Ushawahi kumlipia mchepuko wako kodi ya nyumba?

Ushawahi kumlipia mchepuko wako kodi ya nyumba?

Kaka pole hutokea moyo ukizama


Kemea nafsi yako


Hiyo hela heri umpe mkeo akafanye hata shopping...hebu amka asubuhi mpe mkeo 2,000,000 akiuliza za nini mwambie za matumizi yako binafsi uone utakavyopalilia penzi


Wanawake huwa na mwanaume anayejua hapindui.....atakachoomba atapata na mbususu hakupi!!! Shtuka!!!!!


Wanaume wenzio watakupiga madongo tu hapa wakati wanahonga hadi nyumba za urithi!!!!
 
Acha ujinga wewe!!! Tulizana acha KUKURUPUKA.
Kuna mwanamke hapa namfatilia ni almost mwaka sasa , hajawahi kunipa game japo huwa tunatoka outing mara nyingi lkn nikimgusia mambo ya sex tunagombana hata kusikia anasema mpaka ndoa hataki kutoa mzigo ila nimekuwa msaada kwake kwa mambo mengi lkn mishen yangu ya kusex nae haijatimia,

Na kila nikitaka kuachana nae naona ananipotezea mda najikuta nimemchek na kumsaidia kitu fulan yeye hana zile papara sna na mimi but akiwa na shida atanichek, uzur nishajua ana mshikaji wake yupo nae kitambo na hilo alisema mwenyewe but Yaan tupo tu Yaan sametimes nakuwa sielew kwann tunakuwa pamoja

Now nilimwambia huko unapokaa itabid uhame maana yupo Arusha ni mbali kidogo na mjin nataka nimpagie nyumba mjin na yy kakubali na kasema ukifanya hivo atafurah na ntakuwa naenda kwake pia ..

Sasa just najiuliza hili wazo limekujaje kichwan ivi inawezekana kweli mtu ukatoa almost 2mil kumpangia mwanamke ambaye sio future yako nyumba kwa lengo tu la kutaka kufanya nae sex?

Huko napo elekea nahis ntafanya hivo nafsi ya kizinifu inaniforce hivo

Hebu tushare experiences km ushawahi kujitoa katika hilo na huku ukirefer una familia ndani inakutegea,

Huwa picha ya huyu mwanamke inaniijia kichwan jins alivyo mzur na alivyo umbika juz tu hapa nmeenda bank nikarudia njian nilitaka kwenda kutoa hizo pesa za kodi but nikamwaza mama watoto wangu na kids wangu nikasema sibora tu nikawanunulia wao vitu nikaongeza upendo kwao

But kuna nguvu kubwa sana ya mvutano baina ya nafsi yangu na napoelekea Mchepuko utashinda kodi naenda kutoa jmn daaa.

Nina akili zangu timamu tu na nahis Man wengi inawatoea hii kitu kutoa pesa na huduma kwajil ya papunch tu na ubaya ni pale unapoifukuzia na ushatoa garama zako nyingi na hujapata kuacha inakuwa ngum maana utakuwa umekula hasara.
 
Anatafuta location mwenyewe,ya kulala....HOTEL YA LAKI TANO...KWA HIYO MKUU,ANAENDA KULALA MWENYEWE?AU UNALALA NAE,KAMA DADA YAKO?AU SIJAKUELEWA?

Maranyingi amefanya hivo huwa nachomoa siendi nikimpa location mimi hotel za kawaida hatak
 
Huwezi amini. Unaweza kuta kuna boya anamla kilaini tu ila kwako anakaza pengine kwa jinsi unavyomuona wa matawi.

Nikweli mkuu kuna jamaa yangu aliniambia huyu demu unaye muhangaikia ameshaenda magetton kwa jamaa nikashangaa sana kwangu hajawahi kuja na anasema nisimle mpaka nimwoe mbona kaenda kwa mshikaj kumuuliza akasema ndio ashaendaga ila hawez kudate na huyo jamaa
 
Mkuu.. hutapata kitu hapo[emoji23]
Nakuambia kama mwanamke. Na ukipata ni kwa masharti. Yaani nikishajua nimekusumbua sana mpk unakata tamaa najua fika hakuna tena mapenz so utatumia kila effort unile kisha usepe. Kwahiyo hatuwezi kukubali fedheha. Kywa makini...
 
Sijasoma maelezo yote lakini NENDA KAOMBEWE,unakaa na mtu mwaka mzima bila kula tunda?!! Ni dadako? Bora ungekuwa wewe ndio humtaki,sa mkikaa hua mnaongea nini?
 
Sex ulianza ukiwa na miaka mingapi???
Mpaka umeoa ulishatembea na wanawake wangapi???

