Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo tunatoka kwenye majukumu Leo ntaziweka mkuuNaagiza kufika saa 20:00 Patrick asipoonekana humu akamatwe na apelekwe kituo kidogo cha polisi staki Shari kwa mahojiano zaidi.
Punguza jazba Mzee, Leo ni siku ya kazi chiefhii tabia yakuleta stori na kupotea au unaweka viepisode viwili na visababu mara muda mara sijui maujinga gan ni mambo ya ajabu au ni mambo yakike. kama unaona huna mda husianzishe stori subiri hadi uwe na mda ndo mlete vistori vyenu. shain... nyi ndo mkifanikiwaga kupata viela flan vya kubadilisha mboga mnaanza kuringa. mbna mnavoanzaga stori hamsemag kama mda hautosh?
Basi na Mimi nkajua upo likizo km wanafunziNdo tunatoka kwenye majukumu Leo ntaziweka mkuu
Wanakuwa wanatongoza na vibinti vyetu humu hawa jamaa..., kwahiyo tuvumilie tu akague walau wawili watatu mkuu 😂😂JAMAN WENYE VISA VYENU SHUSHENI ATLEAST UZI UWE UNATEMBEA MANA JAMAA KASHAJIKUTA SUPERSTAR YANI WATU TUNA AROSTLE YE ANAWEKA VI EP VIWIL ANATULIA. SEMA HAWA WATU WENYE VISTORI VYAO WANA NATA BALAA.
Fanya kazi acha kutunga stori za uongo humuPunguza jazba Mzee, Leo ni siku ya kazi chief
Huyu jamaa ni Miongoni mwa Wachache Walionogewa saaaaaana na hz Episodi, zimemnyege...sh aafu akatishwe juu Kwa juu anaona km Ukatiri flaani hv,, 🤣hii tabia yakuleta stori na kupotea au unaweka viepisode viwili na visababu mara muda mara sijui maujinga gan ni mambo ya ajabu au ni mambo yakike. kama unaona huna mda husianzishe stori subiri hadi uwe na mda ndo mlete vistori vyenu. shain... nyi ndo mkifanikiwaga kupata viela flan vya kubadilisha mboga mnaanza kuringa. mbna mnavoanzaga stori hamsemag kama mda hautosh?
Saa nne hii mkuuNdo tunatoka kwenye majukumu Leo ntaziweka mkuu
Nimecheka kisenge 😀Recho anaenda kubebeshwa mtoto wa pili 😹
Mkuu wewe hao ungeoa wote, na bamdogo ungempa mama yao mkazie undugu..!!
🤣hii tabia yakuleta stori na kupotea au unaweka viepisode viwili na visababu mara muda mara sijui maujinga gan ni mambo ya ajabu au ni mambo yakike. kama unaona huna mda husianzishe stori subiri hadi uwe na mda ndo mlete vistori vyenu. shain... nyi ndo mkifanikiwaga kupata viela flan vya kubadilisha mboga mnaanza kuringa. mbna mnavoanzaga stori hamsemag kama mda hautosh?
Jaman, mpeleken pole pole, watu wanamajukum.Naagiza kufika saa 20:00 Patrick asipoonekana humu akamatwe na apelekwe kituo kidogo cha polisi staki Shari kwa mahojiano zaidi.
🤣Recho anaenda kubebeshwa mtoto wa pili 😹
Mkuu wewe hao ungeoa wote, na bamdogo ungempa mama yao mkazie undugu..!!