ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Dah aisee pole ila uzuri kikwapa watoto wa kike huwa hakinuki ile Sana kabisaDuh nampelekaje sasa hospitali? Namwambia anaumwa nini maana kiukweli sijawai mwambia unanuka kwapa...naona kama ni ukatili fulani wa kisaikolojia
uwez kusikia harufu ya jasho tena
Hilo limao ndo dawa itamaliza kila kitu.....na ugonjwa wa kikwapa unaambukizaYeye anasema; harufu ya kwapa sio ya jasho.
Mpeleke kwa mtaalamu wa ngozi.Duh nampelekaje sasa hospitali? Namwambia anaumwa nini maana kiukweli sijawai mwambia unanuka kwapa...naona kama ni ukatili fulani wa kisaikolojia
Perfume ipo nipe order nikuletee tuNaomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii.
Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana.
Shida yake ni harufu ya kwapa, hiki kitu kimekuwa kinakikera sana kwa muda mrefu.
Hata tukiwa kwenye show sometimes mzuka unakata kabisa maana mimi sipendi harufu ya jasho baya.
Sio kwamba haogi anaoga tu vizuri nguo zake ni safi ila akijigeuza geuza kidogo tayari kwapa inaanza kutema.
Shida kubwa zaidi hataki deodorant anasema zitampa cancer. Maana anapaka pafyumu kwenye nguo ila tatizo anakuwa ajaritibu.
Mtu kama huyu unamsaidiaje au ukimuacha unakuwa umefanya dhambi mbaya?
Harafu niulize pia, mtu akiwa ananuka kikwapa anakuwa hajiskii au?
Hahaha. .... aisee.Changamoto yake umeijua.Sasa,haujajituma kutafuta suluhu?Mnunulie sabuni nzuri za marashi(siyo zile za bei rahisirahisi zisababishazo mafua) na umpe aogee.Ikibidi,muwe mnaoga wote na msuguane hiyo miili yenu vema na kwa umakini.Siyo umparue.
Halafu,tembea naye madukani umshawishi achague uturi(perfumes) nzuri apendayo,na umlipie.
Hata hivyo,mshauri awe anakunywa maji mengi.Na kama anakunywa pombe apunguze kiasi.Mimi nimeanza kukushauri kiduchu, wengine watafuata zaidi.
Hilo limao ndo dawa itamaliza kila kitu.....na ugonjwa wa kikwapa unaambukiza
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa tulisoma nae sekondari alikuwa ananuka kikwapa sio kawaida akiingia hata ukumbi wa shule wa kubeba watu hata mia nane utajua jamaa kaingia. Siku moja tunaoga mtoni vidume wengi mimi nikasema wacha nimchore jamaa anavyooga. Asee nikagundua jamaa ni mvivu kuoga na hafati kanuni za kuoga. Nikatafuta muda nikakaa nae akanieleza tatizo lake la kutopenda kuoga. Nikamueleza namna ya kuoga na mtego (dodoki ) yale ya mtego wa samaki nikampatia. Kilichofata hadi waalimu walinishukuru jinsi nilivyomsaidia. Ile harufu ilimuisha kabisa.kuu huu ni utaratibu tu wa usafi sio dawa ya kikwapa
Nafikiri wengi hawajakutana na wenye hii shida ni ngumu kuelewa, mimi pia sikuwai kukutana na mwenye hali hii before.
Kinaambukiza kweli kweli!!Kikwapa kinaambukiza ??!!
Umeona eenhh?!!.Mpaka hapo hamtofika mbali.Yaan ukiona tu mmoja kaanza kulalamika ujue ndo bas tena
waalimu walinishukuru jinsi nilivyomsaidia. Ile harufu ilimuisha kabisa.
Kuna watu wana jasho kali kinoma..
Na kuna wale tu akianza kuwa wet ndani hapakaliki.
Kabisa mkuuUmeona eenhh?!!.
Yeye ananishukuru hadi leo wanafunzi walijua mimi ndo nimemsaidia. Waalimu walishamjua tatizo lake ila walishindwa namna nzuri ya kumsaidia. Nakumbuka madam mmoja yy alikuwa akimuona jamaa anaanza kumtukana na kumkejeri kwa jinsi anavyotoa harufu. Madam alipojua alinishukuru sana.Yeye mwenyewe na wanafunzi wenzako hawakukushukuru??!!
Ila Kikwapa halisi hakiondoki kwa dodoki.
Pole mkuu,atumie rimao kupaka kila anapoogaKwa nini unasema hivyo, so natakiwa nivumilie tuu?