Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawapenda sana wadada wa jf waliofunga pm zao hawatakigi ujingaHuu mtandao unachekesha
Unaweza mtaja bae wako uko proud nae kumbe kuna wenzako wanakuzoom tu..
Huongei na mtu leo mna beef kesho akija na id mpya unakuwa swahiba wake.
Unadate mtu mnagombana kesho akija na id mpya unazama pm yake unamtongoza upya bila kujua[emoji23]
Hana jeuri hiyo huyo dogo 😂Sio tumalize hapa hapa? Watu washuhudie
Naona kakimbia😅😅Hana jeuri hiyo huyo dogo 😂
Naomba nikukomaze jirani...Me bado mdogo jirani, hizi mambo sijaanza
Na hawezi rudi, kwanza ni domo zege atawezaje kukupangia mashahiri ya kukutoa pangoni!Naona kakimbia😅😅
Ha haaa mi simooooNa hawezi rudi, kwanza ni domo zege atawezaje kukupangia mashahiri ya kukutoa pangoni!
Na wewe umejiondoa au unasubiri baharia wa kuyajenga hapa hapa kwenye uzi? (not pm)Ha haaa mi simoooo
Nasubiri baharia ngoja nipitie commentsNa wewe umejiondoa au unasubiri baharia wa kuyajenga hapa hapa kwenye uzi? (not pm)
Vipi akija mlokole utamkubali?Nasubiri baharia ngoja nipitie comments
Kwa jinsi nilivyo Mwanaume muaminifu Africa mashariki na kati sijawahi kufikiria kuwa na tabia hizoUsihangaike we sema unataka uwe haji manara tu
Kwanza mwanaume ambae hatumii pombe mi simtaki.Vipi akija mlokole utamkubali?
Lahaula nimekukosaa 😭Kwanza mwanaume ambae hatumii pombe mi simtaki.
Kwa jinsi nilivyo Mwanaume muaminifu Africa mashariki na kati sijawahi kufikiria kuwa na tabia hizo
Nisubirie baada ya miaka miwili jiraniNaomba nikukomaze jirani...