Aisee hii imekumbusha mbali,around mwaka 2001 niliendaga kwa ndugu yangu, alikua vzur tu kiuchumi,ilkua ni 3 days visit,nafika leo, kesho nafanya yangu, keshokutwa nasepa, ilkua mara yangu ya kwanza kwenda kwake baada ya kulalamika sana kua nafika dsm ila sijawahi mtafuta, nikaona isiwe tabu,ngoja nitoe lawana,aisee NILKOMA, Nimefka jion, msos umeiva eti anasubiriwa baba afike ndo aanze yeye kupakua then wengine wafwate..in descending order..akaja saa 4 usku..nikala sikushiba, baada ya hapo kesho yake nimemalza mishe zangu mjin nikala nikarud nikalala kabsa. Next day nikasepa..sijawahi rudi ile nyumba hadi leo. Na imenisaidia,kwetu chakula kikiwa tayar bi mkubwa alkua anasema kila ale kwa muda wake..ilkua lazima ule, kama haupo utatengewa msos wako..Sasa now nina familia, nilitoa ORDER, chakula kikiiva na kimefika mezani watu wale watakavyo..nisisubiriwe kwa lolote lile. Sitak ile bad experience ninayoikumbuka had leo imkute mwingine tena kwangu...Big No