Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuhalalisha, huyo demu kakuona boya tu asee.Mzee Baba nimekuelewa sana
Lakin imenitokea kwa huyu manzi tu ana anamisimamo yake binafsi ambayo kila mbinu nashindwa kumnasa kirahis but anapenda vitu vya garama sana hata outing ya kwenda kulala anataka hotel ya laki tano kwa siku huwa anatafuta location mwenyewe huwa unanin is kuahirisha tu.
But madem wengine kawaida tu sana,,huo msimamo wake ndio huwa unanifanya nimtafute marakwamara na ukizingatia nishamsaidia sana
Hao ndiyo wanafanya papuchi kupanda thamani bila sababu za Msingi!!Noma sana unamsaidia mchepuko ambaye ana mtu wake halafu no papuchi?? Umetisha.
Unaweza kuta kuna Bodaboda ndiyo anabembelezwa,akichunwa pesa yote anapelekewa msela wake wa bodaboda!!Huwezi amini. Unaweza kuta kuna boya anamla kilaini tu ila kwako anakaza pengine kwa jinsi unavyomuona wa matawi.
Siyo kila demu utakae muhonga lazima umle,ukiona kuna ugumu sana wa kupewa mgeggedo wwe potezea! na Kama ni zali lako utatafutwa tu na utapewa kiiulaini bila kuforce king!!Kuna mwanamke hapa namfatilia ni almost mwaka sasa , hajawahi kunipa game japo huwa tunatoka outing mara nyingi lkn nikimgusia mambo ya sex tunagombana hata kusikia anasema mpaka ndoa hataki kutoa mzigo ila nimekuwa msaada kwake kwa mambo mengi lkn mishen yangu ya kusex nae haijatimia,
Na kila nikitaka kuachana nae naona ananipotezea mda najikuta nimemchek na kumsaidia kitu fulan yeye hana zile papara sna na mimi but akiwa na shida atanichek, uzur nishajua ana mshikaji wake yupo nae kitambo na hilo alisema mwenyewe but Yaan tupo tu Yaan sametimes nakuwa sielew kwann tunakuwa pamoja
Now nilimwambia huko unapokaa itabid uhame maana yupo Arusha ni mbali kidogo na mjin nataka nimpagie nyumba mjin na yy kakubali na kasema ukifanya hivo atafurah na ntakuwa naenda kwake pia ..
Sasa just najiuliza hili wazo limekujaje kichwan ivi inawezekana kweli mtu ukatoa almost 2mil kumpangia mwanamke ambaye sio future yako nyumba kwa lengo tu la kutaka kufanya nae sex?
Huko napo elekea nahis ntafanya hivo nafsi ya kizinifu inaniforce hivo
Hebu tushare experiences km ushawahi kujitoa katika hilo na huku ukirefer una familia ndani inakutegea,
Huwa picha ya huyu mwanamke inaniijia kichwan jins alivyo mzur na alivyo umbika juz tu hapa nmeenda bank nikarudia njian nilitaka kwenda kutoa hizo pesa za kodi but nikamwaza mama watoto wangu na kids wangu nikasema sibora tu nikawanunulia wao vitu nikaongeza upendo kwao
But kuna nguvu kubwa sana ya mvutano baina ya nafsi yangu na napoelekea Mchepuko utashinda kodi naenda kutoa jmn daaa.
Nina akili zangu timamu tu na nahis Man wengi inawatoea hii kitu kutoa pesa na huduma kwajil ya papunch tu na ubaya ni pale unapoifukuzia na ushatoa garama zako nyingi na hujapata kuacha inakuwa ngum maana utakuwa umekula hasara.
Kuna mwanamke hapa namfatilia ni almost mwaka sasa , hajawahi kunipa game japo huwa tunatoka outing mara nyingi lkn nikimgusia mambo ya sex tunagombana hata kusikia anasema mpaka ndoa hataki kutoa mzigo ila nimekuwa msaada kwake kwa mambo mengi lkn mishen yangu ya kusex nae haijatimia,
Na kila nikitaka kuachana nae naona ananipotezea mda najikuta nimemchek na kumsaidia kitu fulan yeye hana zile papara sna na mimi but akiwa na shida atanichek, uzur nishajua ana mshikaji wake yupo nae kitambo na hilo alisema mwenyewe but Yaan tupo tu Yaan sametimes nakuwa sielew kwann tunakuwa pamoja
Now nilimwambia huko unapokaa itabid uhame maana yupo Arusha ni mbali kidogo na mjin nataka nimpagie nyumba mjin na yy kakubali na kasema ukifanya hivo atafurah na ntakuwa naenda kwake pia ..
Sasa just najiuliza hili wazo limekujaje kichwan ivi inawezekana kweli mtu ukatoa almost 2mil kumpangia mwanamke ambaye sio future yako nyumba kwa lengo tu la kutaka kufanya nae sex?
Huko napo elekea nahis ntafanya hivo nafsi ya kizinifu inaniforce hivo
Hebu tushare experiences km ushawahi kujitoa katika hilo na huku ukirefer una familia ndani inakutegea,
Huwa picha ya huyu mwanamke inaniijia kichwan jins alivyo mzur na alivyo umbika juz tu hapa nmeenda bank nikarudia njian nilitaka kwenda kutoa hizo pesa za kodi but nikamwaza mama watoto wangu na kids wangu nikasema sibora tu nikawanunulia wao vitu nikaongeza upendo kwao
But kuna nguvu kubwa sana ya mvutano baina ya nafsi yangu na napoelekea Mchepuko utashinda kodi naenda kutoa jmn daaa.
Nina akili zangu timamu tu na nahis Man wengi inawatoea hii kitu kutoa pesa na huduma kwajil ya papunch tu na ubaya ni pale unapoifukuzia na ushatoa garama zako nyingi na hujapata kuacha inakuwa ngum maana utakuwa umekula hasara.
Halaf kamu-overate kwenye mindset yake ilihal huyo demu anapuu chooni choo kinajaa harufu, anakojoa na sometime mkojo unamchrizika ndani ya kyupi, analeta pozi kwa vile kapata wa kumfanyia pozi ila kiukwel mademu waliumbwa kwa ajili yetu tuwale, hizo zingine huwa mbwembwe tu zisizo na mshaiko, jamaa akijiongeza kidogo kwa kutuliza akili anamkula simple tu bila kutumia garama zote hizoMkuu unaenda kuharibu maisha yako kwa kitu kidogo ambacho unaweza kukiepuka.....
Hiyo nafsi iliyokusitisha usifanye muamala endelea kuisikiliza.
Huyo dada hana cha kukupa zaidi ya alivyonavyo mkeo.
Sikuhitaj maana sikutaka kupata sabb ya kubembeleza, hela yako ni ya thaman kuliko uchi ambao usha utia had ukapitiwa na usingizi
Aaaaaaaaaaaa.Sikuhitaj maana sikutaka kupata sabb ya kubembeleza, hela yako ni ya thaman kuliko uchi ambao usha utia had ukapitiwa na usingizi
Sent using Jamii Forums mobile app
PointMkuu hapo inaonesha huna upendo nae ,ni kwa ajili ya ngono ..
Tenga hata laki NNE mpeleke Magoroto huko mtoke out ,huko mtalala na utampelekea moto mpaka mbunye utabaki unaishika bila hamu yeyote ...
Usijidanganye kupangisha na kufunga ndoa na mchepuko wakati unafamilia ,utajuta ,..
Unaenda kupoteza vyote ,familia yako na huyo huyo mchepuko .!