Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna energy inayoonekana boss?Sawa
OK 👍kuna energy inayoonekana boss?
EBu twende kwa hoja ili tujue nan anapelea wapi,huelewi unachokiandika mkuu.
Hakuna muujiza hakuna mungu
Pekua nyuzi zangu humu- ataona hizo shuhuda. Kuna kitufe kinachoitwa search humu, kibonyeze, utazionaleta link au ushahidi wa huo ushuhuda wako vinginevyo kile ulichokiandika hapa ni takataka.
Thread hii ins majibu - ipekue: Nusuru ndoa yanguleta link au ushahidi wa huo ushuhuda wako vinginevyo kile ulichokiandika hapa ni takataka.
Soma post 298 hapa: Mambo gani umewahi kumuomba Mungu na akakujibu papo hapo?leta link au ushahidi wa huo ushuhuda wako vinginevyo kile ulichokiandika hapa ni takataka.
uliamini vipi kama ni Mungu katenda pasipo ushahidi? kwanza huyo Mungu hayupo.Soma post 298 hapa: Mambo gani umewahi kumuomba Mungu na akakujibu papo hapo?
uliamini vipi kama ni Mungu katenda pasipo ushahidi? kwanza huyo Mungu hayupo.Soma post 298 hapa: Mambo gani umewahi kumuomba Mungu na akakujibu papo hapo?
Kuna watu humu duniani hawana roho, na hao unaweza kuwatambua kwa matendo yao. Au Hujawahi kuona mtu anafanya mambo ya ajabu kabisa pasipo hofu yoyote? Either kwa kuhatarisha maisha yake au ya wenginene!uliamini vipi kama ni Mungu katenda pasipo ushahidi? kwanza huyo Mungu hayupo.
thibitisha uwepo wake acha kuleta janjajanja.Kuna watu humu duniani hawana roho, na hao unaweza kuwatambua kwa matendo yao. Au Hujawahi kuona mtu anafanya mambo ya ajabu kabisa pasipo hofu yoyote? Either kwa kuhatarisha maisha yake au ya wenginene!
Unakuta ni matendo ya ovyo na mabaya kupita kiasi , ila yeye anaona kawaida tu. Ndo watu walio zaliwa kama wanyama.
Hawana roho,Watu hawa wakipata elimu kidogo huwa ni watu wa kujivuna, wajuaji, wana dharau ,wenye kujiona wao ni bora zaidi ya watu wengine, Hawamtambui Mungu wala hawamjui. A
Kwa hiyo wewe usiye amini katika uwepo wa Mungu amini katika unacho kiamini , sisi tuaminio tutazidi kukukera kwa kuamini kwetu kuwa Mungu yupo leo, na kesho
Sawa, Kila mtu na imani yake, Ila Siku yakikukuta, ndipo utajua kama yupo au hayupo. Kuna mtu ndani alikuwa kutoa mrejesho - na yeye alikuwa Kama wewe. Ngoja nimtafute aje atoe ushuhuda.uliamini vipi kama ni Mungu katenda pasipo ushahidi? kwanza huyo Mungu hayupo.
Kuna mambo huwa yanatendeka Kwa sala tu nguvu zisizoonekana.uliamini vipi kama ni Mungu katenda pasipo ushahidi? kwanza huyo Mungu hayupo.