Ushawahi kumkimbia mwanamke guest?

Ushawahi kumkimbia mwanamke guest?

Upo naye gest mara inaingia sms kwake WASHA LOCATION NIONE ULIPO, anakwambia baby samahani huyu ni mume wangu alikua course sijawai kukwambia nahisi amerudi ghafla.. hapo hukiimbii tu na ukuta wa gest unaruka maana Hadi uende getini ni mbali sana..

Ukizubaa unashenyentwa wewe
 
Nilikuota demu pale Kagame hotel kumbe demu Bana huwa ana matatizo ya kuzimia akikutana na mwanaume halafu Ile ilikuwa pi's ya kwenda umeumbika tumeingia room Ile kuanza Romans tu Naona mtoto kalegea mwili mzima kazima nikashikwa na butwaa nikajua kesi hii sasa sitasahau hiyo siku nyege zote ziliisha alizinduka baada ya nusu kumuuliza nini shida anasema huwa inamtokea hiyo akikutana na mwanaume
 
Back
Top Bottom