Revola
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 1,516
- 1,338
MTOTO WA KIUME UNAAGA ILI UBEMBELEZWE AU UNAGAWA YASS ZAMANI 0713....Uvivu tu wa kulima, mtu mzima una shadadia chombezo au wewe ndio G unasubiri hatima yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MTOTO WA KIUME UNAAGA ILI UBEMBELEZWE AU UNAGAWA YASS ZAMANI 0713....Uvivu tu wa kulima, mtu mzima una shadadia chombezo au wewe ndio G unasubiri hatima yako
Acha mambo yako patrickk Yaani ulienda na bajeti ya kumalizana na mama. Hiyo bajeti ya ghafla ya wazee ya laki 6 imetoka wapi? Hata kama ulikuwa nayo lakini kama mbongo huwezi kuitoa bila bajeti! Sio lahisi kutoa hela kindezi hivyo mwamba! Hapa umetupiga fix! ☺🙂😛😛Muache huyo ngoja tuendelee, naona laki 6 imemtibua kweli, ngoja siku na yeye aende kuoa
Mkuu pole,punguza stress za asenyau kutoa sare.Sijaona mwenye hela hapa najua mnabembeleza kuendelea kusoma chai
Wewe kichwa chako ni mzigo kwa shingo, sina uhakika kama umekula mwanaume unalilia simuliziMPUUZI HUYU KAKA ACHA NIDILI NAE KIKAMILIFU.
WE UNAFANYA NINI HAPA?? AU WE WAKIKE UNATOA 0713...?Wewe kichwa chako ni mzigo kwa shingo, sina uhakika kama umekula mwanaume unalilia simulizi
Na dili na wewe tahira mmoja unayelilia simulizi uta kufa maskini wewe shauri yako!WE UNAFANYA NINI HAPA?? AU WE WAKIKE UNATOA 0713...?
WE UNAFANYA NINI HAPA?? AU WE WAKIKE UNATOA 0713...?Na dili na wewe tahira mmoja unayelilia simulizi uta kufa maskini wewe shauri yako!
Bora shule zifunguliwe tuu hizi takataka zimejaa mtandaoniWE UNAFANYA NINI HAPA?? AU WE WAKIKE UNATOA 0713...?
Sina haja ya kukuhakikishia mkuu, na huna haja ya kuniamini.... Soma vizuri Kuna mahali nimeandika kua ilibidi niende kuwatolea....Acha mambo yako patrickk Yaani ulienda na bajeti ya kumalizana na mama. Hiyo bajeti ya ghafla ya wazee ya laki 6 imetoka wapi? Hata kama ulikuwa nayo lakini kama mbongo huwezi kuitoa bila bajeti! Sio lahisi kutoa hela kindezi hivyo mwamba! Hapa umetupiga fix! ☺🙂😛😛
WE UNAFANYA NINI HAPA?? AU WE WAKIKE UNATOA 0713...?Bora shule zifunguliwe tuu hizi takataka zimejaa mtandaoni
Mim pia imeniuma sana hicho kipande nimewaza rejesho la laki 2 linanitoa jasho sipokei simu za mhasibu😀 alafu unachezea laki 6 kweli ngoja nitafute sana ela 😀😀😀Sina haja ya kukuhakikishia mkuu, na huna haja ya kuniamini.... Soma vizuri Kuna mahali nimeandika kua ilibidi niende kuwatolea....
Laki 6 Ili nimalizane na Hawa wazee nayo imekua pesa ya kushangaza?😀.
Ngoja nisiongee Sana ila tujaribu tu kuongeza maarifa ya kuongeza kipato
Mim pia imeniuma sana hicho kipande nimewaza rejesho la laki 2 linanitoa jasho sipokei simu za mhasibu😀 alafu unachezea laki 6 kweli ngoja nitafute sana ela 😀😀😀
Achana nao malizia story
😀😀😀Kuna wanaume wako hivoHicho kipande kwakweli amekuwa mlenda mlenda..., yaani watu wanakalia maneno tu na wanapata hela
Haloooo, me ntakuwa mbishi mno, yaani watu waliojaribu kwenda kuniharibia kazini, mara nzengo.... Hao mpaka kwenye wosia nawaandika wasipewe senti yangu😀😀😀Kuna wanaume wako hivo
Yan wao ukiwapa maneno km ela ipo ni kufungua wallet 😀
Najitahidi Sana nitafute pesa Ili mwenzangu akitumia za kwake hata kama ni Kwa ujinga zisiniume😀😀😀Kuna wanaume wako hivo
Yan wao ukiwapa maneno km ela ipo ni kufungua wallet 😀
Ni kama nilikua nimechoka tu na haya mambo nilitaka yaishe tu Kwa pamojaHaloooo, me ntakuwa mbishi mno, yaani watu waliojaribu kwenda kuniharibia kazini, mara nzengo.... Hao mpaka kwenye wosia nawaandika wasipewe senti yangu
Wew unapenda ubishi mm ni dizain ya Patrick Yan hata mtu akinichokoza Huwa nakubalig yaishe tu Kuna jirani yangu alinidai deni ambalo nilishalipa na nakumbuka na mashahid wapo nikaona sio kesi nikalipa Tena mdogowangu alinilaani 😀😀😀Haloooo, me ntakuwa mbishi mno, yaani watu waliojaribu kwenda kuniharibia kazini, mara nzengo.... Hao mpaka kwenye wosia nawaandika wasipewe senti yangu
Kuna muda amani inazidi thamani ya pesaWew unapenda ubishi mm ni dizain ya Patrick Yan hata mtu akinichokoza Huwa nakubalig yaishe tu Kuna jirani yangu alinidai deni ambalo nilishalipa na nakumbuka na mashahid wapo nikaona sio kesi nikalipa Tena mdogowangu alinilaani 😀😀😀
Ni kweli wanasemaga tuwape watu ushindi Ili tubaki na amaniKuna muda amani inazidi thamani ya pesa