The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
- Thread starter
- #41
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ashindwe kabisaaaAisee wewe hio ni familia yako tu, usitujumuishe watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ashindwe kabisaaaAisee wewe hio ni familia yako tu, usitujumuishe watanzania
[emoji23][emoji23][emoji23] unautani na ndugu zetu wananchiUkute anayesubiriwa ni mzee mpili bado anacheza bao maskani.
Hio ndo best option tu iliyopovipi anae subiriwa akipata ajari akakimbizwa hospital????
Me binafsi sipendi mambo ya kutembelea watu.vinginevo ntakua na akiba yangu,mkizingua nakula mgahawani
Ahahaa hapo utakuwa umekomoaa sana eti Siri masaa yakiwa yameenda[emoji28][emoji28]Dawa ni kuingia gengeni,gonga plate Moja rudii,Omba kulala,wakikuamsha unawambia hujisikii kulaa au unawajibu hulagi masaa yakiwa yameenda[emoji1787].
Asiyekuwepo awekewe pemben waliyopo wafurahie msosiHahahaha.... Utamaduni wa uvumilivu.Kwamba ukivumilia mpaka mwisho ndo utakula,Ukishindwa kalale lakini hautaamshwa chakula kikipakuliwa[emoji1787][emoji28] .Wao wanasema hiyo ni kutokana na uhaba wa chakula ukilinganisha na idadi ya watu waliopo,
Huo ustaarabu familia zingine haupoHata siyo tabia nzuri watu wale asiyekuwepo awekewe atakikuta bana, yaani tushinde njaa sababu tunamsubiri mtu aah
Point, ukifika usionekane njaaa njaaa ikibidi unawaletea na cereals juice mbili tatu kuonesha uko fitiKijana jitahidi tafuta uhuru wa kiuchumi/ economic freedom.
Unatakiwa inaenda kwa mtu ukiwa umeshiba au ukikalishwa njaa wahi mgahawani/restaurant au dukani kwa mangi, pata chochote
Yes; ukienda na zawadi utakarimiwa sana.Point, ukifika usionekane njaaa njaaa ikibidi unawaletea na cereals juice mbili tatu kuonesha uko fiti
Umaskini wa kiwango cha juu kabisa huu.Sasa utakulaje na mwenye mji Bado hajala?
Mapaja ya kuku,kidari na firigisi ni vya baba.Watu wengine wamepevuka katika uchoyo,uroho na ulafi.Libaba zima tangu limezaliwa limekula vingapi vinono hadi lililie finyango za nyama na kupata upendeleo kama mgonjwa?😝😝😝😝😝Ila yote hiyo ni roho mbaya na roho ya kimasikini sana halaf unakuta watu wa dizain hiyo huwaga ni wachoyo na viroho mbaya sasa kwann kama haupo usitengewe cha kwako unataka kushindisha watu na njaa eti wakusubir wewe...hiyo ni roho mbaya ya kuhusudu chakula waiiii...ningempata huyo ndugu wa hvo angejuta kwa namna ningemlipua kwa kichambo
Ni mauchoyo tu mkuuMapaja ya kuku,kidari na firigisi ni vya baba.Watu wengine wamepevuka katika uchoyo,uroho na ulafi.Libaba zima tangu limezaliwa limekula vingapi vinono hadi lililie finyango za nyama na kupata upendeleo kama mgonjwa?😝😝😝😝😝
Vitu vizurivizuri na vinono wanakula watoto na mama yao nyumbani.Baba ninapaswa kujiongezea hukohuko kazini kwa kula hata mapera ili nikomaze fizi.Ni mauchoyo tu mkuu
Kweli mkuuVitu vizurivizuri na vinono wanakula watoto na mama yao nyumbani.Baba ninapaswa kujiongezea hukohuko kazini kwa kula hata mapera ili nikomaze fizi.
Mapaja ya kuku,kidari na firigisi ni vya baba.Watu wengine wamepevuka katika uchoyo,uroho na ulafi.Libaba zima tangu limezaliwa limekula vingapi vinono hadi lililie finyango za nyama na kupata upendeleo kama mgonjwa?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Ndiyo mkuuu badoHivi kuna watu chakula kwao bado ni Big asset hadi karne hii ya 21?
[emoji28][emoji28][emoji28]sio kwa jamii zetuYan tena baba na mama wanatakiwa wale miguu vipapatio wawape watoto nafasi waenjoy wao walishakulaga sana waache ulafi waiiii
PatheticNdiyo mkuuu bado
MENU YA MIMI BABA KWA SIKU.Yan tena baba na mama wanatakiwa wale miguu vipapatio wawape watoto nafasi waenjoy wao walishakulaga sana waache ulafi waiiii
MENU YA MIMI BABA KWA SIKU.
Asubuhi-Chai ya rangi kwa matembele.
Mchana-Kachumbali na viazi vitamu vya kuchemshwa.
Jioni-napunga upepo huku nakula mbuguswa au makewe.
Usiku-Unapita hola au uji wa mihogo kwa bagia mbili.