Ushawahi kumlipia mchepuko wako kodi ya nyumba?

Ana kusumbua kwasababu uja mla, kuwa makin ana kutajia vitu vya galama ili ukimbie na yeye hakupendi
 
Si msaidii tu natafta mbinu za kula lakin anamisimamo sana huwez kumla kirahis
Hapana wewe ndo huwez kuna mwenzako ana mla kirahisi tu tena kwenye ghetto la kawaida Sana, Mimi nilikuwa na dem kwake papo vizur sanaa lakin alikuja kwenye ghetto nikamla tena geto nilikuwa nalala chini.
 
Kuwa mtulivu Acha pupua we mpotezee mwez mzima
 
Ama shoo maatitudeee .... acha uzwazwa mkuu sasa hapo maana ya mchepuko iko wapiii.....?

Maana mimi najua ukikosa ndani ndio unakimbilia kwa mchepuko sasa wewe umekosa kwa mchepuko alafu unataka kupoteza hadi hela nyingine kwake wewe ni taga kama mataga wengine .

Na huyo hata ukimuacha lazima uumie sana kwa sababu hujamtumbukiza dudu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapo msafirishe mbali huko hakikisha unamtyomba hata kwa nguvu na hata kuwa na ujanja zaidi ya hapo unapoteza nguvu zako buree huo muda bora ukacheze nao na ujue vipaji vyao
 
Mkuu nimeshaburuza wengi sana ila kwa huyo kila mbinu inakataa nafikir sio kila mwanamke anaeza kuingia kwny taget zako kirahis wengine unaliwa pesa na hupati

Sasa km mwaka mzima unahudumiana unasema wNawake unawajua.Basi umesahau mbinu muhimu sana waargertina wana methali yao wanasema mwanamke ni km kivuli ukikifuata kinaondoka ukiondoka kinakufuata..

Umebakiza mbinu moja ya mwisho kw ahapo ulipomfikisha mwanamke ukinikabidhi si malizi mwezi na lala nae.Naanza kwa kumkataa yeye kwanza then atarudi mwenyewe nagonga na pita kushoto
 
Daah! We mkali mwanangu umemaliza kila kitu, kama maxspesho wa kelele series.
 
Ila maisha ya jf raha sana, [emoji23][emoji23] kwaio wachangiaji wote wa huu uzi mnamnanga mtoa uzi kwamba ni boya nyie hamjawahi kuhonga?? [emoji23][emoji23] eeehh mungu baba nicheke mie, najionea maajab mie wanaume wote hawa hawajawahi kuhonga wao kila mwanamke wanampata with just a blink of an eye,, hahahaaaaa maisha ya anonymous raha sanaaa. Mwaya mkaka ww ulieomba ushauri hao wanakupotosha inshort wanakuigizia yaan kwa kifupi wanakuletea story za vijiweni kwenye kahawa, fanya vile unavyoona ni sawa km una kipato kizur hiyo 2m haitokuyumbisha kivyovyote kikipato basi honga tu mwaya achana na hawa wasanii tena nakuhakikishia hao wanaokubeza ndo wahongaji wazur hadi nyumba wanatujengea yaan dont take themserious hii forum kila mjuaji snajua kutongoza anajua kupata mbunye bila kusweat nk
 
Shkh kumbe ili kundi tupo wengi tofauti ni kuwa nilikula mzigo kwa tani yangu adi school fees ya mtoto nilikuwa nalipa sema yule dada sijui wapi nilifail maana sio rahisi kwa mwanamke kubadilisha gia ghafla vile kwa jinsi responsibilities nilivozibeba, nilichogundua hawa viumbe ata uwe na hela kama bill gate kama hauko kwenye moyo wao basi ni kama unacheza reggae kwenye matupe unazidi kujichafua tu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 

Kweli mkuu kama haupo moyon kwa mwanamke hata kuchukulia serious ni km ilivyo kwa mwanaume kuna manz kila siku analikia tuwe wote lakin sina habar nae
 
Kweli mkuu kama haupo moyon kwa mwanamke hata kuchukulia serious ni km ilivyo kwa mwanaume kuna manz kila siku analikia tuwe wote lakin sina habar nae

Vipi mkuu, ni muda kidogo umepita. Vipi, ulipata ile nyumba? Na je demu ameshahamia? 😂 Pamoja na kumpangishia nyumba bado haikusaidia kupata papuchi?🤣 Tupe mrejesho mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…