holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Wakuu
kumekuwepo na mijadala mingi humu ya mivutano baina ya wanaokubali uwepo wa Mungu na wasioamini uwepo huo
Mungu mala zote ni mtenda miujiza,na amekuwa akifanya hivyo mala zote kwa waja wake, amekuwa akiponya magonjwa yaliyoshindikana,vipofu wanaona,viziwi wanasikia,viwete,bubu,wasio na kazi, watoto, mume,mke nk wote wamekuwa wakiuona mkono wa BWANA/ALLAH.
Tuambie mkuu, ulipokea muujiza gani kutoka kwa Mungu ukaamini uwepo wake?
KARIBUNI.
kumekuwepo na mijadala mingi humu ya mivutano baina ya wanaokubali uwepo wa Mungu na wasioamini uwepo huo
Mungu mala zote ni mtenda miujiza,na amekuwa akifanya hivyo mala zote kwa waja wake, amekuwa akiponya magonjwa yaliyoshindikana,vipofu wanaona,viziwi wanasikia,viwete,bubu,wasio na kazi, watoto, mume,mke nk wote wamekuwa wakiuona mkono wa BWANA/ALLAH.
Tuambie mkuu, ulipokea muujiza gani kutoka kwa Mungu ukaamini uwepo wake?
KARIBUNI.