Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Ndio bibi wakizungu kaja kunitoa kimasomasoumepona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio bibi wakizungu kaja kunitoa kimasomasoumepona?
Inaelekea upo smartYes wengine Kulala Na wanaume ovyo vimiminika vya wanaume tofaut tofaut vinamwagiwa umo mazingira lazima yaharibike sababu haujambiwa kuingiliwa Na kila mtu
Ahahahaha dogo ushaanza wenge wewe sio ahahahnasikia kijana wako siku hizi nipolisi
Ahahah ulijua unamkomesha kumbe umejikomesha ahahNiliwahi okota kademu fulani maeneo ya Nyerere square,kalionekana kama kakienyeji hivi tukasemezana fresh tukauma boda hao Hadi makole(lodge). Kufika pale anataka chake kwanza nikamwambia kwani huniamini akasema nataka uhakika wa changu Kwanza.
Kwa hasira za kimasai na kiburi Cha kihehe nikamwambia chukua nusu ya Hela tuliyokubaliana halafu sepa alivyoondoka nikajikuta najuta.
Hasira hasara.😂😂😂😂
Nakusanua hii wengi hawaijui ila ngoja niwasanueMwendo wa ngiri mkia juu
😂😂😂😂Daah! Umenikumbusha kitambo sana , Kipindi damu inakwenda kasi "23" nlishawahi kuchukua demu, Nkaingia nae guest halafu mfukoni nikawa na Elf10 iliyotengana vipande viwili...😆😆
Hilo soo lake nilipopata upenyo tu, Nilipepea kama kipepe 💨🏃🏿➡️
Nilijilaumu sanaAhahah ulijua unamkomesha kumbe umejikomesha ahah
Ahahha ungedharilika kijanaDaah! Umenikumbusha kitambo sana , Kipindi damu inakwenda kasi "23" nlishawahi kuchukua demu, Nkaingia nae guest halafu mfukoni nikawa na Elf10 iliyotengana vipande viwili...😆😆
Hilo soo lake nilipopata upenyo tu, Nilipepea kama kipepe 💨🏃🏿➡️
Wanatia dawaNakusanua hii wengi hawaijui ila ngoja niwasanue
Wanawake wengi hawapendi kwenda kupigiwa mikia ya tai kwenye room zao sio wote ila wapo baadhi hua wanatoa lock unakaribishwa room ukipige mashine, nakusanua ukifika room ya Mwanamke anaeishi kighetto ghetto alone alone japo kua ni very risk sana ila wazee wa kujilipua hua wanaibuka ni marufuku kutia mdomoni sampuli hizi hata akiwa ameiweka kwenye friji au vitenga vya jikoni usiile hata kuiosha ukikuta hizi sampuli hata km akikumenyea usile karoti, tango, hoho, bilinganyi, papai kataa mara moja kula hivyo ni vitendea kazi vyake kwa shughuli maalumu labda ukanunue vingine sio hivyo ulivyovikuta
Duh pole sana jombaaNilijilaumu sana
😂Unalijua shombo la samaki 😀
Ahah ase watu mna misimamo tattoNiliona kachora tattoo
Sitaisahau ile siku 😆😆Ahahha ungedharilika kijana
Ila si ulipiga shoo?Sitaisahau ile siku 😆😆
Jibu unalo ila vina kazi nyingi nyingineWanatia dawa
100%✓Nacho jua mm harufu kwa mwanamke inatokana na kuruhusu shahawa kuingia ndani kwa wanaume tofauti yaani mfano
Leo kamwagiwa na j kesho anamwagiwa na yusuph yaani ivyo na ukifanya ivyo unatakiwa kujisafisha na deto tena vizuri kabla ata azijaoza shahawa
Ahahh mzee unamafumbo kwamba unatka kusemaa.....Jibu unalo ila vina kazi nyingi nyingine
Yahh mkuu kosa nililofanya niliiweka ile 10 mezani..Ila si ulipiga shoo?