Nachokiona mimi ni mshamba wa wanawake kaweka post yake tu comment au basi mtu aliyelogwa.Kifupi sio mtu timamu hapa

Mkuu nimeshaburuza wengi sana ila kwa huyo kila mbinu inakataa nafikir sio kila mwanamke anaeza kuingia kwny taget zako kirahis wengine unaliwa pesa na hupati
 
Kosa kubwa la kwanza ulilolifanya, ni kuanza ku spend hela nyingi kwa mwanamke kabla hujamla. Kwahiyo sasa unaona shida kuachana nae maana unawaza hela zako nyingi ulizotumia zitakua zimeenda bure! Na huyo mwanamke analijua hilo, ndio maana anaendelea kukuvuta ili aendelee kukutumia zaidi. Na wewe unadhani kuwa ukiendelea kupandisha dau ndio utampata! Ila amin amin nakuambia, huyu mwanamke hutakaa umle labda umuwekee madawa ya kulevya umbake!!! Hii ni kwasababu yeye mwenyewe anajua kabisa kwamba ukishamla utakata mrija wa hela na wakati yeye bado hajamalizana na wewe.

Kosa la pili, kila siku nasema humu. Unapoanzisha mahusiano na mwanamke, hasa kama huyo mwanamke ni mzuri, una kipindi kifupi sana cha kuhakikisha umemla! Mimi hua nasema isizidi wiki mbili, maana ikishazidi hapo kumbuka mwanamke mzuri ana wanaume wengi wanaomfukuzia kwa mbinu mbalimbali. Kadri muda unavyopita bila kumla, ndivyo mvuto wako kwake unavyoenda ukipungua na mwisho anakua hana tena mzuka na wewe. Anabaki kukuchuna tu.

Mwisho kabisa nikushauri tu. Hakuna papuchi yenye thamani kubwa kiasi icho ambacho unataka kutoa. Hata ikitokea ukaja kumla, utajilaumu sana kwanini ulitumie hela zako nyingi wakati hautakuta maajabu yoyote.

Kweli mkuu nmeshatupa pesa nyingi hapo ila naishia kuhag tu hata kwake naishia mlangon nahis na kuna jamaa ameshakula maana alienda kwake sasa nashindwa kuelewa ninavyomjali hivo na kumwomba papunch anapotezea tena anakua mkali ila vitu vyangu anataka
 
Kuna mwanamke hapa namfatilia ni almost mwaka sasa , hajawahi kunipa game japo huwa tunatoka outing mara nyingi lkn nikimgusia mambo ya sex tunagombana hata kusikia anasema mpaka ndoa hataki kutoa mzigo ila nimekuwa msaada kwake kwa mambo mengi lkn mishen yangu ya kusex nae haijatimia,

Na kila nikitaka kuachana nae naona ananipotezea mda najikuta nimemchek na kumsaidia kitu fulan yeye hana zile papara sna na mimi but akiwa na shida atanichek, uzur nishajua ana mshikaji wake yupo nae kitambo na hilo alisema mwenyewe but Yaan tupo tu Yaan sametimes nakuwa sielew kwann tunakuwa pamoja

Now nilimwambia huko unapokaa itabid uhame maana yupo Arusha ni mbali kidogo na mjin nataka nimpagie nyumba mjin na yy kakubali na kasema ukifanya hivo atafurah na ntakuwa naenda kwake pia ..

Sasa just najiuliza hili wazo limekujaje kichwan ivi inawezekana kweli mtu ukatoa almost 2mil kumpangia mwanamke ambaye sio future yako nyumba kwa lengo tu la kutaka kufanya nae sex?

Huko napo elekea nahis ntafanya hivo nafsi ya kizinifu inaniforce hivo

Hebu tushare experiences km ushawahi kujitoa katika hilo na huku ukirefer una familia ndani inakutegea,

Huwa picha ya huyu mwanamke inaniijia kichwan jins alivyo mzur na alivyo umbika juz tu hapa nmeenda bank nikarudia njian nilitaka kwenda kutoa hizo pesa za kodi but nikamwaza mama watoto wangu na kids wangu nikasema sibora tu nikawanunulia wao vitu nikaongeza upendo kwao

But kuna nguvu kubwa sana ya mvutano baina ya nafsi yangu na napoelekea Mchepuko utashinda kodi naenda kutoa jmn daaa.

Nina akili zangu timamu tu na nahis Man wengi inawatoea hii kitu kutoa pesa na huduma kwajil ya papunch tu na ubaya ni pale unapoifukuzia na ushatoa garama zako nyingi na hujapata kuacha inakuwa ngum maana utakuwa umekula hasara.
Pole bro. unaenda kufa kabla ya siku si zako.yaani unaendeshwa na nguvu zake za kichawi.Kwa sababu umesema unafamilia nenda kamshirikishe mkeo atakusaidia mkuu.otherwise jihadhari pia maana unaweza uza hata asets zako
 
Mkuu unaenda kuharibu maisha yako kwa kitu kidogo ambacho unaweza kukiepuka.....

