Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Mimi huwa nawashagaa sana wasomi, au kuna siri gani kwenye pombe na madawa yakulevya haya. Unakuta msomi mzuri tu lakini pombe singira na makolokocho kibao anatumia

Mimi ambaye nilishia darasa la 7 tulifudishwa hivyo vitu ni hatari kwa afya zatu za akili na mwili,.

Hadi leo naviogopa kama mamamkwe wa patrickk.

Nyie wasomi hebu nifungueni hii code au uko mbele huwa munafundishwa siri yakutumia pombe.
Sometime stress lakn pia hata wadarasa saba bado inawachua pia
 
Back
Top Bottom