Hii ilinitokea kati ya mwaka wangu wa 2 na wa 3 wa chuo kikuu. Nilifanya kibarua cha kuhudumu kwenye mgahawa kila nikitoka chuo ili kujikimu na mahitaji yangu ya chuo, Pesa ilikua ngumu sana.
Nilijiskia aibu ila ilibidi nifanye kile nilichokifanya ili niweze kuishi. Kuna muda nilikua nakusanya chakula cha wateja walichobakiza kisha ningekila bila watu kuniona. Boss hakua rafiki sana hivyo alinipatia msosi mara mojamoja sana akijiskia - hizo zilikua siku nzuri
Sijawahi kuwa maskini kiasi kile tena!
Nilijiskia aibu ila ilibidi nifanye kile nilichokifanya ili niweze kuishi. Kuna muda nilikua nakusanya chakula cha wateja walichobakiza kisha ningekila bila watu kuniona. Boss hakua rafiki sana hivyo alinipatia msosi mara mojamoja sana akijiskia - hizo zilikua siku nzuri
Sijawahi kuwa maskini kiasi kile tena!