Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Mungu yupo, amini usiamini hainihusu....
Nasema pokea sifa na utukufu Mungu 🙏
Nasema pokea sifa na utukufu Mungu 🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni muweza.Mdogo wangu naye alipona.
Magari baada ya kugongana, kabla ya kushika moto, basi liliendelea kubiringida mpaka kwenda kutulia nje ya barabara ambako kulikuwa na moto unawaka kwenye nyasi. Mimi na jamaa mmoja tulikuwa wa kwanza kutoka, tukipitia upande wa juu kwenye dirisha lilivunjika. Mara baada ya kutoka, nilikazana kuzima moto kwenye nyasi kwa kutumia matawi, lengo nikitaka niingie kumtafuta mdogo wangu. Mara kwa mbali, tulikotokea nikamwona mdogo wangu anakuja. Kumbe yeye alirushwa nje ya basi kupitia nyuma ambako kulikuwa kumebomoka. Yeye hakufika nasi kule mwishoni.
Mara baada ya kumwona, nikaishiwa nguvu, nikaa chini, moto ukalifikia basi, likashika moto. Moto ukawa mkubwa kiasi cha kuzuia mtu yeyote kulusogelea. Mdogo wangu sijui aligongwa na kitu gani, alikuwa amevimba kwenye paja, lakini alikuwa anatembea kwa kuchechemea. Mimi nilijaa damu maeneo mengi lakini siyo kutoka kwenye mwili wangu, ni za watu wengine. Sikuwa na jeraha lolote la kuonekana, japo nilikuwa nasikia maumivu ya wastani kwenye kifua. Vipimo vyote vilionesha sikuvunjika sehemu yoyote.
Kipindi hicho nilikuwa na 21mwaka 1993 nina miaka miwili😅😅😅
hapo cocastic hajazaliwa wala kuwazwa kuzaliwa
Mungu hutumia watu katika kazi zake Kwa kuwa yeye ni Roho isiyoonekana Kwa macho ya Damu na nyamaSasa ukisaidiwa na mtu, Huyo Mungu ana husikaje hapo?
Yani unapewa msaada na binadamu kama wewe, Halafu unasema ni Mungu?
Huyo Mungu ana ingiaje hapa?
Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweliThibitisha Mungu yupo acha janja janja ya hao watumishi matepeli
Maneno ya kiimani ya kujifariji tuMungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli
Hivi unadhani vitu vyote hapa duniani na Ulimwenguni vilitokea tu kama ajali?Maneno ya kiimani ya kujifariji tu
Huyo Mungu inawezekana vipi yeye akatokea kama ajali ila sio hivyo vitu?Hivi unadhani vitu vyote hapa duniani na Ulimwenguni vilitokea tu kama ajali?
Ngoja kidogo narudi kujibuHuyo Mungu inawezekana vipi yeye akatokea kama ajali ila sio hivyo vitu?
aise toa ufafanuzi wako juu ya hili.Kitendo tu cha kubaki napumua nalala naamka mzima naenda kupambana hapa na pale kwa ajili ya malengo yangu huku baadhi ya niliolala nao jana nao wakiwa na malengo kama mimi hawajaamka huo ni zaidi ya muujiza.
Hivi vitu haviko kwa bahati mbaya na siyo wote waliopewa upeo wa kuyaelewa hayo.
Hamna kitu kisicho kikamilifu,Kwa hiyo mkuu kuna namna Mungu mkamilifu kaumba vitu visivyo vikamilifu ?
🚮Hamna kitu kisicho kikamilifu,
UKiumba au kuunda kitu chochote na hujui jinsi ya kukiharibu basii we ndo mjinga.
SawaUKiumba au kuunda kitu chochote na hujui jinsi ya kukiharibu basii we ndo mjinga.