Ushawahi kuwa na mwanamke anayenuka kikwapa? Nampenda ila ananuka kwapa

Ushawahi kuwa na mwanamke anayenuka kikwapa? Nampenda ila ananuka kwapa

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii. Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana.

Shida yake ni harufu ya kwapa, hiki kitu kimekuwa kinakikera sana kwa muda mrefu. Hata tukiwa kwenye show sometimes mzuka unakata kabisa maana mimi sipendi harufu ya jasho baya. Sio kwamba haogi anaoga tu vizuri nguo zake ni safi ila akijigeuza geuza kidogo tayari kwapa inaanza kutema.

Shida kubwa zaidi hataki deodorant anasema zitampa cancer. Maana anapaka pafyumu kwenye nguo ila tatizo anakuwa ajaritibu. Mtu kama huyu unamsaidiaje au ukimuacha unakuwa umefanya dhambi mbaya? Harafu niulize pia, mtu akiwa ananuka kikwapa anakuwa hajisikii au?

1643611924612.png

 
Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii.

Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana.
Changamoto yake umeijua.Sasa,haujajituma kutafuta suluhu?Mnunulie sabuni nzuri za marashi(siyo zile za bei rahisirahisi zisababishazo mafua) na umpe aogee.Ikibidi,muwe mnaoga wote na msuguane hiyo miili yenu vema na kwa umakini.Siyo umparue.

Halafu,tembea naye madukani umshawishi achague uturi(perfumes) nzuri apendayo,na umlipie.

Hata hivyo,mshauri awe anakunywa maji mengi.Na kama anakunywa pombe apunguze kiasi.Mimi nimeanza kukushauri kiduchu, wengine watafuata zaidi.
 
Jirani, mbona shemeji hana harufu hiyo?! Ni pua yako tu.
 
Kikwapa ni ugonjwa?

Ila vikwapa navyo vimetofautiana. Kuna vingine huwa vinapandisha sana mzuka na kuleta ashiki/ hanjamu.
 
Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii.

Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana.

Shida yake ni harufu ya kwapa, hiki kitu kimekuwa kinakikera sana kwa muda mrefu.
Hata tukiwa kwenye show sometimes mzuka unakata kabisa maana mimi sipendi harufu ya jasho baya.

Sio kwamba haogi anaoga tu vizuri nguo zake ni safi ila akijigeuza geuza kidogo tayari kwapa inaanza kutema.

Shida kubwa zaidi hataki deodorant anasema zitampa cancer. Maana anapaka pafyumu kwenye nguo ila tatizo anakuwa ajaritibu.

Mtu kama huyu unamsaidiaje au ukimuacha unakuwa umefanya dhambi mbaya?

Harafu niulize pia, mtu akiwa ananuka kikwapa anakuwa hajiskii au?



Chagua kati ya utamu wa mbususu na kikwapa kipi ni kinazidi mwenzake, kikwapa ni maumbile ya mtu kamwe huwezi kukidhibiti moja kwa moja na hata kama mtajaliwa kupata watoto kuna nafasi ya kupata mtoto au watoto wenye vikwapa (baadhi yao).

Kikwapa kwa kiswahili sanifu kinaitwa Kibeberu.
 
Anaogea sabuni nzuri dove, protex, dettol nk
Perfume anayo sasa unajua ukipaka perfume kwenye nguo bhalafu unanuka kikwapa unatengeneza tatizo pia.
Pia kuna muda uko ndani mmepumzika sio sawa kupaka perfume alafu unakaa sebuleni.

Mimi nimemchunguza sana shida yake sio uchafu eti haogi vizuri.
Mkamuone mtaalamu wa afya,atakusaidieni.Awe anajali aina,mpangilio,kiasi na utofauti wa muda wa kula chakula
 
Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii.

Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana.

Shida yake ni harufu ya kwapa, hiki kitu kimekuwa kinakikera sana kwa muda mrefu.
Hata tukiwa kwenye show sometimes mzuka unakata kabisa maana mimi sipendi harufu ya jasho baya.

Sio kwamba haogi anaoga tu vizuri nguo zake ni safi ila akijigeuza geuza kidogo tayari kwapa inaanza kutema.

Shida kubwa zaidi hataki deodorant anasema zitampa cancer. Maana anapaka pafyumu kwenye nguo ila tatizo anakuwa ajaritibu.

Mtu kama huyu unamsaidiaje au ukimuacha unakuwa umefanya dhambi mbaya?

Harafu niulize pia, mtu akiwa ananuka kikwapa anakuwa hajiskii au?
TAFUTA MPENZI AMBAYE MADHAIFU YAKE YANAVUMILIKA kama huwezi kuvumilia tafuta ambaye unaweza kuyavumilia
 
Kapate breakfast kwanza mkuu, shibe inasaidia kupunguza hasira zisizotarajiwa.


Chagua kati ya ubaya wa kikwapa na utamu wa mbususu---- ni kipi kina uzito zaidi kwako !!?

Breakfast ni kitu gani??!
 
Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii.

Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana.

Shida yake ni harufu ya kwapa, hiki kitu kimekuwa kinakikera sana kwa muda mrefu.
Hata tukiwa kwenye show sometimes mzuka unakata kabisa maana mimi sipendi harufu ya jasho baya.

Sio kwamba haogi anaoga tu vizuri nguo zake ni safi ila akijigeuza geuza kidogo tayari kwapa inaanza kutema.

Shida kubwa zaidi hataki deodorant anasema zitampa cancer. Maana anapaka pafyumu kwenye nguo ila tatizo anakuwa ajaritibu.

Mtu kama huyu unamsaidiaje au ukimuacha unakuwa umefanya dhambi mbaya?

Harafu niulize pia, mtu akiwa ananuka kikwapa anakuwa hajiskii au?
Dawa kikwapa.....mwambie kila akiingia kuoga awe anasugua Hilo kwapa vzuri..... akitoka kuoga anajikausha vizuri anakata limao anajipaka....akimaliza anajispray kweny nguo....uwez kusikia harufu ya jasho tena



Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom