Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹 naijua hiyoI assure you 🤣
patrick sio wa kumzingatia sana mana aloshatuambiaga kuwa yeye sio mtu wa kuchukulia vitu serious so hata hii story anaeza ishia popoteNdo kusema unapiga sana vitu Hadi huleti mwendelezo
🤣🤣 I have a gift for you, Naja DM😹😹 naijua hiyo
🦦 jichanganye🤣🤣 I have a gift for you, Naja DM
Anazingua sanapa
patrick sio wa kumzingatia sana mana aloshatuambiaga kuwa yeye sio mtu wa kuchukulia vitu serious so hata hii story anaeza ishia popote
Sometime stress lakn pia hata wadarasa saba bado inawachua piaMimi huwa nawashagaa sana wasomi, au kuna siri gani kwenye pombe na madawa yakulevya haya. Unakuta msomi mzuri tu lakini pombe singira na makolokocho kibao anatumia
Mimi ambaye nilishia darasa la 7 tulifudishwa hivyo vitu ni hatari kwa afya zatu za akili na mwili,.
Hadi leo naviogopa kama mamamkwe wa patrickk.
Nyie wasomi hebu nifungueni hii code au uko mbele huwa munafundishwa siri yakutumia pombe.
Mpaji Mungu🦦 jichanganye
Madem wampe papuchi mwamba ashushe stori yoteRaia wa humu wananzaga kwa mbwembwe na spid kali kwelikweli akishaona story yake inafatiliwa hasa na wanawake Maringo na nyodo yanaanza anataka abembelezwe