Ushawahi kukatazwa kula chakula ugenini Hadi baba/mama mwenye mji afike?

Ushawahi kukatazwa kula chakula ugenini Hadi baba/mama mwenye mji afike?

Ila yote hiyo ni roho mbaya na roho ya kimasikini sana halaf unakuta watu wa dizain hiyo huwaga ni wachoyo na viroho mbaya sasa kwann kama haupo usitengewe cha kwako unataka kushindisha watu na njaa eti wakusubir wewe...hiyo ni roho mbaya ya kuhusudu chakula waiiii...ningempata huyo ndugu wa hvo angejuta kwa namna ningemlipua kwa kichambo
Kwa nini usitoke nje ukanunua chakula ukala mpaka upange kumchamba. Fuata utaratibu kijana utafukuzwa urudi katavi oohooo
 
Inategemea wewe ni jinsia gani?Mimi ni mwanaume hivyo siwezi kwenda nyumba ya mtu kama Baba mwenye nyumba hayupo.
Okay sawa mkuu, kwahiyo hata kwenda kumsalimia ndugu Yako Hadi awepo baba mwenye nyumba, vp kama ukaenda kwa aunty yako ,mdogo wake na baba yako???
 
Okay sawa mkuu, kwahiyo hata kwenda kumsalimia ndugu Yako Hadi awepo baba mwenye nyumba, vp kama ukaenda kwa aunty yako ,mdogo wake na baba yako???
Kwenda kusalimia familia yako kuna utaratibu tofauti kwani upo nyumbani nje ya nyumbani.Kwenda kwenye ugeni wa watu baki nako kuna taratibu zake
 
Kwa nini usitoke nje ukanunua chakula ukala mpaka upange kumchamba. Fuata utaratibu kijana utafukuzwa urudi katavi oohooo

Hahahaha wale wale wa kuhusudu chakula polee sana mkuu kwanza chakula ni kitu cha kawaida kuliko kawaida yenyewe sema ushamba ulafi kiroho papo ndo kinawatesa mnaabudu vyakula poleni sana
 
Asilimia kubwa watanzania ndivyo tulivyo.hauwezi kula kabla ya mtafutaji hajala.
hata kipindi nipo home ulikuwa hauwezi kula kabla ya baba hajarudi.labda ukadokoe jikoni kwenye sufuria lakini chakula kikishatengwa mezani haugusi

Duuh labda kwenu mkuu na ni wachache mnaofanya hivyo, binafsi sijawahi kukutana na hiyo situation.

Kitu kikubwa ambacho huwa napata tabu ni muda wa kula, nishazoea Breakfast saa 3 Lunch isizidi saa nane na dinner saa mbili usiku....Shida inakuja unaenda sehemu Breakfast saa 5 lunch saa 9 na dinner saa 4 huwa naishia kufunga tu
 
Hahahaha wale wale wa kuhusudu chakula polee sana mkuu kwanza chakula ni kitu cha kawaida kuliko kawaida yenyewe sema ushamba ulafi kiroho papo ndo kinawatesa mnaabudu vyakula poleni sana
Nisaidie kumjibu na huyu Tui
 
Kwenda kusalimia familia yako kuna utaratibu tofauti kwani upo nyumbani nje ya nyumbani.Kwenda kwenye ugeni wa watu baki nako kuna taratibu zake
Ndio Tatizo la watu mliopanda magari ya njano mnajikutaga ustaarabu mwiliingii
 
Duuh labda kwenu mkuu na ni wachache mnaofanya hivyo, binafsi sijawahi kukutana na hiyo situation.


Kitu kikubwa ambacho huwa napata tabu ni muda wa kula, nishazoea Breakfast saa 3 Lunch isizidi saa nane na dinner saa mbili usiku....Shida inakuja unaenda sehemu Breakfast saa 5 lunch saa 9 na dinner saa 4 huwa naishia kufunga tu
[emoji28][emoji28]

When in Rome live like Romans do
 
Hebu kuwa na pesa ndefu halafu wajue, ujaribu kwenda tena uje utupe mrejesho
Sawaa mkuuu,kwamba nikiwa na Hela sikalishwi kusubiri mtu??

Somehow it makes sense [emoji848]
 
Hahahahaha msamehe bure mkuu anaonesha wazi anavyohusudu chakula sio kosa lake hakuzoeshwa kuwa chakula ni kitu cha kawaida mno
Mbona mimi silalamikii chakula.Nasema msiwe mnaenda kwa watu bila taarifa.Wenye nyumba wakiwa hawapo kwao mnafuata nini?
Ndio maana mnashindishwa na njaa.
 
Ila ukiwa na makazi na kama wewe ndo mwenye nyumba naamaanisha ndo baba au mama unatakiwa uwe strait kwa kuweka uwazi na uhuru kwa waliopo na hata wageni kwamba jaman chakula kikiwepo kuleni habar za kusubir sijui nani aje ndo kiliwe sio mpango na hata mgeni akija kama chakula kipo apewe na kama kakuta kilishaisha basi apewe chochote kilichopo hata chai huo ndo uungwana sio kuleta masharti kama ya waganga sio mpango na ukifanya hvo jua kwamba hata watoto unaowalea watachukua hiyo na wakiwa na kwao watafanya hvo hvo...ila sasa kuna watu maisha yao ni chakula yan wanaabudu chakula hadi huruma ndio utawakuta na masharti ya kijingajinga kama hayo
Mzee wetu alikuwa hivyo hvyo yaani mambo ya kula hayamchukulii mda
 
Mbona mimi silalamikii chakula.Nasema msiwe mnaenda kwa watu bila taarifa.Wenye nyumba wakiwa hawapo kwao mnafuata nini?
Ndio maana mnashindishwa na njaa.

The point is kuona chakula kama ni kitu cha kawaida sio lazima kila anakuja kwangu atoe taarifa labda kapata dharura na sehemu ya kusaidika kaona aje kwangu akifika apewe chochote kilichopo sio eti lazima mwenye nyumba awepo huo ni ushamba wa kiwango cha lami mkuu...wat is food come on ujue nashangaa sana au ni vile nililelewa mazingira ya kwetu hatujawah kupapatikia chakula kwa kweli namshukuru Mungu sana ktk hili...ne you need Jesus[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ptyuuuuuuu
 
Back
Top Bottom