Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Maelfu ya watu hasa watoto na wanawake wamekufa sana huko Gaza.
Maelfu ya watu hasa wanawake na watoto wamekufa sana huko Goma DRC Congo.
Maelfu ya watu hasa wanawake na watoto wamekufa sana Afghanistan.
Maelfu ya watu hasa wanawake na watoto wamekufa sana huko Yemen, Syria, Lebanon, Palestina.
Maelfu ya watu hasa wanawake na watoto wamekufa sana huko Tigray Ethiopia.
Maelfu ya wanawake na watoto wanakufa sana kwa ukame na njaa huko North Kenya Turkana.
Na huyo Mungu hajawahi kusaidia lolote wala kutenda muujiza wowote!!!
Vimbunga Idai, Hidaya, Chido vimeua maelfu ya watu huko Msumbiji na malawi. Huyo Mungu hajafanya chochote.
Matetemeko ya ardhi yaliyopiga Syria na Uturuki yameua maelfu ya watu na huyo Mungu hakufanya chochote wala hakutenda muujiza wowote.
Huyo Mungu hana msaada wowote wala muujiza wowote ule kwa binadamu.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
TRASH GOD...🚮