The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
- Thread starter
-
- #141
Hivi mkuuu kweli watu wateseke na njaa kisa ubaba na umama??kwa hyo wewe ulikuwa unakula kabla ya baba yako kula?
Basi wewe utakuwa kizazi cha akina junior.
Kuzaliwa 2000+.
Sisi watoto wa 1990 hatuwezi kushangaa haya
Nimecheka kwa sauti hio sentesi ya mwisho ukizingatia mi ni wa miaka ya 80 huko,na huo upumbavu aliokuwa anaoufanya babako mi sikuwahi kuuona popotekwa hyo wewe ulikuwa unakula kabla ya baba yako kula?
Basi wewe utakuwa kizazi cha akina junior.
Kuzaliwa 2000+.
Sisi watoto wa 1990 hatuwezi kushangaa haya
inawezekana ulikuwa hauna akili .Nimecheka kwa sauti hio sentesi ya mwisho ukizingatia mi ni wa miaka ya 80 huko,na huo upumbavu aliokuwa anaoufanya babako mi sikuwahi kuuona popote
Kuna stage utotoni mwako utakuwa ulirukaHivi mkuuu kweli watu wateseke na njaa kisa ubaba na umama??
Yule jamaa nimemshangaa , Yuko firm kusupport watu wapigwe stop kusubiriaa mzembe mmoja arudi
Uombe wapi chele linachambuliwa saa tatu usiku afu wapo confortable tu..Ungeomba chako ule mapemaa[emoji1][emoji1]
Huyo baba yako alikuwa mshamba sana, kwahiyo watoto mnakaa na njaa mpaka mnasinzia alikuwa anawatesa sana aiseekwa hyo wewe ulikuwa unakula kabla ya baba yako kula?
Basi wewe utakuwa kizazi cha akina junior.
Kuzaliwa 2000+.
Sisi watoto wa 1990 hatuwezi kushangaa haya
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo baba yako alikuwa mshamba sana, kwahiyo watoto mnakaa na njaa mpaka mnasinzia alikuwa anawatesa sana aisee
Utakosana na wenyeji wako ohoooo[emoji1]Upambavu kama huu huwa siupendi kabisa, watu tushazoea kwamba mtu akichelewa chelewa kupakua tunaingia wenyewe kwenye chungu
Inabidi ule mapeema mkahawaniUombe wapi chele linachambuliwa saa tatu usiku afu wapo confortable tu..
Hakuna namnaa[emoji23][emoji23]Hahahahhaahaha aisee tumcheke tu maana anatia hadi huruma
Labda ni kwao tuNimecheka kwa sauti hio sentesi ya mwisho ukizingatia mi ni wa miaka ya 80 huko,na huo upumbavu aliokuwa anaoufanya babako mi sikuwahi kuuona popote
Hapanaa mkuu km Ipi hiyooKuna stage utotoni mwako utakuwa uliruka
Baba yangu hajakulia kwenye njaa kali km babako na wala hakuwahi kutuletea izo itikadi za kichoyoinawezekana ulikuwa hauna akili .
Kama mama yako Bado yupo muulize
Ungepitia utoto ungejua hayaHapanaa mkuu km Ipi hiyoo
Inawe utakuwa umesahau muulize mama yako .NI SAHIHI watoto kula chakula kabla baba hajala?Baba yangu hajakulia kwenye njaa kali km babako na wala hakuwahi kutuletea izo itikadi za kichoyo
Baba yenu alikuwa anawaambia mle kabla yake?Huyo baba yako alikuwa mshamba sana, kwahiyo watoto mnakaa na njaa mpaka mnasinzia alikuwa anawatesa sana aisee