Ushawahi kumlipia mchepuko wako kodi ya nyumba?

Kaka pole hutokea moyo ukizama


Kemea nafsi yako


Hiyo hela heri umpe mkeo akafanye hata shopping...hebu amka asubuhi mpe mkeo 2,000,000 akiuliza za nini mwambie za matumizi yako binafsi uone utakavyopalilia penzi


Wanawake huwa na mwanaume anayejua hapindui.....atakachoomba atapata na mbususu hakupi!!! Shtuka!!!!!


Wanaume wenzio watakupiga madongo tu hapa wakati wanahonga hadi nyumba za urithi!!!!
 
Acha ujinga wewe!!! Tulizana acha KUKURUPUKA.
 
Anatafuta location mwenyewe,ya kulala....HOTEL YA LAKI TANO...KWA HIYO MKUU,ANAENDA KULALA MWENYEWE?AU UNALALA NAE,KAMA DADA YAKO?AU SIJAKUELEWA?

Maranyingi amefanya hivo huwa nachomoa siendi nikimpa location mimi hotel za kawaida hatak
 
Huwezi amini. Unaweza kuta kuna boya anamla kilaini tu ila kwako anakaza pengine kwa jinsi unavyomuona wa matawi.

Nikweli mkuu kuna jamaa yangu aliniambia huyu demu unaye muhangaikia ameshaenda magetton kwa jamaa nikashangaa sana kwangu hajawahi kuja na anasema nisimle mpaka nimwoe mbona kaenda kwa mshikaj kumuuliza akasema ndio ashaendaga ila hawez kudate na huyo jamaa
 
Mkuu.. hutapata kitu hapo[emoji23]
Nakuambia kama mwanamke. Na ukipata ni kwa masharti. Yaani nikishajua nimekusumbua sana mpk unakata tamaa najua fika hakuna tena mapenz so utatumia kila effort unile kisha usepe. Kwahiyo hatuwezi kukubali fedheha. Kywa makini...
 
Sijasoma maelezo yote lakini NENDA KAOMBEWE,unakaa na mtu mwaka mzima bila kula tunda?!! Ni dadako? Bora ungekuwa wewe ndio humtaki,sa mkikaa hua mnaongea nini?
 
Sex ulianza ukiwa na miaka mingapi???
Mpaka umeoa ulishatembea na wanawake wangapi???

Nachokiona mimi ni mshamba wa wanawake kaweka post yake tu comment au basi mtu aliyelogwa.Kifupi sio mtu timamu hapa

Mkuu nimeshaburuza wengi sana ila kwa huyo kila mbinu inakataa nafikir sio kila mwanamke anaeza kuingia kwny taget zako kirahis wengine unaliwa pesa na hupati
 

Kweli mkuu nmeshatupa pesa nyingi hapo ila naishia kuhag tu hata kwake naishia mlangon nahis na kuna jamaa ameshakula maana alienda kwake sasa nashindwa kuelewa ninavyomjali hivo na kumwomba papunch anapotezea tena anakua mkali ila vitu vyangu anataka
 
Pole bro. unaenda kufa kabla ya siku si zako.yaani unaendeshwa na nguvu zake za kichawi.Kwa sababu umesema unafamilia nenda kamshirikishe mkeo atakusaidia mkuu.otherwise jihadhari pia maana unaweza uza hata asets zako
 
Mkuu unaenda kuharibu maisha yako kwa kitu kidogo ambacho unaweza kukiepuka.....

Hiyo nafsi iliyokusitisha usifanye muamala endelea kuisikiliza.

Huyo dada hana cha kukupa zaidi ya alivyonavyo mkeo.

Asante kwa ushaur mkuu
 

Asante sana naona wengi wanakwepa na kunijaji wakati ndio wa kwanza kuhonga simu,gar na kuwalipia kodi michepuko yao,

Bora kutulizana nilichokosea ni kutofanya ibada ndio maana nafsi za tamaa na uzinz zinakuja
 
Labda Ni mwislam mke wa pili au hajui Kama jamaa ameoa maana wanaume mnaweza vua Pete au hamvaia au kudanganya sijaoa nataka kukuoa wewe tu
 
Kiongozi nakutakia kazi njema ya kuendelea kushika mapembe.
 
Sijasoma maelezo yote lakini NENDA KAOMBEWE,unakaa na mtu mwaka mzima bila kula tunda?!! Ni dadako? Bora ungekuwa wewe ndio humtaki,sa mkikaa hua mnaongea nini?

Sasa utambaka kama hataki yaan hayuko tayar kuvua pichu yake hata kuingia tu kwny room hatak tunakutana sehem nyingi lkn ukisema kuchukua room hataki anasema tujipe mda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…