Ushawahi kuwa na mwanamke anayenuka kikwapa? Nampenda ila ananuka kwapa

Ushawahi kuwa na mwanamke anayenuka kikwapa? Nampenda ila ananuka kwapa

Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii.

Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana.

Shida yake ni harufu ya kwapa, hiki kitu kimekuwa kinakikera sana kwa muda mrefu.
Hata tukiwa kwenye show sometimes mzuka unakata kabisa maana mimi sipendi harufu ya jasho baya.

Sio kwamba haogi anaoga tu vizuri nguo zake ni safi ila akijigeuza geuza kidogo tayari kwapa inaanza kutema.

Shida kubwa zaidi hataki deodorant anasema zitampa cancer. Maana anapaka pafyumu kwenye nguo ila tatizo anakuwa ajaritibu.

Mtu kama huyu unamsaidiaje au ukimuacha unakuwa umefanya dhambi mbaya?

Harafu niulize pia, mtu akiwa ananuka kikwapa anakuwa hajiskii au?
Ni bora mwanamke anuke kwapa huwa hainistui kwanza napendaga kale ka harufu kake
Ila demu anayenuka mbususu au mdomo huyo huwa siwezi kumvumilia kabisa!
 
Ukute yeye anapenda hicho kikwapa chake🤷🏽‍♀️Hakimkeri
 
Sasa kama deorodant hataki utamsaidiaje???

Basi awe anaogea sabuni za maana kama shower gel za Elizabeth Arden, Issey Miyak, KK etc
 
Sasa kama hataki deodorants Sisi tunamsaidiaje?Aongeze Kiasi cha maji anywe maji si chini ya Lita mbili kwa siku.
 
Mwambie apake povu la sabuni ya jamaa, baada ya kuoga...
Akishindwa hapo ni PM
 
Sijawahi...

Mpe moungozo wa kua ananyoa nywele za kwapa mara Kwa mara...
 
Anaogea sabuni nzuri dove, protex, dettol nk
Perfume anayo sasa unajua ukipaka perfume kwenye nguo bhalafu unanuka kikwapa unatengeneza tatizo pia.
Pia kuna muda uko ndani mmepumzika sio sawa kupaka perfume alafu unakaa sebuleni.

Mimi nimemchunguza sana shida yake sio uchafu eti haogi vizuri.
Atakuwa hajitambui kama ananuka.

Nani alimwmabiea deodorant zinaleta kansa? Mafuta anapaka? Hayaleti kansa? Pafyumu je au kwakuwa anapaka kwenye nguo?

Basi ajitahjdi kutumia malimau wakati anaoga ajisugue, au wengine wansema maji ya ukoko wa ugali ajisugulie huenda tatizo linaisha.

Vikwapa vinaboa sana aisee.
 
Akikubali kutumia deodorant atumie ile isiyo na harufu iko kama maziwa. Itamsaidia sana na akioga asuguwe kwapa vizuri anyowe nywele za kwapa pia.
 
Anaogea sabuni nzuri dove, protex, dettol nk
Perfume anayo sasa unajua ukipaka perfume kwenye nguo bhalafu unanuka kikwapa unatengeneza tatizo pia.
Pia kuna muda uko ndani mmepumzika sio sawa kupaka perfume alafu unakaa sebuleni.

Mimi nimemchunguza sana shida yake sio uchafu eti haogi vizuri.
Suruhu siyo sabuni ya kuogea wala perfume tena vitu vyenye marashi vinaongeza tatizo. Deodorant isiyo na marashi ndiyo jibu.
 
Nilimsaidia akaanza kutumia deodorant na kaipenda kwasababu mimi nilikuwa natumia. Hatuko pamoja tena ila najua anaendelea kutumia. Ana harufu kali ya kwapa..
 
Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii.

Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana.

Shida yake ni harufu ya kwapa, hiki kitu kimekuwa kinakikera sana kwa muda mrefu.
Hata tukiwa kwenye show sometimes mzuka unakata kabisa maana mimi sipendi harufu ya jasho baya.

Sio kwamba haogi anaoga tu vizuri nguo zake ni safi ila akijigeuza geuza kidogo tayari kwapa inaanza kutema.

Shida kubwa zaidi hataki deodorant anasema zitampa cancer. Maana anapaka pafyumu kwenye nguo ila tatizo anakuwa ajaritibu.

Mtu kama huyu unamsaidiaje au ukimuacha unakuwa umefanya dhambi mbaya?

Harafu niulize pia, mtu akiwa ananuka kikwapa anakuwa hajiskii au?
Mnunulie perfume deodorant Na jitahidi Kwa Upendo kunisaidia taratibu mpaka itakapoisha!

Hivi wanaume wa miaka hii mkoje?
 
Msijaribu kuingia kwenye ndoa kama kuna vitu fulani vinakukera vya mwenzako, kusema mnavitatua na havutatuliki ni muachane tu, siku hizi hakuna mapenzi yale ya zamani ya kuvumiliana
 
Hizo harufu mi ndiyo hua zinanipandisha mzuka. Harufu ya nywele, jasho na harufu ya ukwaju.

Kama anatumia uzazi wa mpango au dawa za muda mrefu hizi mambo hua zinatokea
Aisee
 
Mm nna swali uliwezaje fika nae mbali huku unajua ana kikwapa,?
 
Wakati nipo bording kuna jamaa lilikua linajiita beberu, na kweli lilikua beberu maana likikatiza sehemu lazima liache harufu.
Lilishaweka oder kwa wapishi wakikamua ndimu vile vipande hamna kutupa wamuwekee jioni anavipitia, akitoka kuoga kabla ya kulala lazima ajisugue kwanza na vile vipande vya ndimu makwapani, siku akikosa ndimu basi chumbani hakulaliki.
Room mates wake walikua wanampambania sana jikoni asikose ndimu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom