ni watu wazima Kuna mambo tunayajua nyinyi sio rahisi kuyaelewa Kwa Sasa, mshauri mwenzako awe makini Sana na Hawa(Rachel na rafiki yake Sasa), binadamu hua hatusahau Kwa haraka, unaweza kuona mtu anakuchekea kumbe moyo Bado mzito, mwambie mkamwana wangu awe makini Sana asiruhusu mazoea Sana na huyu dada yake na huyu rafiki yake"
Sasa hapo nikawa nawaza ni uoga tu wa mama maana naona hapo Kila kitu kipo sawa, basi tukaongea pale kabla hajaondoka Kuna siku mama akaenda kumsalimia mama mkwe kule kwake sijui waliongea nini ikafika siku mama akaondoka zake
Rachel akaja kufungua kiduka chake pale Kuna siku niliongea nae nikapita nikamsalimia ni nikaondoka zangu, Sasa hapo naanza kupata mawazo ntakuja nimuongezee ka mtaji kidogo maana nawaza Sasa Yale maneno kua Kuna kesho, yeye akiwa na msingi mzuri hata mwanangu atakuja kuishi tu maana binadamu maisha yetu tumepewa kama zawadi tu hakuna anayejua kesho.....
Ikafika kipindi Sasa Rachel atakuja mchukua mtoto wake pale siku haendi shule, nikitoka kazini ntampitia mtoto nirudi nae nyumbani.... MAKOSA!!!!!
Aisee mtu kama ulishatembea nae tena mmeishi wote kabisa ukitaka muachane Kwa amani kabisa Kaa nae mbali kabisa ... Hii kuonana onana na Rachel badae ikawa balaa tu yaani, Kuna kipindi utamkuta hayupo dukani na hapo ana mtoto itabidi umfate mtoto kwake Sasa, hapo utaambiwa subiri nimuandae, utapewa chakula na nini, yaani huo ukaribu Sasa.... Alafu Sasa huku nyumbani G Sasa Hana shida Kila kitu kinaenda sawa tu yaani Kuna kipindi ni kama wanaume hatupendi utulivu tunataka mikikimikiki tu yanii
Ukaribu Sasa na Rachel Kuna siku nakaa tu nawaza, kuna mambo ambayo mlikua mnafanya itafika mahali utakumbuka tu, akili ikawa inagoma ila mwili Sasa Kuna muda unawaza ujinga tu... Hapo nimesharelax sio kama kipindi kile ilikua Kila siku Kuna hili na lile
Sijui hata ilikuaje Kuna siku Rachel kanipigia mi hapo nimetoka kazini tumekaa tu mahali na washkaji wa kazini, nikamwambia nipo mahali flani akaja, tumekaa pale na pombe nazo hizi sijui hata nini kilinipata mara mimi hapo nipo tena Kwa Rachel alipopanga Sasa, hapo najikuta Sasa ndo nafanyiwa visa vyote, penzi la mtu anayetaka kukurudisha, ulikua usiku mrefu Sana yaani amri ya sita ikavunjwa, ..... Dah ndo nikawa Sasa nimerudi shimoni!!! Muda ya kama saa 10 nikaoga nikaondoka hapo naambiwa ulale tu Sasa, nimerudi home G hata kuuliza chochote hakuna, nikala, asubuhi kazini akili inawaza Sasa majanga yote niliyopitia, mwili nao unakataa unakumbuka mambo ya Jana hapo
Kakawa katabia Sasa, nikipata muda mi huyo Kwa Rachel( aisee maisha haya), hapo ndo utaongezewa utundu wote basi tu, Sasa kumbe bana mi hapo naingia kwenye mtego Wala hata sishtuki chochote, ndo maana nilisema Rachel alikua hatua Moja mbele yangu.....
Sasa yule rafiki yake Rachel wa mgahawa hapo ana ukaribu na G Sasa, Kuna siku kumbe alimfata akaongea nae Sana akawa anamuambia "ongea na mume wako Sasa maana naona wanakua na ukaribu na dada yako, hata kama ni swala la mtoto watu walishakuaga wapo wote huwezi Jua" wakaongea mambo mengi pale yeye anajifanya kama anamshauri kama mdogo wake
Ikafika siku G akaanza kuniambia Sasa mbona siku hizi upo karibu Sana na dada? Kua makini hata kama ni mambo ya mtoto huwezi Jua dada anawaza nini
Akili ikaanza kuclick Sasa hapo, nikamtuliza tu pale kua hakuna kitu akaelewa maisha yakaendelea, kumbe mpaka yule rafiki yake anaenda kwangu yote ilikua plan ya Rachel all along nilikuja kujua nishachelewa Sana.....
Sasa tukaja pata safari ya kikazi, nyumbani nishaaga, sema gari la kazini Kuna services dreva kaenda kufanya, sisi tunaondoka tupo hoteli Moja hapo tunapiga tu pombe pale tusubiri gari lije tuondoke, dreva badae anatuambia itabidi tuondoke jioni kabisa ndo itakua sawa, sisi hapo tunaendelea tu na mambo yetu pale... Akili ya kimwili nazo Sasa, nikamcheki Rachel, akaja.... Hatujakaa sawa tupo chumbani, Sasa Rachel nae sijui ndo alimpanga informer wake( yule rafiki yake wa mgahawa)....
Nakuja kutoka jioni tumeagana pale, tumepanda gari safari inaanza Sasa G huyo katuma sms " Mme wangu haya maisha utahangaika mpaka lini, yote uliyoyafanya Leo mbona nayajua"
 tenaa????
nikampigia simu pale hapokei tu, tuma sms nauliza kwani kuna nini kimya.... basi tukasafiri tukafika mida ya kama saa 9 usiku, tukaenda mahali tukapumzika, piga sana simu hazipokelewi, piga simu ya mdada wa kazi nayo haipatkani
kesho mtindo ukawa ule ule, hapo Rachel nae hatutaftani, nikawaza nimtume mtu nyumbani au, ila kwasababu safari ilikua siku 2 tu nikasema ngoja
siku ya pili nayo ivoivo, badae nikamtumia G sms namuambia nishamaliza kazi kesho tunarudi kulikoni mbona hatuwasiliani mama
kimyaaa...
kesho yake sasa tupo njiani tunarudi mwanza , napata sms kutoka kwa mama yangu mzazi sasa ananiambia "mwanangu huko wameshakuchezea, sitaki kuja mwanza kubeba maiti ya mwanangu huko, kama pamekushinda tafuta kazi sehemu nyingine au urudi kwanza nyumbani"
nikazidi kuchanganyikiwa, nampigia mama simu nae hapokei, nikatuma sms " kuna nini kwani mama?" nae hajibu
nakuja fika mwanza nyumbani nakuta geti limefungwa gonga sana hamna kitu, piga simu mtindo ni ule ule mpaka nikajiridhisha hapa hakuna mtu
napata hofu na hasira pia sasa, badae nikamtumia G sms hapo nikawa mkali mbona simuelewi waache kunifanyia mambo ya kipuuzi.... kimyaaa....... nimekaa kidogo akajibu " funguo utazikuta hapo kwenye duka la flani baba D(jina la mwanangu wa kwanza)
hilo duka walikua wanaenda kununua mahitaji hapo lipo karibu, nikampigia G hapokei.... tuma sms kwani mpo wapi naona kimya tu....
nikatoka fasta mpaka hapo dukani, nakuta ana wateja ikabidi nisubiri kwanza watoke, kuja kuuliza sasa kulikoni ndo jamaa ananiambia funguo nimeachiwa kuna gari walipita nayo hapa imewabeba, naulizia nani na nani naambiwa wote, G watoto na dada yao...... aisee hapo sielewi jamaa namuuliza gari gani nae hajui hata aina akataja tu rangi na muonekano wake
piga simu sana kwa G hamna kitu hapokei, namuwaza nimpigie mama mkwe naona hapana hapo sijajua ni nini ntaharibu tu, nikatuma sms tena kwa G " sipendi upuuzi wanangu umewapeleka wapi, maana naona simu zangu hupokei"
nakaa kidogo napata ujumbe kutoka kwa mama yangu mzazi " sikutaka kujihusisha na mambo yako ila naona mwisho wake utakua mbaya sana,acha kumsumbua mtoto wa watu, ntakaa nae huku na wajukuu zangu mpaka siku ujinga wako utakapokuishia"
Hapana kuna mambo anajiendekeza ukisoma vizur utaona akitaka kufanya jambo lisilofaa analisifia kwanza ni kama analitafutia lionekana ni sawa tu..anapunguza uzito.hayo ni mapito mkuu usimuhukumu kwamba hana akili hata wewe mambo yako yakiwekwa wazi kuna vitu tutavihukumu kama hukuwa timamu kichwani
Sio kweli - Fungate imeisha
Uwezo wa kuvuka huo mtihani Patrick hana bora hivo hivo asingizie tumbo 🤣We ungepokea simu ukamuelekeza chumba harafu akaingia ukasikiliza anasema nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzi mrefu kama bom la iraqWakuu natumaini wote mpo salama na mnaendelea vyema kusherekea sikukuu hizi
Dah, kwa upande wangu mimi sipo sawa kabisa hapa najiona mkosefu sana na sijui hata jamii itanielewa vipi, nimekuja huku naamini kuna wakubwa na watu wenye busara naweza pata ushauri.. Nayopitia kwa sasa na jinsi nilivyokua na mahusiano imara huko nyuma ni mbingu na ardhi. Kisa ni kirefu kiasi chake hivyo naomba muwe wavumilivu
Mikosi ilianza kama miaka 7 iliyopita nikiwa nimemaliza chuo, nilikua na maisha bora sana yasiyo na misukosuko yoyote, nilianza mahusiano na mrembo mmoja tukiwa form four wote sema shule tofauti, yeye akisoma shule ya bweni ya wasichana pekee na mimi kipindi icho niko boarding school boys tupu, huyu binti mpaka kumpata nilitumia sana nguvu acha tu hua sitaki hata kukumbuka, ni binti ameshika sana maadili sidhani kama kuna binti wa namna hiyo endelea kufatilia huu mkasa utaelewa kwanini nakuambia hivo....ili iwe rahisi acha tumuite mary japo sio jina halisi ntajitahidi kuficha codes kadhaa
Mary alikua ametoka familia yenye uwezo mkubwa tu sana na yenye maadili mema, mama yake akiwa na wadhifa mkubwa tu serikalini na mzee wake akiwa mfanyabiashara, hatukua majirani bali nilikutana nae shuleni kwao nikiwa nimeenda kuhudhuria mahafali ya dada yangu mkubwa, bado hio siku naikumbuka kama jana kweli mapenzi yana nguvu unaweza kumuona mtu ukakaa wiki nzima bila kumtoa akilini kwako, sikufanikiwa hata kumsemesha hio siku nikawa nimeondoka na mawazo kibao tu huku namuwaza mtu ambae nilikua na imani sitokaa nije nimuone tena maishani..
Basi bana maisha yakaendelea mpaka siku nakumbuka nipo naangalia cd ya graduation ya sister kuna kipande walikua wanaimba madarasa ya chini ndipo nikamuona Mary bana, hapo nilikua nishaanza kusahau kuhusu yeye, nikamuita sister nijajikaza tu nikamuuliza unamjua huyu binti? Akamuangalia akajibu " vipi unamjua kwanini unaniuliza?" Nikamuambia hapana simfahamu ila nakumbuka nilimuona nilivyokuja shuleni kwenu kipindi kile, sister akaniambia anha huyo anaitwa Mary(disguise name) ni mdogo wake na fulani.... Akaniuliza vipi kuna nini...? Nikajibu hakuna kitu kwani wao wanakaa mkoa gani, uzuri akaniambia wanakaa mkoa mmoja na sisi tulipo, hapo mapigo ya moyo yanaenda kasi sana.
Basi kila nikipata muda nikawa namdadisi sister kuhusiana na yule binti mpaka kuna siku sister akaniambia na wewe nimechoka na maswali yako ngoja ntakuombea namba kwa dada yake, baada ya kama siku mbili sister akaja akanipa ile namba hapo nimechanganyikiwa nashindwa hata nianzie wapi,nikaja mtafuta kwa njia ya sms akanijibu nikatumia nguvu sana kujitambulisha uzuri alikua anamjua sister, akawa anakomaa tu anauliza unataka nini toka kwangu nikamuambia tukiwa marafiki itapendeza akanijibu hakuna shaka...
Nikaja kumuomba nimuone kabla shule hazijafunguliwa tukaja kuonana sehemu moja alikuja na mdogo wake ila hatukukaa sana wao wakaondoka,mawasiliano yakaendelea kwa njia ya barua kipindi hicho kishule shule sasa, kufika form 4 ndo nikaja kumfungukia hisia zangu kwake nakumbuka alikua mkali mpaka nusu urafiki ufe, lakini sikukata tamaa mpaka akaja kunikubalia tukawa wapenzi rasmi
Huyu binti alikua na msimamo sana maana hatukufanya chochote mpaka tukaja kumaliza six nakumbuka kwa mbinde nilimvunja usichana hio siku alilia sana akaniomba nisije kuacha kumuoa, kwa uzuri na tabia zake hakika nilishajihakikishia hapa mke nimepata, tukachaguliwa wote udsm hakika nilifurahi sana nikapanga ghetto huko ndo mapenzi yakawa rasmi sasa, jumatatu naenda nae chuo jioni namuacha anakaa hostel za chuo mpaka ijumaa tukitoka tunaenda wote ghetto mpaka jumatatu tena, hakika Mary alikua mzuri sana ndani ya muda watu wengi sana wakawa wanamjua, nakumbuka kuna siku nipo hall kwao tupo room wakaja wadada flani nilikua nasoma nao kozi moja Mary kuwaambia kua mi ni boyfriend wake wale wadada kila tukikutana nae lecture hall wakawa wananiambia we kaka ulimpata wapi binti mrembo vile.
To cut the story short, Mary hakuwahi kuniletea mauza uza yoyote kipindi tupo chuo, na ujinga sikufanya mwingi maana hakuna weekend yoyote ambayo sikua nae, maisha yakaendelea mpaka tukamaliza chuo mi nikapata kazi mwenye government institution moja ofisi zake zipo posta yeye akapata kazi kwenye private firm, after a while tukahamia kwenye nyumba nzima Mungu akajalia tukanunua na usafiri, asubuhi nampeleka job namuacha jioni anatoka anakuja ofisini kwangu ananisubiri mpaka natoka tunaenda wote home maana mi nilikua nachelewa kutoka, sikua na wasiwasi na Mary maana kuanzia chuo alishatongozwa sana na alikua akiniambia tu naomba uniamini siwezi kufanya ujinga
Basi tukaanza kuishi maisha ya Mume na mke rasmi, uzuri kwao wote kasoro wazazi tu ndo walikua hawanijui, na kwetu ivo ivo, tukaanza kabisa na kupanga mipango ya kutambulishana makwetu, dah kumbe bana ukipanga hivi shetani nae anapanga vile, nakumbuka kuna birthday moja nilihudhuria nikakutana na msichana mmoja wa kisomali mixture kidigo alikua anasoma chuo cha uhasibu TIA aisee najuta sana hio siku maana nahisi masaibu yangu yote mpaka leo hii nakula christmas kinyonge ivi yalianzia hapa...
Endelea kunifatilia naandika leo leo hii mpaka iishe hata kama ni saa 7 usiku.