The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
- Thread starter
- #21
Yeye akija nn kinachobadirka??Sasa utakulaje na mwenye mji Bado hajala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye akija nn kinachobadirka??Sasa utakulaje na mwenye mji Bado hajala?
Kabisaa yaniUmaskin Na uchoyo
Ndo maana nikasema ndo utaratibu wetu watanzania.Lakin sio utaratibu mzuri wengine mbaki na njaa sababu mtafutaji hajarudi, what if kapitia kwa rafikiye anakula soga
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndo maana nikasema ndo utaratibu wetu watanzania.
Ukitaka kula mapema labda ujenge urafiki na beki 3.
Ukalie jikoni.
Mimi mambo ya kwenda Kwa watu( kuwa mgeni) hovyo nilishayakataa kabisa . Mara nyingi mimi nikienda safari huwa nafikia guest hata 5000 na kahela Ka msosi . Maisha ni tight kwahiyo watu Wana weka bugeti Kali ya msosi .Wasaalam,
Hivi ushawahi enda sehemu kwa rafiki yako,ndugu yako kusalimiaa etc.
Chakula kimepikwa na muda wa kula umewadia lakin mnaambiwa msubjri Hadi mwenye mji afike ndipo mle kwa pamoja.
Sasaa fikiria ulikuwa umeenda tangia asubuhi sasa msosi umepikwa wa jioni unatakiwa ule uende zako lakini huwezi kula Hadi mwenye mji arudi, ukiaga kuondoka unaambiwa subiri kidogo ndo anakaribia tule kwa pamoja.
Anyway, Kwann ukalishe watu njaa kisa kumsubiri mme/mke arudi toka safarini au kazini, Kwann asitengewe msosi wake pemben akija ale kivyake wakati huo wengine ndiyo mda wenu wa kulala lakin inakubidi usubirie.
Umaskini tu 😅 hamna kingineIla ukiwa na makazi na kama wewe ndo mwenye nyumba naamaanisha ndo baba au mama unatakiwa uwe strait kwa kuweka uwazi na uhuru kwa waliopo na hata wageni kwamba jaman chakula kikiwepo kuleni habar za kusubir sijui nani aje ndo kiliwe sio mpango na hata mgeni akija kama chakula kipo apewe na kama kakuta kilishaisha basi apewe chochote kilichopo hata chai huo ndo uungwana sio kuleta masharti kama ya waganga sio mpango na ukifanya hvo jua kwamba hata watoto unaowalea watachukua hiyo na wakiwa na kwao watafanya hvo hvo...ila sasa kuna watu maisha yao ni chakula yan wanaabudu chakula hadi huruma ndio utawakuta na masharti ya kijingajinga kama hayo
Ukiona huna pesa bakia kijijini huko huko misosi ni mingi halafu bureMimi mambo ya kwenda Kwa watu( kuwa mgeni) hovyo nilishayakataa kabisa . Mara nyingi mimi nikienda safari huwa nafikia guest hata 5000 na kahela Ka msosi . Maisha ni tight kwahiyo watu Wana weka bugeti Kali ya msosi . Mimi nakushauri ukiwa unaenda safarini au kuwa mgeni sehemu andaa na bajeti yako mapema kabisa. Chakula kikiwepo au kisiwepo uwe na ela ya kwenda Kwa mama ntilie. Ukiona huna pesa bakia kijijini huko huko misosi ni mingi halafu bure
Aisee wewe hio ni familia yako tu, usitujumuishe watanzaniaNdo maana nikasema ndo utaratibu wetu watanzania.
Ukitaka kula mapema labda ujenge urafiki na beki 3.
Ukalie jikoni.
Wewe mboga Saba.msosi draft mtoto wa kishua utajuaje haya mambo?Aisee wewe hio ni familia yako tu, usitujumuishe watanzania
Dawa ni kuingia gengeni,gonga plate Moja rudii,Omba kulala,wakikuamsha unawambia hujisikii kulaa au unawajibu hulagi masaa yakiwa yameenda[emoji1787].Wasaalam,
Hivi ushawahi enda sehemu kwa rafiki yako,ndugu yako kusalimiaa etc.
Chakula kimepikwa na muda wa kula umewadia lakin mnaambiwa msubjri Hadi mwenye mji afike ndipo mle kwa pamoja.
Sasaa fikiria ulikuwa umeenda tangia asubuhi sasa msosi umepikwa wa jioni unatakiwa ule uende zako lakini huwezi kula Hadi mwenye mji arudi, ukiaga kuondoka unaambiwa subiri kidogo ndo anakaribia tule kwa pamoja.
Anyway, Kwann ukalishe watu njaa kisa kumsubiri mme/mke arudi toka safarini au kazini, Kwann asitengewe msosi wake pemben akija ale kivyake wakati huo wengine ndiyo mda wenu wa kulala lakin inakubidi usubirie.
Hahahaha.... Utamaduni wa uvumilivu.Kwamba ukivumilia mpaka mwisho ndo utakula,Ukishindwa kalale lakini hautaamshwa chakula kikipakuliwa[emoji1787][emoji28] .Wao wanasema hiyo ni kutokana na uhaba wa chakula ukilinganisha na idadi ya watu waliopo,ndio utamaduni wetu huo
Kijana jitahidi tafuta uhuru wa kiuchumi/ economic freedom.Wasaalam,
Hivi ushawahi enda sehemu kwa rafiki yako,ndugu yako kusalimiaa etc.
Chakula kimepikwa na muda wa kula umewadia lakin mnaambiwa msubjri Hadi mwenye mji afike ndipo mle kwa pamoja.
Sasaa fikiria ulikuwa umeenda tangia asubuhi sasa msosi umepikwa wa jioni unatakiwa ule uende zako lakini huwezi kula Hadi mwenye mji arudi, ukiaga kuondoka unaambiwa subiri kidogo ndo anakaribia tule kwa pamoja.
Anyway, Kwann ukalishe watu njaa kisa kumsubiri mme/mke arudi toka safarini au kazini, Kwann asitengewe msosi wake pemben akija ale kivyake wakati huo wengine ndiyo mda wenu wa kulala lakin inakubidi usubirie.
Kwelii kabisa mie nikienda tembeleaa ndugu au rafiki nahakikisha ninahela ya nauli kabisa mambo nikiona siyo nageuza haraka sana, utasikia tu mie kesho naondokaMimi mambo ya kwenda Kwa watu( kuwa mgeni) hovyo nilishayakataa kabisa . Mara nyingi mimi nikienda safari huwa nafikia guest hata 5000 na kahela Ka msosi . Maisha ni tight kwahiyo watu Wana weka bugeti Kali ya msosi . Mimi nakushauri ukiwa unaenda safarini au kuwa mgeni sehemu andaa na bajeti yako mapema kabisa. Chakula kikiwepo au kisiwepo uwe na ela ya kwenda Kwa mama ntilie. Ukiona huna pesa bakia kijijini huko huko misosi ni mingi halafu bure
Kabisa ila wengine wanasema ndo ustaarabu kisa mtafutaji hajafikaTabia za kifukara na uchoyo....
Damn true [emoji28]Umaskini tu [emoji28] hamna kingine
Huwezi Baki Kijijin muda wotee assume umepata ajira town ila kwa kufikia inabidi ufikie kwa mtu kwanza later on mambo yakikaa uzuri utafute kwakoUkiona huna pesa bakia kijijini huko huko misosi ni mingi halafu bure
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]