Hiyo nafsi iliyokusitisha usifanye muamala endelea kuisikiliza.

Huyo dada hana cha kukupa zaidi ya alivyonavyo mkeo.

Asante kwa ushaur mkuu
 
Kaka pole hutokea moyo ukizama


Kemea nafsi yako


Hiyo hela heri umpe mkeo akafanye hata shopping...hebu amka asubuhi mpe mkeo 2,000,000 akiuliza za nini mwambie za matumizi yako binafsi uone utakavyopalilia penzi


Wanawake huwa na mwanaume anayejua hapindui.....atakachoomba atapata na mbususu hakupi!!! Shtuka!!!!!


Wanaume wenzio watakupiga madongo tu hapa wakati wanahonga hadi nyumba za urithi!!!!

Asante sana naona wengi wanakwepa na kunijaji wakati ndio wa kwanza kuhonga simu,gar na kuwalipia kodi michepuko yao,

Bora kutulizana nilichokosea ni kutofanya ibada ndio maana nafsi za tamaa na uzinz zinakuja
 
Mkuu tumia akili kidogo.Umeoa na yeye ana mtu wake japo yuko mbali. Acha. Focus kwenye furure na familia yako. Kama hayuko tayari umle mpaka ndoa na umesema una mke huoni unatudanganya?

Ni ndoa gani hiyo wakati nyote mna wapenzi wenu na hamjaachana tena na wewe una mtoto? Usidanganyike na uzuri wa mtu wa pembeni wakati una wako acha baki njia kuu jenga mji wako ukiwa bado kijana. Wazuri hawaishi
Labda Ni mwislam mke wa pili au hajui Kama jamaa ameoa maana wanaume mnaweza vua Pete au hamvaia au kudanganya sijaoa nataka kukuoa wewe tu
 
Kuna mwanamke hapa namfatilia ni almost mwaka sasa , hajawahi kunipa game japo huwa tunatoka outing mara nyingi lkn nikimgusia mambo ya sex tunagombana hata kusikia anasema mpaka ndoa hataki kutoa mzigo ila nimekuwa msaada kwake kwa mambo mengi lkn mishen yangu ya kusex nae haijatimia,

Na kila nikitaka kuachana nae naona ananipotezea mda najikuta nimemchek na kumsaidia kitu fulan yeye hana zile papara sna na mimi but akiwa na shida atanichek, uzur nishajua ana mshikaji wake yupo nae kitambo na hilo alisema mwenyewe but Yaan tupo tu Yaan sametimes nakuwa sielew kwann tunakuwa pamoja

Now nilimwambia huko unapokaa itabid uhame maana yupo Arusha ni mbali kidogo na mjin nataka nimpagie nyumba mjin na yy kakubali na kasema ukifanya hivo atafurah na ntakuwa naenda kwake pia ..

Sasa just najiuliza hili wazo limekujaje kichwan ivi inawezekana kweli mtu ukatoa almost 2mil kumpangia mwanamke ambaye sio future yako nyumba kwa lengo tu la kutaka kufanya nae sex?

Huko napo elekea nahis ntafanya hivo nafsi ya kizinifu inaniforce hivo

Hebu tushare experiences km ushawahi kujitoa katika hilo na huku ukirefer una familia ndani inakutegea,

Huwa picha ya huyu mwanamke inaniijia kichwan jins alivyo mzur na alivyo umbika juz tu hapa nmeenda bank nikarudia njian nilitaka kwenda kutoa hizo pesa za kodi but nikamwaza mama watoto wangu na kids wangu nikasema sibora tu nikawanunulia wao vitu nikaongeza upendo kwao

But kuna nguvu kubwa sana ya mvutano baina ya nafsi yangu na napoelekea Mchepuko utashinda kodi naenda kutoa jmn daaa.

Nina akili zangu timamu tu na nahis Man wengi inawatoea hii kitu kutoa pesa na huduma kwajil ya papunch tu na ubaya ni pale unapoifukuzia na ushatoa garama zako nyingi na hujapata kuacha inakuwa ngum maana utakuwa umekula hasara.
Kiongozi nakutakia kazi njema ya kuendelea kushika mapembe.
 
Sijasoma maelezo yote lakini NENDA KAOMBEWE,unakaa na mtu mwaka mzima bila kula tunda?!! Ni dadako? Bora ungekuwa wewe ndio humtaki,sa mkikaa hua mnaongea nini?

Sasa utambaka kama hataki yaan hayuko tayar kuvua pichu yake hata kuingia tu kwny room hatak tunakutana sehem nyingi lkn ukisema kuchukua room hataki anasema tujipe mda
 
Back
Top Bottom